Ngorongoro huenda kuna "crime against humanity" ya kutisha

Ngorongoro huenda kuna "crime against humanity" ya kutisha

Serikali ipi i- respond? serikali hii inayowazuia watu kwenda Ngorongoro ndio i-respond kwa ujinga inaowafanyia wamasai Ngorongoro?

Kuwa serious kidogo.
Do you support the expansion of human activities at Ngorongoro? and if so to what extent considering the disruption of wildlife normality.

Explain

Masaai eventually has to change; hakuna namna.
 
Wacha kuandika kijinga "huenda" ndiyo nini?


Unataka wamasai bado wawachwe shimoni huko na kuwa kivutioa cha watalii kwa kutupiwa biskuti na vijihela vya kupiga nao picha?

Hilo jambo lipo muda mrefu, wamepewa mashamba, nyumba na bado waendekezwe kuishi kama wanyama? Na hao wanyama huko wakaishi wapi, waingie mitaani?

Kama kuna "crime of humanity" kwa kuhamisha watu basi iongelee ya vijiji vya ujamaa vya nyerere, watu walitupwa maporini, hakuna chochote, walioliwa n simba haya, waliogongwa na nyoka haya, walioliwa na chatu haya, waliokufa kwa njaa haya, waliokufa kwa kukosa matibabu haya.

Mbona ile hamfunguwi midomo? Hamuijuwi?

Hao wahamishwe tu huko shimoni, hakuna namna. Hatuwezi kuona Watanzania wenzetu wakiendelea kuwa kivutio cha utalii kijinga.
Soma ujumbe katumiwa dada'ko hapo juu na wazungu, tena mmetafsiriwa kabisa.
 
Do you support the expansion of human activities at Ngorongoro? and if so to what extent considering the disruption of wildlife normality.

Explain

Masaai eventually has to change; hakuna namna.
Like building hotels and tourist vehicles??
 
Answer my questions first please!.
Hukuwa na swali zaidi ya kutaka kuona ‘status quo’ ya Loliondo way of life is preserved.

Mimi sasa ndio nimekuuliza swali ‘eventually at whose cost’. The animal life which is limited and depends nature or clever and reasonable Masai who can adapt.

Wewe tuelewe unataka vipi ili Ngorongoro ibaki kama natural reserves nini kifanyike,
 
NAIPONGEZA SEREKALI, NGORONGORO IPO CHINI YA OPERESHENI ISIYO RASMI YENYE LENGO LA KUIPONYA, TUKIRUHUSU MAKAZI NA MAISHA YA KIBINADAMU KUONGEZEKA IPO SIKU TUTAIKOSA NA NGORONGORO ITAJA KUWA HADITHI, YAPO SI YA KUYACHEKEA TUACHE KUJITOA UFAHAMU.
 
Kwa jinsi serikali inavyobehave huko Ngorongoro, huenda kuna makosa ya kutisha dhidi ya binadamu yanayofanyika huko. Hii nguvu ambayo serikali inatumia ili kuzuia ukweli inatoka wapi?

Hali hii inatia mashaka sana kwa sababu haiwezekani serikali iwageuze wananchi wake kama watumwa wasiostahiki haki yoyote katika nchi yao.

Inawezekana vipi uzuie wananchi wa eneo moja wasiwe na contact na wenzao?, unataka kuficha nini?
Kwa mujibu wa katiba ya nchi, wananchi wana haki ya kwenda mahali popote nchini. Sasa inakuwaje Serikali inazuia watu kwenda huko Ngorongoro, hii inakuwaje?

Hapa kuna kitu, huenda kuna crime against humanity ya kutisha sana huko ngorongoro, na ninapenda kuwaonya wote wanaohusika kwenye uhalifu huu kuwa hili jambo siyo dogo, na litawafikisha pabaya sana. Kama wasipokaa chini na kujitafakari, watapelekwa katika mahakama za kimataifa za uhalifu dhidi ya binadamu, wajitafakari sana.

1. Tunaambiwa bajeti ya kuhudumia wananchi wa Ngorngoro imesimamishwa
2. Wananchi wanawekewa vikwazo vikubwa vya kupata mahitaji yao msingi ikiwemo manunuzi ya msingi ambayo zamani walikuwa wakiyapata karatu.
3. Wanaume wamekimbia maboma yao kuogopa kukamatwa, wanawake ndo wanalea maboma yao.

