Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chumvi ni tiba bora kabisa lakini kama mwenzi wako ni mchafu kiroho na kabeba negative energy nyingi unapaswa kujitenga naye ... Maana utajisafisha lakini atakuchafua tena
Kuchoma ni negative kuogea ni positive.. Kuchoma ni kwa ajili ya kuharibu
Nyie direct flight peponiNa sisi wapiga punyeto je
Mkuu! Leo asubuhi umefungulia kinywa na kimiminika gani au kitafunwa gani!!? Tuachane na mchana ulichokula, pia jioni hii unafyonza nini hapo!?Mwanaume au mwanamke anapofanya mapenzi Je anabarikiwa au analaanika? Je, anapata uchungu, au furaha,?
Je anahisi upendo, je, anakupenda? Ngono ni ibada ya kubadilishana nguvu, mawazo, hisia, na roho. Wakati wa ngono unakuwa sifongo ya kiroho kwa fahamu na nishati ya mtu mwingine. Jiulize, "Je, yanachaji upya, yanaponya na kujaza roho yako? Au yanamaliza nguvu zako na nguvu za maisha?" Kuwa mwangalifu na Nguvu za Kweli Zinazomiliki Ngono. Mashetani wapo na watakunyonya roho yako !
unakuta mtu anapiga nyeto, anatomber malaya wa kila aina, anatazama porn za kila aina.. na anatoboa tu..
Hii 💯 ni ukweliSahii kabisa,
Na asilimia Kubwa ya wenye nyota za mafanikio kupitia ngono, wao hawanufaiki na nyota hizo. Huwa wanakua ni daraja TU.
Juma anaekunyandua ukanenepa,
Utashangaa kuona afya yake yeye kadhoofika.
Shaban anaekunyandua ukachunda,
Utashangaa kuona afya yake kanawiri ile mbaya.
CHUNGUZA HILO MKUU[emoji4]
Utasababisha pilipili zipande Bei[emoji4]Nje ya madaView attachment 2499357
Kwako inakuwaje mkuu? Hapa mjini tunaqngalia fursa tu[emoji1787][emoji1787]Hii [emoji817] ni ukweli