Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Kwa Nakadori nafikiri Action Speaks louder than WordsWanawake akili kubwa ni burudani sana hasa ukiweza kumhandle🤣🤣🤣
Na ujipange kwa chalenji zao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Nakadori nafikiri Action Speaks louder than WordsWanawake akili kubwa ni burudani sana hasa ukiweza kumhandle🤣🤣🤣
Na ujipange kwa chalenji zao
Ngoja nije.Nimefika, my wangu ajitokeze basi
Uje simple tu akili kubwa huwaga hawana mambo mengi wanajiamini.Dah niandae na kiwalo kabisaaa
Una akili.Uje simple tu akili kubwa huwaga hawana mambo mengi wanajiamini.
Ukiona ke siku ya out anajaza ma makeup sijui lipstik kama damu huyo kichwani mweupe.
Akili kubwa wako veri sipo
Karibu mpaka ndaniNgoja nije.
Kiwalo ni kuwa nadhifu bwanaaUje simple tu akili kubwa huwaga hawana mambo mengi wanajiamini.
Ukiona ke siku ya out anajaza ma makeup sijui lipstik kama damu huyo kichwani mweupe.
Akili kubwa wako veri sipo
Utahangaika sana huo ni muziki munene sana kwako😂😂😂Ngoja nije.
Unajaza yale mekunduu kama damu?Kiwalo ni kuwa nadhifu bwanaa
Niko simple lakini me sio mchafu
Lipstick natumia kwakweli ...imekuwa addiction kiaina sema sio ya kutisha
Emu usinizibie rizki mdudu😂Utahangaika sana huo ni muziki munene sana kwako😂😂😂
Satoh Hirosh ona hiyo action kwanza😂😂😂Emu usinizibie riziki mdudu😂
Yeye anagonga like kwa wadada na wakaka😂😂😂😂 kanichanganyaRoho mbaya tu huyo nae
Huu ni ukweli Mchungu aisee....Utahangaika sana huo ni muziki munene sana kwako😂😂😂
Nakuonaga wapi sasa? Nizame pm unitumie?😂Kwan ww si uneiona unakonionaga??