Huu ukatili huu, rais Samia unawezaje kuuvumilia?.

Nakushauri rais Samia. Mama acha, acha kabisa, hili ishu ni kaa la moto. achana nayo kabisa. Kama mwarabu katoa pesa ili ajimilikishe ngorongoro rudisheni hizo pesa. Zitakutokeeni puani, Hizo pesa hazina maslahi kwa Taifa.

Hakuna pesa duniani zenye thamani kuliko maisha ya wananchi. Hivi ni heshima gani mbele ya huyo mwarabu mnaipata kwa kuuza wananchi wenu kwa vipande vya fedha?

Taarifa zilizopo ni kuwa wamasai wanachomewa nyumba zao, mazao yao, mifugo yao imewahi kupewa chumvi ya sumu, mnawaharrass viongozi wao!. Huu ni uhalifu mkubwa sana wa kibinadamu.

Dunia inaona, na tunadocument, huko mbeleni wahusika wa udhalimu huu wakifikishwa the hague tusije tukalaumiana!
Huu ukatili kuna mbunge aliwahi kuomba bunge lisimamisje shughulizake ili kuujadili, maana wanawake walikuwa wanababuliwa ngozi na mapanga ya moto. Majaliwa akasema atachunguza, na haya mambo alianza kile kibabu Mwinyi.., hawa waZenji sijui wamerogwa!
 
Do credible checks and present evidencing facts for the government to respond.

Sio kuokota ujinga wa mitandaoni halafu utake serikali ikujibu; wakati huna facts za Ngorongoro.

Wanyamapori lazima wajifanafasi maporini na himaya zao lazima zilindwe.

Masaai population lazima iwe controlled kulinda maeneo ya hifadhi.
Lissu alizuiwa kwanini? Waandishi wa Habari wanazuiwa kwanini? , wamasai huko Kenya wanaishi mjini?
 
Huo ndio ujinga mnaojazana.

Maasai Ngorongoro kesha heshimiwa kwa miaka.

Waliopo inatosha, makazi yaliyomo yawe ya urithi.

Masaai hataki kuelewa anataka aongeze himaya ndani ya hifadhi.

Serikali na wadau wakimataifa wametumia hela nyingi sana kwenye hilo somo ‘hifadhi ya taifa aiwezi kuhudumia binadamu na wanyama tena’.

Hakina swala pia wana mitaa yao waliyozoea kwenda kuzalua, kunywa maji, kunenepea kwa karne; Masaai aelewi anataka kuingilia maeneo yao.

Sasa swala hana akili za kufikiria akiingiliwa eneo lake plan b ni ipi, ila Masaai ni-reasonableness wa kumwambia mnatosha hayo maeneo tuwaachie hakina Simba tutakupa eneo lingine to indulge with your lifestyle; hataki. Wee vipi.

Masaai population ndani ya mbuga za hifadhi needs control huo ndio uhalisia; sio kucheka na hawa watu.
Hey Mr. can you write all that in English?
I don't understand what did you say?
 
Like building hotels and tourist vehicles??
Unajua hata tofauti ya hotel moja inachukua size gani ardhi na; Goma moja ya familia kimaasai size yake.

Unaweza sema ni hotel ngapi kwa mwaka zinawezwa jenga Ngorongoro na magoma mangapi kwa mwaka yanawezwa jengwa kwa mwaka wamasaai wakiendekezwa.

Serikali haijafukuza Masaai, Ngorongoro ilichosema population iliyopo inatosha. Maboma yaliyopo yawe ya kurithishana. Wengine wamepewa maeneo nje ya hifadhi kuanza maisha.

Masaai hataki kuelewa yeye anataka kujenga maeneo ya wanyamapori pathetic, wanyama ambao wenyewe wana taratibu zao.

Wapi duniani wanaruhusu binadamu kuingilia maisha ya wanyamapori.

Mshukuruni huyo Samia. Mimi binafsi kama ningekuwa kiongozi wa hiyo ningetandika Lissu na Lwaigan yeyote aliyemtuma na kesho yake naamka na vizuri tu (regardless hao wahusika wapo hai au wafu); mna bahati mna mama wa kubembeleza ujinga.

Mimi kama mimi I will do that, kwenye maswala mapana ya nchi ambayo ni sahihi kwangu wala isingekuwa shida kumuumiza mtu.
 
