Ngono ndiyo silaha kuu ya Ibilisi anayojivunia nyakati hizi

Ngono ndiyo silaha kuu ya Ibilisi anayojivunia nyakati hizi

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Habari!

Najua kuwa nitapingwa na baadhi yenu ila sijali. Ujumbe utakuwa umefika.

Shetani amekoleza tamaa za kingono kwenye miili ya vijana mara dufu, kama haitoshi shetani amekoleza tamaa za macho kwa mabinti.

Leo hii binti ambaye anaishi kwa wazazi wake anatamani Iphone macho 3.

Imefika wakati vijana ubongo wao umejaa ngono tu.
Kwa hali hii tusitegemee akili za kingono zikavumbua kitu kipya dunia ikashangaa.

Leo hii kijana anaingia kanisani au msikitini huku ameamoniwa anahudumu kumbe simu yake yenye pornography kaingia nayo ibadani.

Tutaishia kutumia vitu walivyobuni wenzetu tu na sisi tutaita cherehani kiwanda.

Tamaa ya hand bag nzuri, viatu vizuri, simu nzuri na chips yai imepelekea wadada kuwa na wapenzi zaidi ya 3.

Ngono na pombe huharibu akili safi.

Hosea 4:11, Ulevi na divai, na divai mpya huondoa fahamu za wanadamu.
 
Starehe ya masikini ni ngono! Na ngono na maendeleo kila mtu na njia yake huo ndiyo ukweli tukubali tukatae!

Unakuta mtu ana kipato kikubwa tu ila hafanyi maendeleo yoyote hela zake yeye ni za kuhonga malaya tu! Halafu utamsikia naye anailalamikia serikali kuwa inakandamiza uchumi mzunguko wa pesa ni mdogo ndiyo maana kawa masikini!
 
Habari!
Najua kuwa nitapingwa na baadhi yenu ila sijali. Ujumbe utakuwa umefika.
Shetani amekoleza tamaa za kingono kwenye miili ya vijana mara dufu, kama haitoshi shetani amekoleza tamaa za macho kwa mabinti.
Leo hii binti ambaye anaishi kwa wazazi wake anatamani Iphone macho 3.
Imefika wakati vijana ubongo wao umejaa ngono tu.
Kwa hali hii tusitegemee akili za kingono zikavumbua kitu kipya dunia ikashangaa.
Leo hii kijana anaingia kanisani au msikitini huku ameamoniwa anahudumu kumbe simu yake yenye pornography kaingia nayo ibadani.
Tutaishia kutumia vitu walivyobuni wenzetu tu na sisi tutaita cherehani kiwanda.
Tamaa ya hand bag nzuri, viatu vizuri, simu nzuri na chips yai imepelekea wadada kuwa na wapenzi zaidi ya 3.
Ngono na pombe huharibu akili safi.
Hosea 4:11, Ulevi na divai, na divai mpya huondoa fahamu za wanadamu.
Ani umeongea ukweli kabisaaa. Ani wewe Mwenyewe uliwaza Kwanza ngono ndo uka andika hii Thread 😁😁. Maana ungesema uongo au tamaa ungekuwa umelenga Kwenye maana Kila dhambi lazima iwe na kichocheo(catalyst) uongo au Tamaa.
Ila uzi umzuri Sana🤝🤝
 
Sikuizi so poa solo la ngono limeamia kwenye massage center watu anakata leseni ya miashara ya massage kumbe kinacho endelea ndani ni biashara ya ngono.
 
Habari!
Najua kuwa nitapingwa na baadhi yenu ila sijali. Ujumbe utakuwa umefika.
Shetani amekoleza tamaa za kingono kwenye miili ya vijana mara dufu, kama haitoshi shetani amekoleza tamaa za macho kwa mabinti.
Leo hii binti ambaye anaishi kwa wazazi wake anatamani Iphone macho 3.
Imefika wakati vijana ubongo wao umejaa ngono tu.
Kwa hali hii tusitegemee akili za kingono zikavumbua kitu kipya dunia ikashangaa.
Leo hii kijana anaingia kanisani au msikitini huku ameamoniwa anahudumu kumbe simu yake yenye pornography kaingia nayo ibadani.
Tutaishia kutumia vitu walivyobuni wenzetu tu na sisi tutaita cherehani kiwanda.
Tamaa ya hand bag nzuri, viatu vizuri, simu nzuri na chips yai imepelekea wadada kuwa na wapenzi zaidi ya 3.
Ngono na pombe huharibu akili safi.
Hosea 4:11, Ulevi na divai, na divai mpya huondoa fahamu za wanadamu.
Mwanaume ukiweza control hisia na hamu ya ngono na mapenzi umeshatatua nusu ya matatizo yako...
 
Habari!
Najua kuwa nitapingwa na baadhi yenu ila sijali. Ujumbe utakuwa umefika.
Shetani amekoleza tamaa za kingono kwenye miili ya vijana mara dufu, kama haitoshi shetani amekoleza tamaa za macho kwa mabinti.
Leo hii binti ambaye anaishi kwa wazazi wake anatamani Iphone macho 3.
Imefika wakati vijana ubongo wao umejaa ngono tu.
Kwa hali hii tusitegemee akili za kingono zikavumbua kitu kipya dunia ikashangaa.
Leo hii kijana anaingia kanisani au msikitini huku ameamoniwa anahudumu kumbe simu yake yenye pornography kaingia nayo ibadani.
Tutaishia kutumia vitu walivyobuni wenzetu tu na sisi tutaita cherehani kiwanda.
Tamaa ya hand bag nzuri, viatu vizuri, simu nzuri na chips yai imepelekea wadada kuwa na wapenzi zaidi ya 3.
Ngono na pombe huharibu akili safi.
Hosea 4:11, Ulevi na divai, na divai mpya huondoa fahamu za wanadamu.
Tuwaombee vijana wetu, Mungu awanusuru na ddhambi hii ya zinaa!
 
Back
Top Bottom