Ngonjera na mbwembwe nje ya mahakama haitamsaidia Mbowe kushinda kesi, tujitafakari makamanda. Tukumbuke majaji wana mamlaka makubwa

Ngonjera na mbwembwe nje ya mahakama haitamsaidia Mbowe kushinda kesi, tujitafakari makamanda. Tukumbuke majaji wana mamlaka makubwa

Pumbaf kabisa wewe sukuma gang.

Mbwembwe hizo na kukata mauno mnafanya nyinyi kwenu koromitje.

Kwa taarifa yako mh Mbowe atatoka tu na kuwa huru kama walivyofanya kina mwl JK Nyerere na Nelson Mandela
Acha kufananisha kifo na USINGIZI.

Mbowe hana kariba yoyote ya kujaribu kumfananisha na hao Magwiji wawili.

Labda kwenu wachaga.

Mbowe angekuwa mwanasiasa nguli asingeshindwa kudhibiti makundi ndani ya chadema

Muwe mnatafakari kabla ya kuja kuandika utumbo wenu humu.
 
Sijateseka natoa ushauri tu.
With all my respect kwako mkuu yaani usiku huu kichwa chako kinafikiria na kinakuja na uamuzi huu uliouandika hapa?middle class wa kitanzania mna shida mno,wewe huoni tatizo ni mahakama zetu(ubovu wa katiba yetu) ndio tatizo hapa?mkuu panua wigo wako wa kupata fact na hopes umesikiliza au kuangalia jinsi wenzetu hapo S.A. wanavyomtafuta CJ wao yaani ni democracy in the making,kama unahitaji link ya interview niambie nikupe hapa ili uweze elimika kidogo.
 
Acha kufananisha kifo na USINGIZI.

Mbowe hana kariba yoyote ya kujaribu kumfananisha na hao Magwiji wawili.

Labda kwenu wachaga.

Mbowe angekuwa mwanasiasa nguli asingeshindwa kudhibiti makundi ndani ya chadema

Muwe mnatafakari kabla ya kuja kuandika utumbo wenu humu.
Binadamu tunatofautiana aisee,huyo unayemwitaa gwiji mi ndo naona ndo alifanyanchiimekuwayahovyo kwenye uongozi.
 
Kukata mauno na kuimba mahakamani nyimbo na ngonjera sio tija ya kisiasa kuweza kusababisha Mbowe akapata ushindi.

Majaji na mahakimu wa Kitanzania wanawigo mpana sana kuweza kupindua matokeo ya kesi kwa utashi wao. Tujikite kutatua tatizo la Mbowe kisheria sio kwa nyimbo na ngojera.

View attachment 2108362
Tangu lini wewe mwana CCM ukawa mshauri katika Mambo ya Chadema, na je unafikili ccm bambikia watu kesi itasaidia CCM baki madarakani? 2025 CCM OUT
 
Acha kufananisha kifo na USINGIZI.

Mbowe hana kariba yoyote ya kujaribu kumfananisha na hao Magwiji wawili.

Labda kwenu wachaga.

Mbowe angekuwa mwanasiasa nguli asingeshindwa kudhibiti makundi ndani ya chadema

Muwe mnatafakari kabla ya kuja kuandika utumbo wenu humu.
Mbowe ndiye Nelson Mandela au mwl JK Nyerere wa sasa katika maisha ya kisiasa.

Hakuna kiongozi mwingine mwenye kufanya siasa safi na za kiweledi kama mh Mbowe.
 
Mkakati wao ni kuweka threads nyingi ili kumtisha jaji
 
Fala sana kwahiyo watu wasiimbe wakae kinyonge!!!
Kamanda pumbafu hataki watu waungane na waimbe anatamani walie jingasana!! South afrika wakiteswa na makaburu waliimba na kucheza hatasasa tutaikomboa nchi bila kushika tama.
Kaburu sisiemu anatesa watu kutumia fulishi wake!!! Geshi la Fulishi wanateka,wanapiga,wanaua,wanasingizia watu kesi nk.
Aibu kuwa na taifa ambalo watunza amani ndio wananyima watu amani huku watu hao ndio huwalipa mshahara.
But karma is real...waovu wrote watalipwa kwauovu wao ima wao au familia zao!!
 
Kukata mauno na kuimba mahakamani nyimbo na ngonjera sio tija ya kisiasa kuweza kusababisha Mbowe akapata ushindi.

