Ngoma Inogile: Wapangaji sasa kulipa asilimia 10 ya kodi TRA

sasa kwenye sensa jidai unataka sifa ukiulizwa nyumba unataja zote ulizo nazo utanyonywa hadi mavi[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nani kama mama jamani[emoji23][emoji23][emoji23], hakika Magufuli alikuwa raisi wa hovyo sana kuwaita wanyonge!!! Hakukusanya hata buku kwa wanyonge ila mama kaweza
Sukuma gang inakomeshwa!

Tunapumua..
 
Hahahahah hio TAX mi nikilala nazalisha nini hapo nyumbani? Nawasubiria kwa hamu na nimejiandaa kulala mahabusu safari hii!
We mkorofi tu, kujimwambafai ndio zako!
Umeambiwa ukate asilimia 10%kutoka kwenye pesa unayomlipa mwenye nyumba, sasa wewe mpangaji kinachokuuma ni kipi hapo!?
 
KODI NYINGI HULIPWA JANUARI NA JULY, KWA KIPINDI HIKI ELIMU ITOLEWE KWANZA.
::ushauri::
NASHAURI IPUNGUZWE IWE 7%.
 
With holding tax hulipwa na anayefanya malipo, yaani kwa lugha nyingine ni kama anakuwa wakala wa TRA...

Anazuia hiyo 10% ya malipo ya pango, na anapaswa kuireturn TRA...
Hata PAYE ni withholding tax , mwajiri anakukata halafu anaiwasilisha TRA.
 
Hivi afisa wa TRA akitamka jambo ndiyo linakuwa tamko la TRA na serikali kwa ujumla? au anayepaswa kutampa tamko mpaka ikaonekana ni TRA/serikali si kamishna mkuu wa TRA?
 
Pia si kuna KODI ya majengo ambayo muhusika anatakiwa alipe kila baada ya mwaka wa biashara,ila sio mbaya

TUTAELEWANA KIDOGO KIDOGO
 
Hahahahah hio TAX mi nikilala nazalisha nini hapo nyumbani? Nawasubiria kwa hamu na nimejiandaa kulala mahabusu safari hii!
Usiseme hivo jirani kwani ukilipa kwa kutengeneza hiyo mikanda utapata shida gani wewe toa tu.Nchi ni yetu sote na Maendeleo ni yetu
 
Hiyo kodi mpangaji ndiye atakayeumia. Mwenyenyumba anakuongezea kodi tu ili ipatikane ya TRA chake kinabaki palepale
 
Hapa itatafutwa kila namna watu wakatwe pesa bila kujari umepanga au haujapanga!
 
We mkorofi tu, kujimwambafai ndio zako!
Umeambiwa ukate asilimia 10%kutoka kwenye pesa unayomlipa mwenye nyumba, sasa wewe mpangaji kinachokuuma ni kipi hapo!?
Kinachoniuma ni kuwa mwenye nyumba hawezi kubali uondoe hio 10% kwenye kodi yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…