Ni huyu hapa bonge la mtu wa katikati, alikuwa Amerika miaka 15 kaamua kurudi kwao ndio kaanzisha mradi huo naona sasa yuko mbali sana alianza na kufyeka pori, akapeleka vijana baadae kaweka mabanda ya mbuzi wakawa wengi akaongeza kondoo, akalima nyasi kwa ajili ya malisho hapo hapo, akaongeza kondoo
Halafu kila akipata hela anawekeza kwenye mifugo
Kwa sasa ana nguruwe, kuku, na pia akaanza kuleta na ng'ombe wa Boran
Anauza mbegu bora kabisa Tena na vyeti anakuonyesha alikowanunua mpaka kuingia UG
Ni jamaa smart sana na huyo partner wake wa biashara ni mdada huyo kwenye picha
Valuefarm ni moja tu hiyo hiyo na sio wengi ni huyo Bonge na mdada
View attachment 2851391