donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
We hakuna kitu unajua umekariri story za waramba lips.Kajitahidi, ila kumbuka;
Hip hop hailipi, Hip hop haiuzi, Hip hop kibongo bongo bora ukauze pipi.
By Madee.
Kweli sijui, ila unaweza nielezea kwa sasa hapa Nchini ni jinsi gani hawa waimba Hip hop wanavyotengeneza fedha za kutosha kupitia kazi zao?.We hakuna kitu unajua umekariri story za waramba lips.
Watu wanajenga wanadrive, wanalea familia kupitia Hip hop, Haya nambie B2K atamzid Farid vibunda?
Huo mziki wali u brand design hiyo enz, ndi za uanzilishi wake huko marekani ili vijana waharibike hasa black kwa vile ndo ulikuw mziki wao ndo maana mabifu na kupigan risasi hakuishiHivi kwa nn kuna uhusiano mkubwa kati ya ganja+ hiphop+pombe kali+madawa+uhalifu. why.. mana kuna mwanangu mmoja nilimtembelea yaan anakula ile kubwa na konyag pembeni kila muda anamskiliza conboi cannabino kwani shida iko wap?
SaanaaaIle rap battle ya mexcortez na Local Spitter ilikuwa unyama sana
Hamna uhusiano. Rapper Mase unamjua?Hivi kwa nn kuna uhusiano mkubwa kati ya ganja+ hiphop+pombe kali+madawa+uhalifu. why.. mana kuna mwanangu mmoja nilimtembelea yaan anakula ile kubwa na konyag pembeni kila muda anamskiliza conboi cannabino kwani shida iko wap?
Me nafikiri tunayapima mafanikio ya mtu kws kuangalia alipotoka alipo na anapokwenda wala si kwa kumlinganisha na watu wengine kwa maana kila mtu ana background yake, nyenzo (back up) yake na matumiz tofauti.Kweli sijui, ila unaweza nielezea kwa sasa hapa Nchini ni jinsi gani hawa waimba Hip hop wanavyotengeneza fedha za kutosha kupitia kazi zao?.
Wenzao wabana pua tunaona jinsi wanavyopiga show za kutosha, ukiangalia viewers kwenye social platforms zinasoma vizuri n.k
Hapo ndio kaua Dizasta πππKibabu mteganda ananiita Lyrical Yahweh ππ
Una-Inspire mkuu!!Huu mziki bongo Bora uuze genge haulipi kabisa ni miziki njaa bongo eti utasikia msanii ansema anakomboa mtaa wakati yeye mwenyewe kashindwa kujikomboa mziki huh tanzania haulipi
Huo mziki kama unafanya Kwa kujifurahisha sawa ila sio kutoboa upate mafanikio ya maana kwenye mziki na maisha yaani Bora msanii achanganye awe kama Chris brown ila sio kutumia kwenye rap tupu bongo hiiUna-Inspire mkuu!!
Hata kama tunaouelewa ni wachache ila atleast kuna Numbers wanapata.
Sahihi, Hiphop hailipi sababu haina mashabiki.Huo mziki kama unafanya Kwa kujifurahisha sawa ila sio kutoboa upate mafanikio ya maana kwenye mziki na maisha yaani Bora msanii achanganye awe kama Chris brown ila sio kutumia kwenye rap tupu bongo hii