Hajto
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 5,646
- 5,606
Ile ni kodi ya kuisaidia serikali katika shughuli zake ama kwa jina lingine inaitwa kodi ya uzalendo kwa wananchiNaomba kujua ile buku ya kila mwezi inayokatwa kupitia luku ni kodi ya nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile ni kodi ya kuisaidia serikali katika shughuli zake ama kwa jina lingine inaitwa kodi ya uzalendo kwa wananchiNaomba kujua ile buku ya kila mwezi inayokatwa kupitia luku ni kodi ya nini?
...Letu Sote???? Na Mwenzio Nani????
Jambo la Mama ni jambo letu sote.
Makubaliano yapo wazi, aailimia kadhaa zitaongezeka kwenye kodi ili mwwnye nyumba apate kodi aliyoipanga.Mwenye nyumba ndio mwenye jukumu la kulipa maana hapo kwenye kiasi cha Kodi unachomlipa mwenye nyumba inakatwa 10% na Kwa msingi huo lazima kuwe na makubaliano ya kwenye Mkataba wa upangishaji..
Ile ni kodi ya jengo. Na basically jengo linahusisha hata vyumba vya wapangaji.Naomba kujua ile buku ya kila mwezi inayokatwa kupitia luku ni kodi ya nini?
😂😂 bado anaeumia ni mpangishajiMakubaliano yapo wazi, aailimia kadhaa zitaongezeka kwenye kodi ili mwwnye nyumba apate kodi aliyoipanga.
Propert taxNaomba kujua ile buku ya kila mwezi inayokatwa kupitia luku ni kodi ya nini?
Sasa wew unatakaje mnk huwa hunaga upande kbsaMwenye nyumba ndio mwenye jukumu la kulipa maana hapo kwenye kiasi cha Kodi unachomlipa mwenye nyumba inakatwa 10% na Kwa msingi huo lazima kuwe na makubaliano ya kwenye Mkataba wa upangishaji..
Kuna kodi nyingi tu na wakisema wazifurumue watu watapagawaNashauri hizi sheria zingeanza na elimu ya mlipa kodi kama ilivyo fanyiwa sensa ila viongozi wanakaa na kuamka tu kodi ya mpangaji si vizuri sana
Wao wanaozikupokea ndiyo wajenge nchi kwa kuzisimamia fedha vizuriJengeni nch yenu acheni kulia lia
Nyumba ikishakuwa ya biasharaMakubaliano yapo wazi, aailimia kadhaa zitaongezeka kwenye kodi ili mwwnye nyumba apate kodi aliyoipanga.
Huoni mahosptalini dawa BWERERE...HUduma nyingi BUREEhizi tozo kama kuna mtu anajua zinaenda wapi naomba aniambiee
Nilivyoelewa Mimi ni Kodi anayopaswa kulipa mwenye nyumba lakini wewe wakati unalipia Kodi ya nyumba unapaswa kukata asilimia kumi uiwasilishe TRA.Hahahahah hio TAX mi nikilala nazalisha nini hapo nyumbani? Nawasubiria kwa hamu na nimejiandaa kulala mahabusu safari hii!
...Letu Sote???? Na Mwenzio Nani????
Hapo sawaNilivyoelewa Mimi ni Kodi anayopaswa kulipa mwenye nyumba lakini wewe wakati unalipia Kodi ya nyumba unapaswa kukata asilimia kumi uiwasilishe TRA.
Kwa hiyo anayelipa ni mwenye nyumba si mpangaji