Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Kunakuwaga na kipindi cha majaribio...Uzushi huu. Sema nilivyoona hii channel bado ina mapungufu wayarekebishe haraka, subtitles hazionekani, logo inaendana na ya Maisha Magic, quality ya picha hairidhishi. Wajitahidi wawaige E.TV wale tangu mwanzo walianza vizuri sana hasa kwa upande wa ubora wa picha