Ngoma mpya ya King Kiba (So Hot) ni hot kweli kweli

Ngoma mpya ya King Kiba (So Hot) ni hot kweli kweli

Alikiba niliyemzoea sio huyu wa sasa hivi. Alikiba aliyekuwa akitoa jiwe moja tu linasumbua mwaka mzima, akina Diamond and the like watahangaika kutoa nyimbo kama kumi but ngoma moja tu ya Alikiba ilikuwa inasumbua sana.

Alikiba umekuwaje tena, mbona unatuaibisha mashabiki zako tuliokuwa tukijisifia uwezo wako mkubwa wa kutoa nyimbo moja inasumbua mwaka na sehemu. Unaanza kuwa kama hasimu wako domo anayetoaga nyimbo kila siku, ndo kusema kipaji kinaanza kuisha au mashairi na melody kali zimeisha kichwani.

Basi tafuta hata mtu awe anakutungia basi nyimbo wewe unaingiza tu sauti kuliko huu utaratibu wako wa kuachia wimbo kila muda unatuaibisha sana sisi mashabiki tutawaambia nini watu?
 
Alikiba niliyemzoea sio huyu wa sasa hivi. Alikiba aliyekuwa akitoa jiwe moja tu linasumbua mwaka mzima, akina Diamond and the like watahangaika kutoa nyimbo kama kumi but ngoma moja tu ya Alikiba ilikuwa inasumbua sana.

Alikiba umekuwaje tena, mbona unatuaibisha mashabiki zako tuliokuwa tukijisifia uwezo wako mkubwa wa kutoa nyimbo moja inasumbua mwaka na sehemu. Unaanza kuwa kama hasimu wako domo anayetoaga nyimbo kila siku, ndo kusema kipaji kinaanza kuisha au mashairi na melody kali zimeisha kichwani. Basi tafuta hata mtu awe anakutungia basi nyimbo ww unaingiza tu sauti kuliko huu utaratibu wako wa kuachia wimbo kila muda unatuaibisha sana sisi mashabiki tutawaambia nini watu?
Aisee ukiwasikiliza binadamu unaweza kuchanganyikiwa na ukafail sana. Akitoawimbo mmoja mwaka mzima mnasema anawaangusha hayuko serious kushindana, wasanii siku hizi ni ngoma baada ya ngoma. Basi naye kaamua kuanza fanya hivyo sasa bado mnamponda. Aisee kweli dunia ina maajabu hadi jogoo anaweza taga kama alivyoimba Roma
 
Alikiba niliyemzoea sio huyu wa sasa hivi. Alikiba aliyekuwa akitoa jiwe moja tu linasumbua mwaka mzima, akina Diamond and the like watahangaika kutoa nyimbo kama kumi but ngoma moja tu ya Alikiba ilikuwa inasumbua sana.

Alikiba umekuwaje tena, mbona unatuaibisha mashabiki zako tuliokuwa tukijisifia uwezo wako mkubwa wa kutoa nyimbo moja inasumbua mwaka na sehemu. Unaanza kuwa kama hasimu wako domo anayetoaga nyimbo kila siku, ndo kusema kipaji kinaanza kuisha au mashairi na melody kali zimeisha kichwani.

Basi tafuta hata mtu awe anakutungia basi nyimbo ww unaingiza tu sauti kuliko huu utaratibu wako wa kuachia wimbo kila muda unatuaibisha sana sisi mashabiki tutawaambia nini watu?


Kiba kaishiwa....jamaa hana kitu. Mpira hawezi, muziki uko ICU, arudi tu Kigoma kuvua dagaa.
 
Aisee ukiwasikiliza binadamu unaweza kuchanganyikiwa na ukafial sana. Akitoawimbo mmoja mwakamzima mnasema anawanusha hayuko serious kusindana, wasanii siku hizi ni ngoma baada ya ngoma. Basi naye kaamua kuanza fanya hivyo sasa bado mnamponda. Aisee kweli dunia ina maajabu hadi jogoo anaweza taga kama alivyoimba Roma
Yaani hauwezi kumridhisha kila mmoja kwakweli
 
Alikiba niliyemzoea sio huyu wa sasa hivi. Alikiba aliyekuwa akitoa jiwe moja tu linasumbua mwaka mzima, akina Diamond and the like watahangaika kutoa nyimbo kama kumi but ngoma moja tu ya Alikiba ilikuwa inasumbua sana.

Alikiba umekuwaje tena, mbona unatuaibisha mashabiki zako tuliokuwa tukijisifia uwezo wako mkubwa wa kutoa nyimbo moja inasumbua mwaka na sehemu. Unaanza kuwa kama hasimu wako domo anayetoaga nyimbo kila siku, ndo kusema kipaji kinaanza kuisha au mashairi na melody kali zimeisha kichwani.

Basi tafuta hata mtu awe anakutungia basi nyimbo wewe unaingiza tu sauti kuliko huu utaratibu wako wa kuachia wimbo kila muda unatuaibisha sana sisi mashabiki tutawaambia nini watu?
Hizi nguvu unazo wekeza kumfatilia Alikiba unge fatilia maisha yako ungefika mbali
 
Halafu hamjaona ile beat inavyofanana na hii ya kriz beat aliyemshirikisha Diamond??????
Angekuwa mondi kafanya hivyo zisingeisha nyuzi za kuponda humu ndani
 
Halafu hamjaona ile beat inavyofanana na hii ya kriz beat aliyemshirikisha Diamond??????
Angekuwa mondi kafanya hivyo zisingeisha nyuzi za kuponda humu ndani
Unakomaa kuaminisha watu upuuzi ambao hauna ukweli wowote
 
Umemaliza mkuu.

Humu kuna watu wazuri wa kusema nyuma ya key board ila ukienda kwenye fani zao ni failure wakubwa.
Wabongo huwa mnshangaza sana,wewe umefanya nini kwenye fani yako ya kukufanya uwe unique,utambulike,uheshimike at least ufikie leel ya Kiba tu ndani ya TZ,africa na Dunia?? Kama huna ulichofanya, kazana tia bidiii ufanikiwe,huo u team hauna maaana,appreciate Kiba anachofanya,ongeza bidii na wewe walau umfikie kwa leel za Tanzania kwa upande wa fani(specialization) yako,kuponda,negative energy hazikusaidiii,zinakuumiza tu.
 
Back
Top Bottom