Ngongo anatarajiwa kufika mbele ya kikosi kazi wakati wowote kuanzia kesho

Ngongo anatarajiwa kufika mbele ya kikosi kazi wakati wowote kuanzia kesho

Ngongo

Platinum Member
Joined
Sep 20, 2008
Posts
20,654
Reaction score
35,887
Heshima sana,

Mimi Ngongo Balozi wa kumi natarajia kufika mbele ya kikosi kazi kutoa maoni yangu kuhusu Katiba.

Mosi,naunga mkono katiba mpya kwakuwa hii ya sasa imepitwa na wakati.

Natarajia kuangazia mambo manne tu mengine nawaachia waTanzania wengine.

Katiba lazima ipunguze ukubwa/msururu wa serekali hasa viongozi wakuu wa kitaifa na viongozi ngazi ya Wilaya.
Napendekeza cheo cha Makamu wa Rais na Waziri Mkuu kiwe kimoja.

Napendekeza Katiba mpya Wakuu wa Wilaya,Wakurugenzi wa Miji kiwe cheo kimoja,Majukumu ya Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi kiunganishwe.

Napendekeza Wabunge na Madiwani wasigombee zaidi ya vipindi viwili.

Napendekeza teuzi za Rais kwa nafasi za Mawaziri,Wakuu wa Mikoa,Wakuu wa Mashirika ya Umma,Mabalozi,Wakuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama lazima kuthibitishwa na Bunge.

Napendekeza mishihara ya wote niliowataja hapo pawepo na bodi ya kupandisha mishahara na stahili nyingine badala ya kuachwa kujipandishia mishahara hovyo hovyo.

Napendekeza kuunganisha NIDA na RITA

Napendekeza idadi ya mawaziri ipo ktk katiba.

Napendekeza iwepo tume\Bodi ya kuajiri,kufukuza na kupandisha cheo majaji.

Napendekeza Rais akitenda matendo ya jinai ashitakiwa mara moja si kungoja mpaka akistaafu.

Napendekeza umiliki wa ardhi urejeshwe kwa wananchi si umma kupitia Rais.

Naomba kuwasilisha.

Ngongo kwa sasa safarini kuelekea kutoa maoni mbele ya kikosi kazi.
 
Ni mapendekezo mazuri,tunahitaji katiba itakayopunguza gharama na sio kuongezea wananchi mzigo
 
Pendekezo Moja liwasilishe pia, watahakikisha vipi hii katiba mpya haikiukwi/ kusiginwa kama ilivyo ya Sasa?

Kuwa na katiba nzuri ni jambo Moja, utekelezaji ilete tija ni jambo lingine.

Binafsi sioni umuhimu wa bunge kabisa, ni kitu tumerithi tu au tumeiga Kwa wengine. Tunahitaji kamati yenye wabobezi wa mambo ya sheria kusimamia mchakato wa mambo ya kisheria.

Uwaziri uwe ni nafasi ya kitaalam. Unaomba kuwa waziri wa Nishati, vigezo vinaangaliwa, mnashindanishwa na unaeleza kwanini upewe hiyo nafasi. Inakua ni kazi ya mkataba unaongezewa muda Kwa kadri unavyotekeleza Kwa ufanisi majukumu Yako kulingana na matarajio na malengo mliyojiwekea. Kwanza hapa tunaweza kuwa na Wakurugenzi na makaribu wakuu tu. Waziri wanini? Tunaongea gharama tu.

Waruhusu wagonbwa huru wasiokua na chama.

Mwisho, tuwe na mpango wa maendeleo wa miaka hamsini ambao ndio unaongoza jitihada, juhudi na nguvu zetu zote kuutekeleza kama taifa, viongozi wote akiwepo Rais, watapimwa Kwa namna wanavyotekeleza huo mpango. Haitajalisha chama Gani kinashoka Dola, ili kibaki madarakani ni lazima kithibitishe na kuweza kuleta mabadiliko kadri ya mpango wa taifa unavyoongoza.
 
Waambie tajiri kichwa napendekeza mawaziri na manaibu wao wasiwepo. Katibu wa wizara anatosha kuongoza wizara. Wabunge wabaki na kazi ya kuliongoza bunge.

Maswali na majibu atajibu waziri mkuu bungeni. Au makatibu wa kila wizara

Mkuu nimelichukua hilo.

Pia nitapendekeza kufuta viti maalumu.

Napendekeza Spika wa Bunge asiwe mbunge.

Napendekeza viti 10 vya wabunge kupitia jimbo la Ikulu kuondolewa mara moja.

Napendekeza wagombea nafasi za Madiwani,Wabunge na Rais kupimwa afya ya akili kabla kuruhusiwa kugombea kuepuka nchi,wilaya na Nchi kuongozwa na vichaa.

Napendekeza idadi ya wabunge iwekwe katika katiba kuepuka kuzalishwa majimbo hovyo hovyo.

Napendekeza TUME HURU YA UCHAGUZI.watendaji wote lazima kuapa mbele ya Jaji na iwapo watabainika kutimia nafasi zao vibaya wafungwe maisha.
 
