GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Uzitowake si chini ya kilo 1,000 yaani tani moja.Sasa kama anakupa Lita 20 Tu x 2000= 40,000 Kwa siku x 30= 1,200,000 x mwaka= 14,000,000 toa 2,000,000 za kumtunza unarejesha pesa yote ...hapo ndama na mbolea sijaweka.Kuanzia mwaka wa 2 ni faida tu
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Ila nyie motivation speakers huwa mnaongea vitu kiurahisi rahisi sanaSasa kama anakupa Lita 20 Tu x 2000= 40,000 Kwa siku x 30= 1,200,000 x mwaka= 14,000,000 toa 2,000,000 za kumtunza unarejesha pesa yote ...hapo ndama na mbolea sijaweka.Kuanzia mwaka wa 2 ni faida tu
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Kasema lita 60 kwa siku! Rekebisha mahesabu! Na maziwa bei ni 1,500 kwa litaSasa kama anakupa Lita 20 Tu x 2000= 40,000 Kwa siku x 30= 1,200,000 x mwaka= 14,000,000 toa 2,000,000 za kumtunza unarejesha pesa yote ...hapo ndama na mbolea sijaweka.Kuanzia mwaka wa 2 ni faida tu
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Ayabakii Kila siku utauza yote tuu??Kwahiyo lita 60kwa siku x 1,500=90,000 kwa siku. Kwa mwezi 90,000x30=2,700,000. Kwa mwaka 2,700,000x12=32,400,000
Duuh,lita 1500??Kasema lita 60 kwa siku! Rekebisha mahesabu! Na maziwa bei ni 1,500 kwa lita
MotivationKwahiyo lita 60kwa siku x 1,500=90,000 kwa siku. Kwa mwezi 90,000x30=2,700,000. Kwa mwaka 2,700,000x12=32,400,000
hii hesabu haina uhalisia mkuu, utaingia chaka buree, halafu lita 60 kwa siku? sipingi ila kwa tanzania sidhani kama kuna ngombe wa kutoa hzo lita kwa siku.Kwahiyo lita 60kwa siku x 1,500=90,000 kwa siku. Kwa mwezi 90,000x30=2,700,000. Kwa mwaka 2,700,000x12=32,400,000
Biashara ya pdfSasa kama anakupa Lita 20 Tu x 2000= 40,000 Kwa siku x 30= 1,200,000 x mwaka= 14,000,000 toa 2,000,000 za kumtunza unarejesha pesa yote ...hapo ndama na mbolea sijaweka.Kuanzia mwaka wa 2 ni faida tu
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
ngombe mwenye uzito karibia tani moja unamtunza kwa 2m kwa mwaka? hyo hela haitoshi mkuu.Sasa kama anakupa Lita 20 Tu x 2000= 40,000 Kwa siku x 30= 1,200,000 x mwaka= 14,000,000 toa 2,000,000 za kumtunza unarejesha pesa yote ...hapo ndama na mbolea sijaweka.Kuanzia mwaka wa 2 ni faida tu
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
anakula nusu pick up peke yake kwa siku.. kwa mwezi anaweza kuwa anakula almost laki 4 peke yake 😂ngombe mwenye uzito karibia tani moja unamtunza kwa 2m kwa mwaka? hyo hela haitoshi mkuu.
kwa hyo jk yeye ana ng'ombe kama hao? kuna mwamba alishasema hapa jf kuna kwenye baadhi ya ranch za taifa tuna pure breed ya boran, ambao nao kwenye uzito wanatisha.Uzitowake si chini ya kilo 1,000 yaani tani moja.
Umenikumbusha Kikwete alikwenda Zimbabwe akashangaa kuona ng'ombe anauzito unaozidi tani moja, mpaka anaondoka madarakani hakuiwezesha nchi iwe na ng😱mbe wa aina hiyo, hapo ndipo utaona ziara zao huwa kwa manufaa yao tu.
Motivation speaker anakuambia ngombe anayekupa hzo lita unatumia only 2m kumtunza kwa mwaka, maajabu haya.Ila nyie motivation speakers huwa mnaongea vitu kiurahisi rahisi sana
Mkuu Nadhani Alinunua Binafsi Anafuga Msoga HukoUzitowake si chini ya kilo 1,000 yaani tani moja.
Umenikumbusha Kikwete alikwenda Zimbabwe akashangaa kuona ng'ombe anauzito unaozidi tani moja, mpaka anaondoka madarakani hakuiwezesha nchi iwe na ng😱mbe wa aina hiyo, hapo ndipo utaona ziara zao huwa kwa manufaa yao tu.
MkuuMotivation
Ng'ombe haitaji kula majani tu ili kukamuliwa
Kuna kuacha kunyonyesha kwa kipindi fulani na kuna kipindi cha mimba na sidhani kama huwa ananyonyesha kwa mwaka mzima