Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
J, tatu kakate mauno na shanga zako miunoni.
J3 mbali, kesho mchana naenda na nitalala hapo hapo mahakamani kwa ajili ya J3. Unakonda?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
J, tatu kakate mauno na shanga zako miunoni.
Kwa hiyo ulitaka WAANGUE KILIO?Kukata mauno na kuimba mahakamani nyimbo na ngonjera sio tija ya kisiasa kuweza kusababisha Mbowe akapata ushindi.
Majaji na mahakimu wa Kitanzania wanawigo mpana sana kuweza kupindua matokeo ya kesi kwa utashi wao. Tujikite kutatua tatizo la Mbowe kisheria sio kwa nyimbo na ngojera.
View attachment 2108362
Halafu mimi sioni umuhimu wa kuendelea kuleta hawa Polisi maana wote wanasema kitu kilekile tu. Ushahidi kwangu uliishia kwa Urio. Hawa wengine ni hear says tuHakuna kesi hapo.
wamejaza mashahidi wa mchongo ili siku zisonge Mbowe akisota rumande.
Matumizi mabaya ya fedha za Umma maaskari wakiendelea kulipwa nights na perday kwa kesi ya namna hii!
SINA NAMNA YOYOTE YA KUKUSAIDIAHalafu mimi sioni umuhimu wa kuendelea kuleta hawa Polisi maana wote wanasema kitu kilekile tu. Ushahidi kwangu uliishia kwa Urio. Hawa wengine ni hear says tu
Mmeng'ang'ana na hashtag "mbowe sio gaidi" badala ya kujikita kuprove mahakamani kisheria. Kesi ni rahisi mkiondoa mentality kwamba anaonewa.Kukata mauno na kuimba mahakamani nyimbo na ngonjera sio tija ya kisiasa kuweza kusababisha Mbowe akapata ushindi.
Majaji na mahakimu wa Kitanzania wanawigo mpana sana kuweza kupindua matokeo ya kesi kwa utashi wao. Tujikite kutatua tatizo la Mbowe kisheria sio kwa nyimbo na ngojera.
View attachment 2108362
Lililobaki labda uende ukasaidie kubumba ushahidi wa nyongeza. Kwa kweli huu uliyopo wapwaya sana.SINA NAMNA YOYOTE YA KUKUSAIDIA
Chaggadema 🤣🤣🤣Mamluki upo kazini umeshamaliza kazi nenda Lumumba ukachukue 7000
Umemjibu vyema huyu kahaba.Makubwa! Umehamia kwangu.Kimtokacho mtu ndicho kilichomjaa moyoni.Sababu hayo ndiyo yaliyokujaa naona yameaanza kufurika sasa.Barikiwa
Abaki alivyo maana ndivyo alivyoUmemjibu vyema huyu kahaba.
sasa ushaur kaka wakati unaona kabisa wanasheria wanavyompigania" sasa unataka wajikite vipi tena kwenye sheria?Sijateseka natoa ushauri tu.
Pumbavusasa ushaur kaka wakati unaona kabisa wanasheria wanavyompigania" sasa unataka wajikite vipi tena kwenye sheria?
sasa matusi yanini tena? ina maana unajua sana kutukana au vp? unachofanya hata sio poa tunatakiwa kutumia japo busara tunapokuwa majukwaanPumbavu