Mapendekezo yako yote mazuri na ni muhimu sana kwa nchi yetu.
Naunga hoja mkono.
Heshima sana,

Mimi Ngongo Balozi wa kumi natarajia kufika mbele ya kikosi kazi kutoa maoni yangu kuhusu Katiba...
 
Hii inahusiana vipi na kuondolewa kwa cheo kimojawapo cha makamu wa Rais au waziri mkuu?
Akili huna
Tanganyika na Zanzibar zinakuwa nchi moja au mbili kwenye muungano?
 
Yote haya uko sahihi, wazalendo wote watakuunga mkono.
Mkuu nimelichukua hilo.

Pia nitapendekeza kufuta viti maalumu.
Napendekeza Spika wa Bunge asiwe mbunge.
Napendekeza viti 10 vya wabunge kupitia jimbo la Ikulu kuondolewa mara moja.
Napendekeza wagombea nafasi za Madiwani,Wabunge na Rais kupimwa afya ya akili kabla kuruhusiwa kugombea kuepuka nchi,wilaya na Nchi kuongozwa na vichaa.
Napendekeza idadi ya wabunge iwekwe katika katiba kuepuka kuzalishwa majimbo hovyo hovyo.
Napendekeza TUME HURU YA UCHAGUZI.watendaji wote lazima kuapa mbele ya Jaji na iwapo watabainika kutimia nafasi zao vibaya wafungwe maisha.
 
Yanga iingizwe kwenye katiba mpya, na rangi ya kitabu iwe ya wananchi
 
Safari njema kiongozi, natumai watakusikiliza kwa kuwa umeongea yaliyo mema kwa manufaa ya Taifa hili.
Nalog off Z
 
Heshima sana,

Mimi Ngongo Balozi wa kumi natarajia kufika mbele ya kikosi kazi kutoa maoni yangu kuhusu Katiba.

Mosi,naunga mkono katiba mpya kwakuwa hii ya sasa imepitwa na wakati.

Natarajia kuangazia mambo manne tu mengine nawaachia waTanzania wengine.

Katiba lazima ipunguze ukubwa/msururu wa serekali hasa viongozi wakuu wa kitaifa na viongozi ngazi ya Wilaya.
Napendekeza cheo cha Makamu wa Rais na Waziri Mkuu kiwe kimoja.

Napendekeza Katiba mpya Wakuu wa Wilaya,Wakurugenzi wa Miji kiwe cheo kimoja,Majukumu ya Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi kiunganishwe.

Napendekeza Wabunge na Madiwani wasigombee zaidi ya vipindi viwili.

Napendekeza teuzi za Rais kwa nafasi za Mawaziri,Wakuu wa Mikoa,Wakuu wa Mashirika ya Umma,Mabalozi,Wakuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama lazima kuthibitishwa na Bunge.

Napendekeza mishihara ya wote niliowataja hapo pawepo na bodi ya kupandisha mishahara na stahili nyingine badala ya kuachwa kujipandishia mishahara hovyo hovyo.

Napendekeza kuunganisha NIDA na RITA

Napendekeza idadi ya mawaziri ipo ktk katiba.

Napendekeza iwepo tume\Bodi ya kuajiri,kufukuza na kupandisha cheo majaji.

Napendekeza Rais akitenda matendo ya jinai ashitakiwa mara moja si kungoja mpaka akistaafu.

Napendekeza umiliki wa ardhi urejeshwe kwa wananchi si umma kupitia Rais.

Naomba kuwasilisha.

Ngongo kwa sasa safarini kuelekea kutoa maoni mbele ya kikosi kazi.
Mengi sawa mkuu, ingawa yanahitaji uboreshwaji kadhaa. Sitaingia huko kwa sasa.

Lakini ninakuomba sana uniwasilishie nami hili linalonisononesha roho siku hizi.

Hii tabia ya kuokoteza viongozi, hadi kiongozi mkuu kabisa wa nchi ni tabia mbaya na hatari sana kwa nchi yetu.

Fanya uwezalo kuitafutia hoja hiyo nafasi katika mawasilisho yako kwenye tume hiyo. Utaratibu uliopo, kama kweli upo, basi umevurugika sana kwenye miaka hii ya karibuni.
 
Mwisho, tuwe na mpango wa maendeleo wa miaka hamsini ambao ndio unaongoza jitihada, juhudi na nguvu zetu zote kuutekeleza kama taifa, viongozi wote akiwepo Rais, watapimwa Kwa namna wanavyotekeleza huo mpango. Haitajalisha chama Gani kinashoka Dola, ili kibaki madarakani ni lazima kithibitishe na kuweza kuleta mabadiliko kadri ya mpango wa taifa unavyoongoza.
Kama kuna jambo la muhimu kuliko hili, sijui jambo hilo ni lipi!

Mkuu 'Monk', ninakukumbuka sana katika mikwaruzano yetu humu JF, lakini hili hapa naondoa kofia na kuonyesha kipara mbele zako. Hongera sana!

