Kunguru wa Unguja
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 1,762
- 1,823
🤣🤣🤣kiufupi wamelogwa mwanaume anaimba lollipopWanapenda sana Ngono, Kamari na Umbea na sio Maarifa na kuhamasishwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣kiufupi wamelogwa mwanaume anaimba lollipopWanapenda sana Ngono, Kamari na Umbea na sio Maarifa na kuhamasishwa.
Ndiyo chanzo cha Ushoga 😆😆😆🤣🤣🤣kiufupi wamelogwa mwanaume anaimba lollipop
🤣🤣🤣kabisaaaaNdiyo chanzo cha Ushoga 😆😆😆
Lil Nas unamjua Kuna msanii anaweza kumfikia mziki wake wa rap Africa ila ni punga mziki hata uimbe hip hop utakua pungaNdiyo chanzo cha Ushoga 😆😆😆
Lil Nas x ni shoga.Lil Nas unamjua Kuna msanii anaweza kumfikia mziki wake wa rap Africa ila ni punga mziki hata uimbe hip hop utakua punga
Swali Gani inaonesha hufuatilii huu mzikiLil Nas x ni shoga.
Sijaelewa 😇😇Swali Gani inaonesha hufuatilii huu mziki
Hilo ni punga na linaimba rap music na limefanikiwa ki mziki kidunia huo ni mfanoSijaelewa 😇😇
Infact, Mimi huwa nazingatia maudhui ya nyimbo sio hali ya Muimbaji.Hilo ni punga na linaimba rap music na limefanikiwa ki mziki kidunia huo ni mfano
So huwa unasikiliza mimbo ya aina gani ambayo tuseme haibebi nguvu hasi?Infact, Mimi huwa nazingatia maudhui ya nyimbo sio hali ya Muimbaji.
Siwezi kuacha kisikikiza nyimbo ya Michael Jackson "Man in the Mirror" sababu alibadili jinsia wakati nyimbo ina-Inspire changes.
Hii baadhi ya mistari yake:
If you wanna make the world a better place 🎶 Take a look at yourself and make a change 🎶
Au ile "Will you be there".
Huyo Lil nas X unayemtaja mimi sio Fan wake sababu hana nyimbo ambayo inamaudhui yenye kujenga, Zote ni za usengerema sengerema tu.
Kile kinachonijali ni akili ya ndani!!
Ninavutiwa zaidi na mawazo ya mtu, moyo wake na jinsi anavyoitazama dunia.
Hicho ndicho kinachonifanya mimi nimpe thamani mtu na Sio kuangalia muonekano wa nje pekee!!
CC: My wife Qashy Lilith 🥰 ananijua vyema.
Kama bado unasikiliza miziki ya kidunia Kwa kujifany1 mtakatifu huna unalofanyaInfact, Mimi huwa nazingatia maudhui ya nyimbo sio hali ya Muimbaji.
Siwezi kuacha kisikikiza nyimbo ya Michael Jackson "Man in the Mirror" sababu alibadili jinsia wakati nyimbo ina-Inspire changes.
Hii baadhi ya mistari yake:
If you wanna make the world a better place 🎶 Take a look at yourself and make a change 🎶
Au ile "Will you be there".
Huyo Lil nas X unayemtaja mimi sio Fan wake sababu hana nyimbo ambayo inamaudhui yenye kujenga, Zote ni za usengerema sengerema tu.
Kile kinachonijali ni akili ya ndani!!
Ninavutiwa zaidi na mawazo ya mtu, moyo wake na jinsi anavyoitazama dunia.
Hicho ndicho kinachonifanya mimi nimpe thamani mtu na Sio kuangalia muonekano wa nje pekee!!
CC: My wife Qashy Lilith 🥰 ananijua vyema.
Anaebisha aniulize kukuhusuInfact, Mimi huwa nazingatia maudhui ya nyimbo sio hali ya Muimbaji.
Siwezi kuacha kisikikiza nyimbo ya Michael Jackson "Man in the Mirror" sababu alibadili jinsia wakati nyimbo ina-Inspire changes.
Hii baadhi ya mistari yake:
If you wanna make the world a better place 🎶 Take a look at yourself and make a change 🎶
Au ile "Will you be there".
Huyo Lil nas X unayemtaja mimi sio Fan wake sababu hana nyimbo ambayo inamaudhui yenye kujenga, Zote ni za usengerema sengerema tu.
Kile kinachonijali ni akili ya ndani!!
Ninavutiwa zaidi na mawazo ya mtu, moyo wake na jinsi anavyoitazama dunia.
Hicho ndicho kinachonifanya mimi nimpe thamani mtu na Sio kuangalia muonekano wa nje pekee!!
CC: My wife Qashy Lilith 🥰 ananijua vyema.
Vina JiniKibabu mteganda ananiita Lyrical Yahweh 😂😂
Infact sio kila msanii huimba kitu sahihi wakati wote, Kuna muda iwe HIPHOP au R&B wote tu huwa wanaimba vitu visivyo na mantiki.
Hata huyo harmonize anangoma zinazohamasisha kufanya mabaya na zinazohamasisha kufanya mazuri.
Kikubwa ni wewe binafsi kuhakikisha unasikiliza kitu chenye kukuhamasisha na kukujenga.
Binafsi nasikiliza HIPHOP kwasana sababu huko mara nyingi wanaimba vitu positive 🧠
Lakini pia nasikiliza sana Country music, Zilpendwa na Reggae
Ana wordplay Kali sanaAnajitahidi, anajaribu kucheza na maneno, sio mbaya.
Mkuu zingatia hii point yangu kwanza kwenye maelezo uliyo ni quote. 👇👇Samahan we unasikiliza na huwa huelewi, jamaa kauliza swali nyimbo 5 za konde zinazohamasisha bangi. Umekuja na essay kubwa kuelezea reggae au country songs, hakuna mziki unafundisha kila kitu kuzidi hip hop hii dunia.
R&b ni mapenz
Hip hop elimu
Reggae uhuru na aman
Kwaya Mungu
Nilizosahau utamalizia
Vina anatisha mzee 👊🏾✊🏿Vina jini