Ngono ni ibada na madhabahu

Ngono ni ibada na madhabahu

Hahahah nipe uzoefu wako[emoji3]
Uzoefu wangu labda nikupe kwa wife na Michepuko yangu.

1. MamaG,
Huyu nyota yake Ni nzur Sana
Inahitaji natunze hela, kweli zinatunzika nafanya vitu vya maana, coz nilivoanza na Sasa nilipo, muongo mmoja na kitu kwny ndoa Si haba. Alhamdullilahi mwanga wa mafanikio nauona mbeleni.

2. Mchepuko MamaJ,
Huyu nyota yake inahitaji nitumie nae pesa zaidi ndo napata pesa Zaid ya nilizotumia.
Tena sio kutumia nae kwny vitu vya maana, Bali vitu vya kijinga jinga Kama pombe, ngono,bar na marafiki.
Kwahyo nyota ya mamaJ inacheza na law ya use&miss use.
Mwaka wa 4 huu kwny mahusiono, tunatumia San, sijayumba,nasonga mbele.

3. Mchepuko Fundi cherehani,
Huyu Huwa nahisi ana gundu,
Nikikutana nae Lazima Kuna Jambo baya la kunirudisha nyuma litatokea.
Liwe dogo au Kubwa,ila lazima TU Kuna namna litatokea.
[emoji117]Nishapata ajali 2 nusu kufa natoka kwake,
[emoji117]nishapata misala ya Tra baada ya kutoka kukutana nae
[emoji117]Nishawahi kuibiwa Dukan usiku ambao nilidanganya Niko Safar,kumbe nmeenda kulala kwake kumchakata
[emoji117]Nishaharibikiwa gar Mara 2 njiani nikienda/kutoka kwake
[emoji117] Biashara haichangamki siku au Jana yake ninapotoka kusex nae.
Mwaka wa 3 huu kwny mahusiano, tuko kwny on/off mode, namtafuta nnapokua nmebanwa Sana

4.mchepuko Mwanachuo
Huyu hata sielewagi nyota yake,
Naona kila kitu Kiko normal ntapokutana nae. Sipati bahati Wala mikosi. Yupo yupo TU. Mwaka wa 2 huu nae Ni on/off mode.
Huwa namtafuta nnapokua na dharula TU.
 
Uzoefu wangu labda nikupe kwa wife na Michepuko yangu.

1. MamaG,
Huyu nyota yake Ni nzur Sana
Inahitaji natunze hela, kweli zinatunzika nafanya vitu vya maana, coz nilivoanza na Sasa nilipo, muongo mmoja na kitu kwny ndoa Si haba. Alhamdullilahi mwanga wa mafanikio nauona mbeleni.

2. Mchepuko MamaJ,
Huyu nyota yake inahitaji nitumie nae pesa zaidi ndo napata pesa Zaid ya nilizotumia.
Tena sio kutumia nae kwny vitu vya maana, Bali vitu vya kijinga jinga Kama pombe, ngono,bar na marafiki.
Kwahyo nyota ya mamaJ inacheza na law ya use&miss use.

3. Mchepuko Fundi cherehani,
Huyu Huwa nahisi ana gundu,
Nikikutana nae Lazima Kuna Jambo baya la kunirudisha nyuma litatokea.
Liwe dogo au Kubwa,ila lazima TU Kuna namna litatokea.
[emoji117]Nishapata ajali 2 natoka kwake,
[emoji117]nishapata misala ya Tra baada ya kutoka kukutana nae
[emoji117]Nishawahi kuibiwa Dukan usiku ambao nilidanganya Niko Safar,kumbe nmeenda kulala kwake kumchakata
[emoji117]Nishaharibikiwa gar Mara 2 njiani nikienda/kutoka kwake
[emoji117] Biashara haichangamki siku au Jana yake ninapotoka kusex nae.

4.mchepuko Mwanachuo
Huyu hata sielewagi nyota yake,
Naona kila kitu Kiko normal ntapokutana nae. Sipati bahati Wala mikosi. Yupo yupo TU.
Hapo sasa unajua yupi wa kupiga chini yupi wa kumbakisha
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]wabongo bwana kilakitu lazima wakihusishe na nguvu zagiza.halafu wanajiona wajaaaaanja wenyewe kumbe viazi tuu.ndiomana hata hawa manabii feki wamewashika Sana kiasi Cha kujaza uwanja mzima ili waombewe[emoji1787]matatizo yao yaishe[emoji1787]poleni Sana mnao amini nguvu zagiza..semeni ..ansante halafu mkaoge maji yachunvi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wakulungwa hudai kwa asilimia kubwa sana wachawi ndiyo hupinga uwepo wa uchawi, jitafakari........[emoji2960][emoji143]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Mwanaume au mwanamke anapofanya mapenzi Je anabarikiwa au analaanika? Je, anapata uchungu, au furaha,?