Hey Mr. can you write all that in English?
I don't understand what did you say?
Sakapoko kweli, sijui lini umejiunga JF kama mpaka leo ujaelewa mimi nimekulia ulaya; na hayo mambo ya lugha grammatically either nimeandika sahihi or bot sio issues zangu.

You are just stupid
 
Sakapoko kweli, sijui lini umejiunga JF kama mpaka leo ujaelewa mimi nimekulia ulaya; na hayo mambo ya lugha grammatically either nimeandika sahihi or bot sio issues zangu.

You are just stupid
English please, what did you say? Write in English?

Ujaelewa = Hujaelewa
 
Huo ndio ujinga mnaojazana.

Maasai Ngorongoro kesha heshimiwa kwa miaka.

Waliopo inatosha, makazi yaliyomo yawe ya urithi.

Masaai hataki kuelewa anataka aongeze himaya ndani ya hifadhi.

Serikali na wadau wakimataifa wametumia hela nyingi sana kwenye hilo somo ‘hifadhi ya taifa aiwezi kuhudumia binadamu na wanyama tena’.

Hakina swala pia wana mitaa yao waliyozoea kwenda kuzalua, kunywa maji, kunenepea kwa karne; Masaai aelewi anataka kuingilia maeneo yao.

Sasa swala hana akili za kufikiria akiingiliwa eneo lake plan b ni ipi, ila Masaai ni-reasonableness wa kumwambia mnatosha hayo maeneo tuwaachie hakina Simba tutakupa eneo lingine to indulge with your lifestyle; hataki. Wee vipi.

Masaai population ndani ya mbuga za hifadhi needs control huo ndio uhalisia; sio kucheka na hawa watu.
Wewe ni mjinga. Unathamini wanyama kuliko watu.
 
Unajua hata tofauti ya hotel moja inachukua size gani ardhi na; Goma moja ya familia kimaasai size yake.

Unaweza sema ni hotel ngapi kwa mwaka zinawezwa jenga Ngorongoro na magoma mangapi kwa mwaka yanawezwa jengwa kwa mwaka wamasaai wakiendekezwa.

Serikali haijafukuza Masaai, Ngorongoro ilichosema population iliyopo inatosha. Maboma yaliyopo yawe ya kurithishana. Wengine wamepewa maeneo nje ya hifadhi kuanza maisha.

Masaai hataki kuelewa yeye anataka kujenga maeneo ya wanyamapori pathetic, wanyama ambao wenyewe wana taratibu zao.

Wapi duniani wanaruhusu binadamu kuingilia maisha ya wanyamapori.

Mshukuruni huyo Samia. Mimi binafsi kama ningekuwa kiongozi wa hiyo ningetandika Lissu na Lwaigan yeyote aliyemtuma na kesho yake naamka na vizuri tu (regardless hao wahusika wapo hai au wafu); mna bahati mna mama wa kubembeleza ujinga.

Mimi kama mimi I will do that, kwenye maswala mapana ya nchi ambayo ni sahihi kwangu wala isingekuwa shida kumuumiza mtu.
Write in English you scumbag, write in English
 
Hukuwa na swali zaidi ya kutaka kuona ‘status quo’ ya Loliondo way of life is preserved.

Mimi sasa ndio nimekuuliza swali ‘eventually at whose cost’. The animal life which is limited and depends nature or clever and reasonable Masai who can adapt.

Wewe tuelewe unataka vipi ili Ngorongoro ibaki kama natural reserves nini kifanyike,
Nimekuuliza unataka serikali ipi i-respond kwa yanayotokea Ngorongoro? hii iliyozuia watu kukanyaga huko ndio unataka watu waipelekee ushahidi wa kinachotokea Ngorongoro? yani uwazuie watu kukanyaga eneo fulani, halafu bado uwatake watu hao hao wakuletee ushahidi kuhusu eneo ulilowakataza kuingia?

Bado huoni maswali hapo!
 
Huo ndio ujinga mnaojazana.

Maasai Ngorongoro kesha heshimiwa kwa miaka.

Waliopo inatosha, makazi yaliyomo yawe ya urithi.

Masaai hataki kuelewa anataka aongeze himaya ndani ya hifadhi.

Serikali na wadau wakimataifa wametumia hela nyingi sana kwenye hilo somo ‘hifadhi ya taifa aiwezi kuhudumia binadamu na wanyama tena’.

