JS Dairy Farm
JF-Expert Member
- Feb 13, 2022
- 331
- 744
Habari njema kwa wafugaji wa Ng'ombe Mbuzi na Kondoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hio mitaa ya sing'isi alipo huyo mfugaji maziwa Ni buku tu kwa Lita.Kasema lita 60 kwa siku! Rekebisha mahesabu! Na maziwa bei ni 1,500 kwa lita
Unapandisha kwa kutumia AI tu.Boran bull anapatikana SA mnadani anauzwa kuanzia rand 2m kuendelea mpaka 3m pana mfugaji mmoja wa Arusha miaka ya nyuma alimnunua nadhani haikupungua 60m kwa kipindi hicho ila gharama ya kupandisha ng'ombe kwake ipo juu sana inaendana na gharama za kumtunza huyo Boran bull..
minimum ni 50% ya maziwa anayozalisha ku-cover chakula na madawa,Gharama ya kumtunza inazidi hiyo 2,000,000/- kwa mwaka hasa Kama unamfuga mjini.
Acha kufikiria usawa wa magoti, demand ni kubwa kuliko mahitaji...sio lazima uuze maziwa, unaweza ukauza siagi, rahisi sana kutengeneza soko ni easy, unaweza ukauza mtindi, unaweza ukapack UHT, unaweza ukatengeneza maziwa ya ungaAyabakii Kila siku utauza yote tuu??
Na ya excel pia formular ziko linked ukidrag net profit mamilioni mpaka utajiuliza why nahangaika wakati fursa kumbe zipo anza kufuga sasa utaona mapichapicha yooooooteBiashara ya pdf
Tumia asilimia Moja ya akili Yako angalauAcha kufikiria usawa wa magoti, demand ni kubwa kuliko mahitaji...sio lazima uuze maziwa, unaweza ukauza siagi, rahisi sana kutengeneza soko ni easy, unaweza ukauza mtindi, unaweza ukapack UHT, unaweza ukatengeneza maziwa ya unga