Je anahisi upendo, je, anakupenda? Ngono ni ibada ya kubadilishana nguvu, mawazo, hisia, na roho. Wakati wa ngono unakuwa sifongo ya kiroho kwa fahamu na nishati ya mtu mwingine. Jiulize, "Je, yanachaji upya, yanaponya na kujaza roho yako? Au yanamaliza nguvu zako na nguvu za maisha?" Kuwa mwangalifu na Nguvu za Kweli Zinazomiliki Ngono. Mashetani wapo na watakunyonya roho yako !
Ngono Ina nguvu kwenye maisha. Kuna ngono nuksi na ngono bahati- inategemea na unayengonoka naye
 
Uzoefu wangu labda nikupe kwa wife na Michepuko yangu.

1. MamaG,
Huyu nyota yake Ni nzur Sana
Inahitaji natunze hela, kweli zinatunzika nafanya vitu vya maana, coz nilivoanza na Sasa nilipo, muongo mmoja na kitu kwny ndoa Si haba. Alhamdullilahi mwanga wa mafanikio nauona mbeleni.

2. Mchepuko MamaJ,
Huyu nyota yake inahitaji nitumie nae pesa zaidi ndo napata pesa Zaid ya nilizotumia.
Tena sio kutumia nae kwny vitu vya maana, Bali vitu vya kijinga jinga Kama pombe, ngono,bar na marafiki.
Kwahyo nyota ya mamaJ inacheza na law ya use&miss use.
Mwaka wa 4 huu kwny mahusiono, tunatumia San, sijayumba,nasonga mbele.

3. Mchepuko Fundi cherehani,
Huyu Huwa nahisi ana gundu,
Nikikutana nae Lazima Kuna Jambo baya la kunirudisha nyuma litatokea.
Liwe dogo au Kubwa,ila lazima TU Kuna namna litatokea.
[emoji117]Nishapata ajali 2 nusu kufa natoka kwake,
[emoji117]nishapata misala ya Tra baada ya kutoka kukutana nae
[emoji117]Nishawahi kuibiwa Dukan usiku ambao nilidanganya Niko Safar,kumbe nmeenda kulala kwake kumchakata
[emoji117]Nishaharibikiwa gar Mara 2 njiani nikienda/kutoka kwake
[emoji117] Biashara haichangamki siku au Jana yake ninapotoka kusex nae.
Mwaka wa 3 huu kwny mahusiano, tuko kwny on/off mode, namtafuta nnapokua nmebanwa Sana

4.mchepuko Mwanachuo
Huyu hata sielewagi nyota yake,
Naona kila kitu Kiko normal ntapokutana nae. Sipati bahati Wala mikosi. Yupo yupo TU. Mwaka wa 2 huu nae Ni on/off mode.
Huwa namtafuta nnapokua na dharula TU.
😅😅😅 Dah
 
hunaakili wee.kwahio serikali yetu ina uchawi wee kengemaji
Sele kali ndo mchawi nambari-wani wa inchi hii
[emoji117]Jiulize khs ule mshumaa wetu wa taifa,
[emoji117]jiulize sherehe ya uapisho wa prezdaa kimira Huwa hawaruhusiwi waandishi.
[emoji117]Ushawai kujiuliza ule udongo wa mungano ulinyunyiziwa nini?[emoji4]
 
Sele kali ndo mchawi nambari-wani wa inchi hii
[emoji117]Jiulize khs ule mshumaa wetu wa taifa,
[emoji117]jiulize sherehe ya uapisho wa prezdaa kimira Huwa hawaruhusiwi waandishi.
[emoji117]Ushawai kujiuliza ule udongo wa mungano ulinyunyiziwa nini?[emoji4]
mkuu nakuheshimu sana.ila usinidanganye mkuu.ukienda mahakamani ukasema huyu kamloga mwanangu akafa huwezi kusikilizwa sababu huna ushahidi.👏
 
Mkuu umeandika vizuri ila umemaliza vibaya. Unajitoleaje mfano wa kiazi? Unajua mtu akikuita kiazi amekutukana Sana?

Mtu akikuambia wewe kiazi anamaanisha hauliwi bila kutiwa Dole gumba ili kimong'onyoke Kisha ndiyo kiwekwe mdomoni.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Duh, dole gumba tena mkuu🤣🤣 anyway nilikuwa natania tu...huku mtaani tunaitana "kiazi" ukizingua!
 
Back
Top Bottom