Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Hivi itakuaje huko tuendako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wanaotunga sheria ndio wenye nyumbaSasa kwanini asidaiwe mwenye nyumba aje kudaiwa mpangaji ambae hamiliki hyo nyumba
Hizi sheria zetu zinahitaji maboresho.
Na tuliona mabarabara, madaraja,maflyover yaani dah!hatariiNani kama mama jamani😂😂😂, hakika Magufuli alikuwa raisi wa hovyo sana kuwaita wanyonge!!! Hakukusanya hata buku kwa wanyonge ila mama kaweza
Mimi naona hapo wanaopanga watazidi kuumia tu,kitakachofanyika ni hivi,tuseme kodi ya nyumba ilikuwa laki 5 mwenye nyumba atapandisha iwe 5.7 ili ukitoa 10% ile tano yake iendlee kubaki pale pale...
Namuoombaaaa waziriiiiii aliaaangalieee na hilooooOkay, ni jambo zuri. Lakini kwa upande wangu ningemuomba rais akemee kwa wapangishaji kututoza kodi kubwa, nyumba ya laki nne atleast iwe nusu yake, nyumba ya laki tatu atleast iwe nusu yake. Naiomba serikali itufikirie kwenye hili pia.
Namuoombaaaa waziriiiiii aliaaangalieee na hiloooo
Hii ni kweli lakini mwenye nyumba gani atakubali umkate hiyo 10%? Kwenye biashara tunafanya sababu tunaingiza na kuogopa notes. Huu mzigo mwingine kwa raia.Withholding tax, kumbe kulikuwa na msamaha kwa wapangaji binafsi. Kwenye biashara tushazoea kulipa hio. Tulipe kodi kwa maendeleo ya taifa.
Eti mpangaji atoke nyumbani, alipie usafiri hadi TRA, aunge foleni kulipa withholding tax. Hizo gharama zake atalipwa na Nani,?!Mwenye nyumba ndio alipe sio mpangaji! Hizo sheria kandamizi wanazojitungia tungia tu zitawafikisha mahali fulani maana hazitekelezeki
Harrier wakati Suzuki swift zipoEti mpangaji atoke nyumbani, alipie usafiri hadi TRA, aunge foleni kulipa withholding tax. Hizo gharama zake atalipwa na Nani,?!
Kama ni uzalendo na wao waache kutumia Ma-vieit mjini wapande Harrier!
Magufuli kaacha Nchi haina fedha, haya yote wakulaumiwa Ni yeyeNani kama mama jamani😂😂😂, hakika Magufuli alikuwa raisi wa hovyo sana kuwaita wanyonge!!! Hakukusanya hata buku kwa wanyonge ila mama kaweza
Bado ukienda kanisani kunaPAYE--inaenda Benki inakwatwa Service charge za Bank- Bank nayo inakulima VAT- unaenda kuchukuwa benki kwa matumizi yako unakutana na Tozo aka Goverment Levy, unanuna vocha unalimwa Tozo, unaenda kulipa kodi ya pango unalimwa Withholding Tax ... Haki ya Mungu kilimo ndiyo kazi nzuri ambayo mkulima ukivuna unakula direct bila kupitia TRA kujipendekeza kwetu kwenda kuuza ndiyo kinachotuponza... Ila tukirudi kwenye biashara ya kubadirishana kitu kwa kitu hatutakuwa tunalalamika hivi
Hivi Ile Kodi ya jengo kwenye luku nayo naona Kama Kodi zinakua Mara mbili mbiliAnakatwa mwenye nyumba ila wewe mpangaji ndio mkusanyaji, ila kiuhalisia mwenye nyumba anakupandishia kodi tu kufidia.
Mitano tena kwa mama,hadi 2030.Nani kama mama jamani[emoji23][emoji23][emoji23], hakika Magufuli alikuwa raisi wa hovyo sana kuwaita wanyonge!!! Hakukusanya hata buku kwa wanyonge ila mama kaweza
Kodi ni nyingi sana, lakini bila kodi maendeleo yatatoka wapi? Tupambane tu kuhakikisha kodi zetu zinatumika vizuri.Hivi Ile Kodi ya jengo kwenye luku nayo naona Kama Kodi zinakua Mara mbili mbili
ZiNaenda wizarani brohizi tozo kama kuna mtu anajua zinaenda wapi naomba aniambiee