hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Yeah ni bonge langoma mamaee.... Atakae sema wimbo huu mbaya ..itakuwa ana mimba ya chukiBonge la ngoma aisee, naona Kiba kaamua [emoji119][emoji119][emoji91][emoji91][emoji91]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah ni bonge langoma mamaee.... Atakae sema wimbo huu mbaya ..itakuwa ana mimba ya chukiBonge la ngoma aisee, naona Kiba kaamua [emoji119][emoji119][emoji91][emoji91][emoji91]
Hii ngoma ni matata zaidi ya grace aisee... Ni balaa tangu mwaka uanze tz haijatoka ngoma Kali kama hii ..chorus yake ni fireeeeeeeeeeMnooo,
Huu wimbo Tanzania ilifaa ukaombee mkopo wa World Bank.
HahahaKuwa muhuni kuna rules zake..
1. Muhuni huwa hajisemi / hajitangazi kuwa muhuni
2. Uhuni hujionesha wenyewe.
Vipi form 4 mnarudi lini shule?
More than goodKwa sasa bongo kama hujaweka beat na vimaneno vya kinaija utaambiwa wimbo mbovu au sio international "brainwashed creatures"...
kwangu mimi the song is good
Well saidMe wasafi ndo chama langu, but hii ngoma kiba kaua...