bwege nazi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2018
- 700
- 904
Kile kisauti cha yoooooooo! Au😂Huyu bwege naona sasa ameanza kujitambua! Sio kubana kisauti chake kila nyimbo kama choko 🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kile kisauti cha yoooooooo! Au😂Huyu bwege naona sasa ameanza kujitambua! Sio kubana kisauti chake kila nyimbo kama choko 🤣🤣🤣
Huuuhuuuh yeaaah tupo na G. O. A. T wa Bongo FlavourHe[emoji54] kajuaje tena si kaiangalia hiyo video......ah wa mashabiki wa kingi mna mbwembwe
Iko ikoKile kisauti cha yoooooooo! Au😂
Hakiweki tena kile si unajua bro kiba apendi shoo ofu!Iko iko
Utamuuuu tena ule utamu koleaaaaa,Umejuajeeee bebeeeeeeeh, aaan n utamu zaidi ya kunogaaaaah
Dah! Hilo promo nikajua mshikaji anakuja na ngoma kali asee ni nyimbo ya kiunderground sana
Muda upi tena?? Hesabu Cinderela mpaka So Hot!!! Ni Huruma tu??? Miaka mingapi imepita?? Na kibaya kinachowaumiza ni kastick kwenye bongo fleva yetu ,hakuna masound ya kinaija,mara sijui ma kwaito ya ki south.Kiba yupo overrated sana isingekuwa huruma ya waTanzania nadhani angeshapotea. Kuna wasanii wakali sana walitoka kipindi kiba anatoka ila leo tushawasahau. Muda utaongea.
Hahahah amepita kwa kunyataUkitaka kujua hii ngoma mbaya cheki jinsi robidinyo mnyama mkali alivyoilia buyu
BOSS utotoni mwako umewahi kuumwa degedege?Piga kelele kwa G. O. A. T ake, weuweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, kaua vilivyooooooh haswaaaaaah. Team tecno wereva +kugawiwa bundles lazima walie. Ila wakubali tyuuh hakna namna.
Had saiv naumwa, kwan vepeeeeh? Huhuhuj meza wembeeeeh.BOSS utotoni mwako umewahi kuumwa degedege?