mtotomtamuu
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 602
- 1,459
Ile Kiba anamziki unaoishi aise..
Nipo hapa naskiliza Dushelele. Nagharamia. Mshumaa. Seduce Me. Dodo. Kwa kweli ni mziki mtamuuuuuuuu
Nini maana ya underground mkuu? Unajua kwa wana Hip Hop neno underground lina maana ingine kabisa? Labda wewe umemaanisha underground ya kiaje mkuu?Yaani jamaa anaimba kama undeground mnaomtetea huyu mna moyo alafu hiyo beat ni kama ile nyimbo ya jumuiya ya wasanii wakenya inaitwa SIMAMA PAMOJA,
HahahahaaaHakika hili kweli ni bonge la wimbo... Vp! Kwani imeshatoka?
Unajua kama kwenye Chanel yake kuna subscribers laki 6 na ushee halafu ya kings music laki 2 tu?Alafu msanii anaachia nyimbo anaweka kwenye kings music chanel kwanini asiweke kwenye youtube yake kama anajiamini
Vipi Anko Shamte kaamkaje hapo madale?Kumbe bado anaimba ? watu tusha zoea music mzuri kutoka wasafini na pengineko
Mbona hii mada kama vile imekua mwiba kwako?lakini hela hana
[emoji23][emoji23]Naskia alii rikodia mambele huko lily dicky alivyosikia beat lake tu akamwambia aisee king nishirikishe basi
Sema mwamba akakataa sababu hapendagi show off
Kwa mtazamo wako unaweza ukawa upo sahihi ila usilazimishe kila mtu afanane na wewe kimtazamo.Wimbo wa kawaida tu
Hoja nzuri huenda kwa fact na sio kusikia,Naskia alii rikodia mambele huko lily dicky alivyosikia beat lake tu akamwambia aisee king nishirikishe basi
Sema mwamba akakataa sababu hapendagi show off
Ya madingi kama weweIle Kiba anamziki unaoishi aise..
Nipo hapa naskiliza Dushelele. Nagharamia. Mshumaa. Seduce Me. Dodo. Kwa kweli ni mziki mtamuuuuuuuu
Mnooo,Ngoma kali sana aisee [emoji119]
Yani hujamuelewa kabisa mwamba chakufanya rudi kwenye majukwaa mengine tu hakukufai huku ahahahahaHoja nzuri huenda kwa fact na sio kusikia,
Umesikilia wapi?
Bank ya viti maalumu labdaMnooo,
Huu wimbo Tanzania ilifaa ukaombee mkopo wa World Bank.
Kumbe nilikua namuuliza muimba taarabu!Yani hujamuelewa kabisa mwamba chakufanya rudi kwenye majukwaa mengine tu hakukufai huku ahahahaha
Anaumwa njoo umpe tibaVipi Anko Shamte kaamkaje hapo madale?
Unatesekaaa?Bank ya viti maalumu labda