Hata kama siyo mipango ya taifa ya miaka hamsini/hamsini; ishirini hadi thelathini inatosha kama kweli serikali zitalazimika na kuwajibika kutimiza mipango hiyo kikamilifu katika muda uliopangwa.
Na kama kuna dharura, basi patakuwepo na utaratibu mahsusi utakaotumika kuchepuka bila kuathiri malengo ya mwanzo.
 
Heshima sana,

Mimi Ngongo Balozi wa kumi natarajia kufika mbele ya kikosi kazi kutoa maoni yangu kuhusu Katiba.

Mosi,naunga mkono katiba mpya kwakuwa hii ya sasa imepitwa na wakati.

Natarajia kuangazia mambo manne tu mengine nawaachia waTanzania wengine.

Katiba lazima ipunguze ukubwa/msururu wa serekali hasa viongozi wakuu wa kitaifa na viongozi ngazi ya Wilaya.
Napendekeza cheo cha Makamu wa Rais na Waziri Mkuu kiwe kimoja.

Napendekeza Katiba mpya Wakuu wa Wilaya,Wakurugenzi wa Miji kiwe cheo kimoja,Majukumu ya Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi kiunganishwe.

Napendekeza Wabunge na Madiwani wasigombee zaidi ya vipindi viwili.

Napendekeza teuzi za Rais kwa nafasi za Mawaziri,Wakuu wa Mikoa,Wakuu wa Mashirika ya Umma,Mabalozi,Wakuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama lazima kuthibitishwa na Bunge.

Napendekeza mishihara ya wote niliowataja hapo pawepo na bodi ya kupandisha mishahara na stahili nyingine badala ya kuachwa kujipandishia mishahara hovyo hovyo.

Napendekeza kuunganisha NIDA na RITA

Napendekeza idadi ya mawaziri ipo ktk katiba.

Napendekeza iwepo tume\Bodi ya kuajiri,kufukuza na kupandisha cheo majaji.

Napendekeza Rais akitenda matendo ya jinai ashitakiwa mara moja si kungoja mpaka akistaafu.

Napendekeza umiliki wa ardhi urejeshwe kwa wananchi si umma kupitia Rais.

Naomba kuwasilisha.

Ngongo kwa sasa safarini kuelekea kutoa maoni mbele ya kikosi kazi.
Kila la heri
 
Heshima sana,

Mimi Ngongo Balozi wa kumi natarajia kufika mbele ya kikosi kazi kutoa maoni yangu kuhusu Katiba.

Mosi,naunga mkono katiba mpya kwakuwa hii ya sasa imepitwa na wakati.

Natarajia kuangazia mambo manne tu mengine nawaachia waTanzania wengine.

Katiba lazima ipunguze ukubwa/msururu wa serekali hasa viongozi wakuu wa kitaifa na viongozi ngazi ya Wilaya.
Napendekeza cheo cha Makamu wa Rais na Waziri Mkuu kiwe kimoja.

Napendekeza Katiba mpya Wakuu wa Wilaya,Wakurugenzi wa Miji kiwe cheo kimoja,Majukumu ya Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi kiunganishwe.

Napendekeza Wabunge na Madiwani wasigombee zaidi ya vipindi viwili.

Napendekeza teuzi za Rais kwa nafasi za Mawaziri,Wakuu wa Mikoa,Wakuu wa Mashirika ya Umma,Mabalozi,Wakuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama lazima kuthibitishwa na Bunge.

Napendekeza mishihara ya wote niliowataja hapo pawepo na bodi ya kupandisha mishahara na stahili nyingine badala ya kuachwa kujipandishia mishahara hovyo hovyo.

Napendekeza kuunganisha NIDA na RITA

Napendekeza idadi ya mawaziri ipo ktk katiba.

Napendekeza iwepo tume\Bodi ya kuajiri,kufukuza na kupandisha cheo majaji.

Napendekeza Rais akitenda matendo ya jinai ashitakiwa mara moja si kungoja mpaka akistaafu.

Napendekeza umiliki wa ardhi urejeshwe kwa wananchi si umma kupitia Rais.

Naomba kuwasilisha.

Ngongo kwa sasa safarini kuelekea kutoa maoni mbele ya kikosi kazi.
Mkuu ngongo hongera sana. Kila mtanzania mwenye akili anafahamu na kuamini umuhimu wa katiba mpya.

Hata hivyo hayo maoni yako tayari yako kwenye Rasimu alimaarufu ya Warioba.
 
Uwaziri uwe ni nafasi ya kitaalam. Unaomba kuwa waziri wa Nishati, vigezo vinaangaliwa, mnashindanishwa na unaeleza kwanini upewe hiyo nafasi. Inakua ni kazi ya mkataba unaongezewa muda Kwa kadri unavyotekeleza Kwa ufanisi majukumu Yako kulingana na matarajio na malengo mliyojiwekea. Kwanza hapa tunaweza kuwa na Wakurugenzi na makaribu wakuu tu. Waziri wanini? Tunaongea gharama tu.
Sahihi
 
Back
Top Bottom