Majaji na mahakimu wa Kitanzania wanawigo mpana sana kuweza kupindua matokeo ya kesi kwa utashi wao. Tujikite kutatua tatizo la Mbowe kisheria sio kwa nyimbo na ngojera.

View attachment 2108362
Mbona umekuwa kamanda uliyechoka.nimefatilia post zako hueleweku umesimamia wapi kamana uliyechoka.
 
Kawashauri ndugu zenu koromitje
1644042434897.png
 
Ushauri wako utamfaa sana ndugu yako Makonda. Umwambie kuwa kujificha hakutamaliza kesi.
Kweli kabisa,Makonda aliwahi kunukuliwa akidai yeye ni mingoni mwa Watanzania wanaoishi maisha ya raha kuliko wote.Leo anajificha kujitokeza hadharani?
 
Kukata mauno na kuimba mahakamani nyimbo na ngonjera sio tija ya kisiasa kuwezakusababisha Mbowe akapata ushindi.

Majaji na mahakimu wa Kitanzania wanawigo mpana sana kuweza kupindua matokeo ya kesi kwa utashi wao. Tujikite kutatua tatizo la Mbowe kisheria sio kwa nyimbo na ngojera.

View attachment 2108362

Acha chuki zako kwa CHADEMA. Kwani Nani kasema Mbowe hashughulikiwi kisheria?. Mbona mawakili wapo na wanajitahidi kadri wawezavyo hata kufikia kuweka mapingamizi dhidi ya upande wa mashtaka. Wewe unaumia kuona Wana CHADEMA wanafurahia na wapo.pamoja na Mwenyekiti wao na kuimba Ni kuonesha wapo pamoja na kwenye shida.
 
Acha kufananisha kifo na USINGIZI.

Mbowe hana kariba yoyote ya kujaribu kumfananisha na hao Magwiji wawili.

Labda kwenu wachaga.

Mbowe angekuwa mwanasiasa nguli asingeshindwa kudhibiti makundi ndani ya chadema

Muwe mnatafakari kabla ya kuja kuandika utumbo wenu humu.

Wewe ndio uwe unatafakari. Wewe mwana CCM unampangiaje mwanachadema kuhusu kiongozi wake wa chama. Kama unamuona Mbowe hafai Ni kwaki na CCM kwa CHADEMA anafaa Sana. Hakuna makundi CHADEMA Ni wasaliti tu ndio waliokimbia kipindi Cha shida na kuleta chokochoki.

Mh Mbowe amefanya mengi kwa CHADEMA. Kwa mwana CHADEMA yeyote Mbowe ana hadhi kubwa Sana. Hivyo kwa Yale aliyopitia kwenye siasa Ni sawa kumlinganisha na Mandela, maana amefanyiwa Visa vingi vya ajabu na dola ya ccm. Yani serikali inateua mkuu was wilaya kwenda kumshughulikia Mbowe basi, Kama sio utahira na ujinga Ni Nini?.
 
Kukata mauno na kuimba mahakamani nyimbo na ngonjera sio tija ya kisiasa kuweza kusababisha Mbowe akapata ushindi.

Majaji na mahakimu wa Kitanzania wanawigo mpana sana kuweza kupindua matokeo ya kesi kwa utashi wao. Tujikite kutatua tatizo la Mbowe kisheria sio

Kukata mauno na kuimba mahakamani nyimbo na ngonjera sio tija ya kisiasa kuweza kusababisha Mbowe akapata ushindi.

Majaji na mahakimu wa Kitanzania wanawigo mpana sana kuweza kupindua matokeo ya kesi kwa utashi wao. Tujikite kutatua tatizo la Mbowe kisheria sio kwa nyimbo na ngojera.

View attachment 2108362
Wanamamlaka makubwa🤔🤔🤔???????
 
Kukata mauno na kuimba mahakamani nyimbo na ngonjera sio tija ya kisiasa kuweza kusababisha Mbowe akapata ushindi.

Majaji na mahakimu wa Kitanzania wanawigo mpana sana kuweza kupindua matokeo ya kesi kwa utashi wao. Tujikite kutatua tatizo la Mbowe kisheria sio kwa nyimbo na ngojera.

View attachment 2108362
Kwa hiyo bwana mzee hao judges wako wenye kutia mtu hatian bila hatia waachwe tu kwa 7bu wana wigo mpana? Hzo unazoita ngonjera cjui tarabu zina kazi maalum ya kuwajaza aibu hao majaj wako wahukumu kwa haki.
 
Back
Top Bottom