Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha kondoo mstarabu kweli kweli ila hapendi kabisaa kitu kinachoitwa upumbavu kwake.Acha kulinganisha kondoo na vitu vya kijinga. Kondoo ukimvuruga anakutia pembe/kichwa. Mtanzania hakuna kitu atafanya yeye ataishia kulalamika tu. 🤣 Huku anakamuliwa.
Sisi watanzania ni waoga sana, hata mimi ni muoga.
Ile ni kodi ya jengo ambayo kila mwenye nyumba anatakiwa kulipa na hii ni kodi ya zuio ambayo ni 10% ya kodi anayolipwa mwenye nyumba ya kupangisha.Kwwni ile inakatwa kupitia LUKU ni nini?
Dah,ngoja nikayajenge na landlord kwanzaIle ni kodi ya jengo ambayo kila mwenye nyumba anatakiwa kulipa na hii ni kodi ya zuio ambayo ni 10% ya kodi anayolipwa mwenye nyumba ya kupangisha.
Haiwezekani mkuu na hili swala la kupanda gharama za Maisha ndo balaa kabisa.Okay, ni jambo zuri. Lakini kwa upande wangu ningemuomba rais akemee kwa wapangishaji kututoza kodi kubwa, nyumba ya laki nne atleast iwe nusu yake, nyumba ya laki tatu atleast iwe nusu yake. Naiomba serikali itufikirie kwenye hili pia.
CCM mberee Kwa mbereeHatunywi sumu wala hatujinyongi
Hahaha. Nimewaonea huruma wasishuke ghafla mno wakafa kwa pressure.Harrier wakati Suzuki swift zipo
Mezani kuna supu ya kuku na tungi nyomiHatunywi sumu wala hatujinyongi
we mpenzi wa soccer??? ha unjoy soka la wabrazil wa singida big stars?hizi tozo kama kuna mtu anajua zinaenda wapi naomba aniambiee
😀 😀 😀 😀kweli mzee naenjoi sanaawe mpenzi wa soccer ha unjoy soka la wabrazil wa singida big stars?
Mzee marehemu ni marehemu tu, haisaidii hata ukimuita mara 100. Hata tozo ifike 1M hatakuwa na cha kukumbukwa!Nani kama mama jamani[emoji23][emoji23][emoji23], hakika Magufuli alikuwa raisi wa hovyo sana kuwaita wanyonge!!! Hakukusanya hata buku kwa wanyonge ila mama kaweza