Ngoma mpya ya Mex Cortez ni moto wa kuotea mbali.....!!!!

Ngoma mpya ya Mex Cortez ni moto wa kuotea mbali.....!!!!

So huwa unasikiliza mimbo ya aina gani ambayo tuseme haibebi nguvu hasi?
Nna ngoma nyingi sana kwenye playlist yangu na zote nasikiliza - Hata sielewi nikutajie ipi labda taja idadi unayoitaka.
 
Nna ngoma nyingi sana kwenye playlist yangu na zote nasikiliza - Hata sielewi nikutajie ipi labda taja idadi unayoitaka.
Asante kaka sikumaanisha idadi bali aina ya muziki. Yaani ile ambayo somehow haitaongeza negative energy kwa msikilizaji.
 
Katika vitu napenda ni hv sasa yani unabisha una fact mpk nimefurah huu mjadala🤝.

Bado kidogo au hvyo ulivyotaja ni baadhi, naongea tamaduni ya music haswa fallen angel ya dizasta ni funzo juu ya mapenz yanavyotesa, haikupangwa same. Kutaja baadhi haibebi maana kuu ya hip hop, dj cool hakuanzisha hip hop kwa ajir ya mapenz na walokuja hawakuunda mapenz ndani ya hip hop ila inatokea kwa baadhi. Mbna zari la mentali ni hip hop ila ni mapenz hujiulizi ?

3 reggae na rastafarian ni mdomo na meno, haviachani, dhima kuu ya reggae ni aman na upendo. Ndo mana ilikuwa kwa ajir ya uhuru. Ngoma kama dude la kimataifa ya chege ni reggae lakin sio ya aman au upendo ila haiondoi dhima kuu ya mziki wa reggae. Hiyo miziki ulonipa nisikilize pia ni ya mapenz lakin haiondoi dhima ya reggae.

Point yangu inasimama pale pale kila mziki una kitu unachoongea hasa, inapotokea umekuja kwa namna nyingine sio imebadili dhima kuu
Mkuu zingatia hii point yangu kwanza kwenye maelezo uliyo ni quote. 👇👇

Binafsi nasikiliza HIPHOP kwasana sababu mara nyingi wanaimba vitu positive 🧠.

Chapili mimi kuandika maelezo mengi ni personal desicions, Don't judge me.

Tatu kuhusu Kondeboy kuhamasisha bangi kwenye nyimbo zake ni utani that's why nikaweka kile kikohozi na Emoji ya 😆, Nani asiyejua kwamba Hiphop ndiyo inaongoza kunahamasisha zaidi kuvuta bangi na kuonyesha ni kama sehemu ya kutuliza akili?

Kama unaijua hiphop vizuri, Historia yake, Waanzilishi na nguzo za hiphop basi utakua unaelewa kwanini rappers wengi ni Wavuta bangi.

Problem is yo're not taking things seriously.

Kwa maelezo hayo, Infact hujui genre za mziki, Hebu nikupe mwanga kidogo:

Mziki wa R&B ni mziki ambao hugusa hisia za aina tofauti iwe Mapenzi, Huzuni au Hamu ya mafanikio.

si lazima uhusiane na Mapenzi - Kasikilize Maneno au Bado kidogo zote za Benpol kama utasikia mapenzi humo nicheki nikutumie elfu10.

Tatizo mada zinazopendwa sana ni za Mapenzi na ngono ngono that's why R&B imetawaliwa na Mapenzi na Ngono tupu kwasababu za kiuchumi.

Wahenga walisema fuata nyuki ule asali.

Lakini pia Mziki wa Reggae ni mziki ambao unagusia sehemu nyingi si lazima uhamasishe amani pekee 👇👇
View attachment 3211144Mapenzi pia yanaweza imbwa kwenye reggae, Fungua link hiyo utakutana na ngoma 50 za mapenzi za reggae ambazo hakuna kuhamasisha amani kama unavyodai bali ni Mapenzi tu.


View: https://open.spotify.com/album/65rNNllspZfeYF2jdylzzf

Ninachokiona hapa unachanganya kati ya Imani ya Rastafatian na Mziki wa Reggae!!

Kwa taharifa yako hata kwaya si lazima ziwe nyimbo za Mungu tu, Tatizo ume claim 👇
View attachment 3211152

Kuhusu HIPHOP pia sio mziki wa kuinspire Positive tu, Kuna ngoma za Hiphop kali beat tu ndani umeimbwa upuuzi tu au mda mwingine matusi tupu tena zipo mpaka Hiphop za Mapenzi huamini;

Kasikilize hizi ngoma:

•Dizasta Vina - Fallen angel. 🎶
•Sugu - Hayakua mapenzi. 🎶
•Chindoman ft Watengwa - Haikupangwa. 🎶
•Godzilla - Milele. 🎶
•Fidq ft Cristian bella - Roho. 🎶
•Joh Makini ft Baraka the prince - Permanent love. 🎶
•Dah remix. 🎶


Infact unaandika usichokijua, Huna uelewa wa kutosha kuhusu Genre za muziki.

CC: Monetary doctor
 
Katika vitu napenda ni hv sasa yani unabisha una fact mpk nimefurah huu mjadala🤝.

Bado kidogo au hvyo ulivyotaja ni baadhi, naongea tamaduni ya music haswa fallen angel ya dizasta ni funzo juu ya mapenz yanavyotesa, haikupangwa same. Kutaja baadhi haibebi maana kuu ya hip hop, dj cool hakuanzisha hip hop kwa ajir ya mapenz na walokuja hawakuunda mapenz ndani ya hip hop ila inatokea kwa baadhi. Mbna zari la mentali ni hip hop ila ni mapenz hujiulizi ?

3 reggae na rastafarian ni mdomo na meno, haviachani, dhima kuu ya reggae ni aman na upendo. Ndo mana ilikuwa kwa ajir ya uhuru. Ngoma kama dude la kimataifa ya chege ni reggae lakin sio ya aman au upendo ila haiondoi dhima kuu ya mziki wa reggae. Hiyo miziki ulonipa nisikilize pia ni ya mapenz lakin haiondoi dhima ya reggae.

Point yangu inasimama pale pale kila mziki una kitu unachoongea hasa, inapotokea umekuja kwa namna nyingine sio imebadili dhima kuu
Sawa mkuu ✊🏿👍🏾👊🏾
 
Back
Top Bottom