Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binafsi huwa naunga mkono harakati nikipata chochote, mfano hii album sijwahi kujutia kuinunuaUna-Inspire mkuu!!
Hata kama tunaouelewa ni wachache ila atleast kuna Numbers wanapata.
Hamna mziki wowote tu unahamasisha mfano harmonize vijana wengi wamehamasika kupambania na maisha bila kukatatamaa kupitia yeye maisha yake aliyotokea na mziki wake ni wa kuimba sio rapSahihi, Hiphop hailipi sababu haina mashabiki.
Lakini ni mziki ambao unahamasisha na kutia moyo sana katika kupambania Life.
Unju Ibn Unuq baba Malcom.Binafsi huwa naunga mkono harakati nikipata chochote, mfano hii album sijwahi kujutia kuinunua
View attachment 3210494
Sahihi kila mziki unahamasisha.Hamna mziki wowote tu unahamasisha mfano harmonize vijana wengi wamehamasika kupambania na maisha bila kukatatamaa kupitia yeye maisha yake aliyotokea na mziki wake ni wa kuimba sio rap
Mzee unafuatilia rap ya USA ambapo ndio wenye mziki waoSahihi kila mziki unahamasisha.
Tena miziki kama Singeli au hii yakina Diamond, Marioo na Alikiba inahamasisha sana Ngono, kubeti na kuchagua mke kwa kigezo cha urembo wao wa nje.
Hata Mziki wa Konde unahamasisha sana kuvuta bangi.
Napenda Hiphop na nnafatilia R&B pia lakini sisikilizi ngoma yeyote ambayo haihusiani na Maarifa, Ujuzi, Uadilifu au Ukuaji katika nyanja tofauti.Mzee unafuatilia rap ya USA ambappndio wenye mziki wao
Unaweza kunitajia ngoma 5 za harmonize zinazohamasisha bangiNapenda Hiphop na nnafatilia R&B pia lakini sisikilizi ngoma yeyote ambayo haihusiani na Maarifa, Ujuzi, Uadilifu au Ukuaji katika nyanja tofauti.
Koh... Koh... Jeshiiii 😆Unaweza kunitajia ngoma 5 za harmonize zinazohamasisha bangi
Nitajie nyimbo 5 tu mkuu zinazohamasisha bangi hiko ni kikohozi sio bangiKoh... Koh... Jeshiiii 😆
Ni hatari mzee vinaKibabu mteganda ananiita Lyrical Yahweh 😂😂
Infact sio kila msanii huimba kitu sahihi wakati wote, Kuna muda iwe HIPHOP au R&B wote tu huwa wanaimba vitu visivyo na mantiki.Unaweza kunitajia ngoma 5 za harmonize zinazohamasisha bangi
Noma sana ✊🏿👊🏾Ni hatari mzee vina
Mziki ni mziki tuInfact sio kila msanii huimba kitu sahihi wakati wote, Kuna muda iwe HIPHOP au R&B wote tu huwa wanaimba vitu visivyo na mantiki.
Hata huyo harmonize anangoma zinazohamasisha kufanya mabaya na zinazohamasisha kufanya mazuri.
Kikubwa ni wewe binafsi kuhakikisha unasikiza kitu chenye kukuhamasisha na kukujenga.
Binafsi nasikiliza HIPHOP kwasana sababu huko mara nyingi wanaimba vitu positive 🧠
Lakini pia nasikiliza sana Country music, Zilpendwa na Reggae.
Uko sahihi.Mziki ni mziki tu
Ungesikiliza kwaya na kaswida ningekuona kweli umeamua kumsikiliza mziki usiokua na matusi ila hip hop ndio kinara wa matusiUko sahihi.
Na hayo ni mawazo yako sio yangu.
Qoir na Qaswida hiyo ni Miziki ya watu wa dini mkuu.Ungesikiliza kwaya na kaswida ningekuona kweli umeamua kumsikiliza mziki usiokua na matusi ila hip hop ndio kinara wa matusi
Anajua mwamba sema bongo wanapenda nyimbo za zuchuNoma sana ✊🏿👊🏾
Wanapenda sana Ngono, Kamari na Umbea na sio Maarifa na kuhamasishwa.Anajua mwamba sema bongo wanapenda nyimbo za zuchu