Kungarochi
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 271
- 601
Alikiba niliyemzoea sio huyu wa sasa hivi. Alikiba aliyekuwa akitoa jiwe moja tu linasumbua mwaka mzima, akina Diamond and the like watahangaika kutoa nyimbo kama kumi but ngoma moja tu ya Alikiba ilikuwa inasumbua sana.
Alikiba umekuwaje tena, mbona unatuaibisha mashabiki zako tuliokuwa tukijisifia uwezo wako mkubwa wa kutoa nyimbo moja inasumbua mwaka na sehemu. Unaanza kuwa kama hasimu wako domo anayetoaga nyimbo kila siku, ndo kusema kipaji kinaanza kuisha au mashairi na melody kali zimeisha kichwani.
Basi tafuta hata mtu awe anakutungia basi nyimbo wewe unaingiza tu sauti kuliko huu utaratibu wako wa kuachia wimbo kila muda unatuaibisha sana sisi mashabiki tutawaambia nini watu?
Alikiba umekuwaje tena, mbona unatuaibisha mashabiki zako tuliokuwa tukijisifia uwezo wako mkubwa wa kutoa nyimbo moja inasumbua mwaka na sehemu. Unaanza kuwa kama hasimu wako domo anayetoaga nyimbo kila siku, ndo kusema kipaji kinaanza kuisha au mashairi na melody kali zimeisha kichwani.
Basi tafuta hata mtu awe anakutungia basi nyimbo wewe unaingiza tu sauti kuliko huu utaratibu wako wa kuachia wimbo kila muda unatuaibisha sana sisi mashabiki tutawaambia nini watu?