KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Afungue tuNinasikia ana mpango wa kutufungulia kesi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afungue tuNinasikia ana mpango wa kutufungulia kesi
Hahahaha!!Inawezekana kabisa..Alafu ukaweza kucontrol na pombe bhangi na Unga . Tatizo linakuwa limebaki robo
Afungue tu, lakini atapigwa mshangao baada ya mashahidi wake wote kujitoa kwa tabia aliyowafundisha mwenyewe.Ninasikia ana mpango wa kutufungulia kesi
Kama hauna ni wewe. Matajiri ninaowajua. Wanajengea hao unaowaita malaya nyumba, wanawanunulia magari, wanawapa mitaji, wanawapangishia nyumba na apartment bado utajiri wao unazidi kuwa mkubwa.Starehe ya masikini ni ngono! Na ngono na maendeleo kila mtu na njia yake huo ndiyo ukweli tukubali tukatae!
Unakuta mtu ana kipato kikubwa tu ila hafanyi maendeleo yoyote hela zake yeye ni za kuhonga malaya tu! Halafu utamsikia naye anailalamikia serikali kuwa inakandamiza uchumi mzunguko wa pesa ni mdogo ndiyo maana kawa masikini!
Akisimama kibatala atashinda labda kama jaji awe tigangaNinasikia ana mpango wa kutufungulia kesi
😂😂😂😂😂Akisimama kibatala atashinda labda kama jaji awe tiganga
Wapo tofauti, wanaogundua na kuvumbua na wanaofanya vizuri kibiashara hawafanyi hivyo.Wazungu wanatiana kichizi,mixer kufirana hatari Ila ndio wavumbuzi wa kila Kitu.
Kwa hiyo hao mabinti huwa wanajifanya wenyewe!Habari!
Najua kuwa nitapingwa na baadhi yenu ila sijali. Ujumbe utakuwa umefika.
Shetani amekoleza tamaa za kingono kwenye miili ya vijana mara dufu, kama haitoshi shetani amekoleza tamaa za macho kwa mabinti.
Leo hii binti ambaye anaishi kwa wazazi wake anatamani Iphone macho 3.
Imefika wakati vijana ubongo wao umejaa ngono tu.
Kwa hali hii tusitegemee akili za kingono zikavumbua kitu kipya dunia ikashangaa.
Leo hii kijana anaingia kanisani au msikitini huku ameamoniwa anahudumu kumbe simu yake yenye pornography kaingia nayo ibadani.
Tutaishia kutumia vitu walivyobuni wenzetu tu na sisi tutaita cherehani kiwanda.
Tamaa ya hand bag nzuri, viatu vizuri, simu nzuri na chips yai imepelekea wadada kuwa na wapenzi zaidi ya 3.
Ngono na pombe huharibu akili safi.
Hosea 4:11, Ulevi na divai, na divai mpya huondoa fahamu za wanadamu.
Kwa bongo hao wanaume ni wangapi kulinganisha na hawa masikini wanaolialia kila siku na je factors za utajiri wa hao ni zipi? Halafu na wewe kumbe ni kati ya wale wengi wanaoamini kuwa Diamond anahonga sana?Kama hauna ni wewe. Matajiri ninaowajua. Wanajengea hao unaowaita malaya nyumba, wanawanunulia magari, wanawapa mitaji, wanawapangishia nyumba na apartment bado utajiri wao unazidi kuwa mkubwa.
Hakuna uhusiano wa umalaya wa mwanaume tajiri na hela zake.
Kama ni umalaya wa ngono. Diamond angekuwa kafirisika.
Ngono iliyo nje ya ndoa na ulalaji na watu kiholela kuna kula sana uchumi wa watu, magonjwa na mambo mengine.. ngono sio nzuri na starehe ya maskini sio ngono, starehe ya maskini ni kumjua Mungu na kumcha.. hizi semi zingine ni kutengeza au kuharalisha uchafuStarehe ya masikini ni ngono! Na ngono na maendeleo kila mtu na njia yake huo ndiyo ukweli tukubali tukatae!
Unakuta mtu ana kipato kikubwa tu ila hafanyi maendeleo yoyote hela zake yeye ni za kuhonga malaya tu! Halafu utamsikia naye anailalamikia serikali kuwa inakandamiza uchumi mzunguko wa pesa ni mdogo ndiyo maana kawa masikini!
Sawa jiniBinadamu acheni kumsingizia shetani hangaikeni na nyege zetu.
Mambo Kwa ground ni tofauti aiseeNgono iliyo nje ya ndoa na ulalaji na watu kiholela kuna kula sana uchumi wa watu, magonjwa na mambo mengine.. ngono sio nzuri na starehe ya maskini sio ngono, starehe ya maskini ni kumjua Mungu na kumcha.. hizi semi zingine ni kutengeza au kuharalisha uchafu
Twende nyuma turudi nyuma sex ni uharibifu sana wa nafsi, ina athari kubwa sana kiroho na ki mwili.. ila mengine tuyaache tu mazito sana ingawa yanaoneka mepesi ..Mambo Kwa ground ni tofauti aisee
Hanithi pekee ndio hana hisia, nanyi mnataka muwe ma hanithi ?Mwanaume ukiweza control hisia na hamu ya ngono na mapenzi umeshatatua nusu ya matatizo yako...