Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapakuliwaji utawajua tu.Unatafuta basha nini wewe choko?
sasa ningekua timu ya mtu mbona nimesema hao wasanii wenye majina makubwa wanatoa boko yani uyo alikiba na uyo diamond wote mapimbi tu mbona kama wewe!
Mimi sio disciple wa mbwiga yoyote yule.
Naongea facts thats all MF!
Team ndomoUnatafuta basha nini wewe choko?
sasa ningekua timu ya mtu mbona nimesema hao wasanii wenye majina makubwa wanatoa boko yani uyo alikiba na uyo diamond wote mapimbi tu mbona kama wewe!
Mimi sio disciple wa mbwiga yoyote yule.
Naongea facts thats all MF!
Tuliza mshono ww acha kuquote quote wanaume!Wapakuliwaji utawajua tu.
ila una copy ya Congo...au siyo?hahaa..binaadamu tunatofauti sana...kwakweli mimi nimeielewa mnooo"" kwa sababu haina cpy za u Nigeria...bonge si la afropop"" mziki mzuri" kabisaa ..rylics zenye heshima "" kila mtu anaweza kuisikiliza"" jamaa ni mchawi wa music aiseee
una mahadhi ya afropop..nisawa na mwana..ni sawa na dushelele "" muwe mnajifunza kujua aina ya muziki jamani mnatuchosha...afropop ..ni aina ya muziki ambao hauna taifa isipokuwa nimziki wa Africa nzimaila una copy ya Congo...au siyo?
Kama waliweza kuifanya Subalkheri (ngoma mbovu kabisa)[emoji3][emoji3] kuwa hit, why not this one ambayo naona iko poa?Inaweza kuvuma kama clouds wakikomaa nayo
hahaaa chuki tu " siwajua wabongo kwa fitina wao ndio wapishiMtoa uzi anasema eti labda clouds wajaribu kumuinua...asee kwani lin kiba alikuwa chini arifu
kuvuma lazima ivume kwa sabbu ni ngoma kaliInaweza kuvuma kama clouds wakikomaa nayo
NIGERIA NI POP YA WAP ...ile ni afro pop chief....nasio sebene "" sawa "" jifunze vyema mitindo ya muzik
ngoma Kali sana....kwakweli sijaona sababu ya kubadilika ..kwa sbbu wasanii wote wanaofnya mziki kwa sasa wanafanya mziki wa aina moja yaani trending ya mziki niile ile "" copy kutoka Nigeria"" lakini yey amekuja na mahadhi ya afropop ambayo yalikuwa yameshstoweka kwenye soko kwaajili ya wasanii wabongo kupenda kufuata mkumbo"" lakini yeye anasafiri katika uwezo wake binafsi...nahiyo ndio maana halisi ya mwanamuziki lazima uwe inique .....Ngoma kali sana kwa wajuzi wa music ila ushauri wangu abadiri broducer sasa Man water tumemchoka na hivyo mikono yake kama sare za shule, kwenye seduce alibadirika ila kwa hii karudi kulekule....
Kweli Kibaday
ndio swali gani sasa hili ....!!? uliza tena vizuri ...nikikujibu Nigeria ni pop ya popcorn utaniona mwehu ??NIGERIA NI POP YA WAP ...
ile ni afropop MZee "" ni mziki ambao ndio asili ya Africa nzima ...ule mziki hauna kwao " haha
UKISEMA NI COPY UNAMAANISHA NNI, MANA HATA IZO AFRO POP... BEATS ZAKE NI TREANDING YA MZIKI WA ZAMANngoma Kali sana....kwakweli sijaona sababu ya kubadilika ..kwa sbbu wasanii wote wanaofnya mziki kwa sasa wanafanya mziki wa aina moja yaani trending ya mziki niile ile "" copy kutoka Nigeria"" lakini yey amekuja na mahadhi ya afropop ambayo yalikuwa yameshstoweka kwenye soko kwaajili ya wasanii wabongo kupenda kufuata mkumbo"" lakini yeye anasafiri katika uwezo wake binafsi...nahiyo ndio maana halisi ya mwanamuziki lazima uwe inique .....
haya mawazo ni afya kwa wanaojua muziki tu