Hakina swala pia wana mitaa yao waliyozoea kwenda kuzalua, kunywa maji, kunenepea kwa karne; Masaai aelewi anataka kuingilia maeneo yao.

Sasa swala hana akili za kufikiria akiingiliwa eneo lake plan b ni ipi, ila Masaai ni-reasonableness wa kumwambia mnatosha hayo maeneo tuwaachie hakina Simba tutakupa eneo lingine to indulge with your lifestyle; hataki. Wee vipi.

Masaai population ndani ya mbuga za hifadhi needs control huo ndio uhalisia; sio kucheka na hawa watu.
Ndio kumpa mwarabu ardhi .Yani wewe hipo siku mke wako atachukuliwa sababu ukiamini uwezi kumlea
 
English please, what did you say? Write in English?

Ujaelewa = Hujaelewa
Trust pound tukienda kwenye lugha ya wazungu mie sio wa size yako.

Please talk of others things, either you believe I know or don’t understand the English language. It’s not something that bothers me in the slightest.
 
Kwa jinsi serikali inavyobehave huko Ngorongoro, huenda kuna makosa ya kutisha dhidi ya binadamu yanayofanyika huko. Hii nguvu ambayo serikali inatumia ili kuzuia ukweli inatoka wapi?

Hali hii inatia mashaka sana kwa sababu haiwezekani serikali iwageuze wananchi wake kama watumwa wasiostahiki haki yoyote katika nchi yao.

Inawezekana vipi uzuie wananchi wa eneo moja wasiwe na contact na wenzao?, unataka kuficha nini?
Kwa mujibu wa katiba ya nchi, wananchi wana haki ya kwenda mahali popote nchini. Sasa inakuwaje Serikali inazuia watu kwenda huko Ngorongoro, hii inakuwaje?

Hapa kuna kitu, huenda kuna crime against humanity ya kutisha sana huko ngorongoro, na ninapenda kuwaonya wote wanaohusika kwenye uhalifu huu kuwa hili jambo siyo dogo, na litawafikisha pabaya sana. Kama wasipokaa chini na kujitafakari, watapelekwa katika mahakama za kimataifa za uhalifu dhidi ya binadamu, wajitafakari sana.

1. Tunaambiwa bajeti ya kuhudumia wananchi wa Ngorngoro imesimamishwa
2. Wananchi wanawekewa vikwazo vikubwa vya kupata mahitaji yao msingi ikiwemo manunuzi ya msingi ambayo zamani walikuwa wakiyapata karatu.
3. Wanaume wamekimbia maboma yao kuogopa kukamatwa, wanawake ndo wanalea maboma yao.

Huu ukatili huu, rais Samia unawezaje kuuvumilia?.

Nakushauri rais Samia. Mama acha, acha kabisa, hili ishu ni kaa la moto. achana nayo kabisa. Kama mwarabu katoa pesa ili ajimilikishe ngorongoro rudisheni hizo pesa. Zitakutokeeni puani, Hizo pesa hazina maslahi kwa Taifa.

Hakuna pesa duniani zenye thamani kuliko maisha ya wananchi. Hivi ni heshima gani mbele ya huyo mwarabu mnaipata kwa kuuza wananchi wenu kwa vipande vya fedha?

Taarifa zilizopo ni kuwa wamasai wanachomewa nyumba zao, mazao yao, mifugo yao imewahi kupewa chumvi ya sumu, mnawaharrass viongozi wao!. Huu ni uhalifu mkubwa sana wa kibinadamu.

Dunia inaona, na tunadocument, huko mbeleni wahusika wa udhalimu huu wakifikishwa the hague tusije tukalaumiana!
Tuzidishe jitihada za ndani za kupinga udhalimu huu. Wamasai ni binadamu wenye haki ya kuishi na mupewa hifadhi na jamii kubwa ya Watanzania katika mazingira yao.

Watu wasilete sababu za kijinga kuwa eti wanaishi kqenye mazingira hatarishi ya wanyama wakali. Wajapan, Wairani na wahindi wanaishi kwenye nchi ambazo ni earthquake prone, lakini hakuna anayefikiria kuwahamisha kwa nguvu.

Mliopo maeneo hayo na hata waliopo maeneo mengine, zifanyike kila jitihada, hata za kijasusi, kuwafikia wamasai hao na kupata vielelezo halisi vya udhalimu dhidi yao.
 
Back
Top Bottom