Ngorongoro huenda kuna "crime against humanity" ya kutisha

Ngorongoro huenda kuna "crime against humanity" ya kutisha

Do credible checks and present evidencing facts for the government to respond.

Sio kuokota ujinga wa mitandaoni halafu utake serikali ikujibu; wakati huna facts za Ngorongoro.

Wanyamapori lazima wajifanafasi maporini na himaya zao lazima zilindwe.

Masaai population lazima iwe controlled kulinda maeneo ya hifadhi.
Population ya wajinga kama wewe pia iwe controlled. You may be the next to be killed as well.
 
Huko ngorongoro hakuna watu wenye smartphone na wasomi wawe wanatoa update ya kinachojiri
 
Population ya wajinga kama wewe pia iwe controlled. You may be the next to be killed as well
Malaika wangu walivyo wakali vitisho vyako viwe hivi hivi vya JF au siku ukiniona univizie ufanye yako (kama utafanikiwa).

Lakini malaika wangu wakikujua unataka kunidhuru watakuwahi na hawato kuwacha salama; kifo changu wataamua na sikioni kwa hivi karibuni.
 
Do credible checks and present evidencing facts for the government to respond.

Sio kuokota ujinga wa mitandaoni halafu utake serikali ikujibu; wakati huna facts za Ngorongoro.

Wanyamapori lazima wajifanafasi maporini na himaya zao lazima zilindwe.

Masaai population lazima iwe controlled kulinda maeneo ya hifadhi.
Wewe ni mpumbavu na itakuwa msengelema ......
 
Hadi mbunge wao kutekwa na primitives means something wrong hidden
 
Wewe ni mpumbavu na itakuwa msengelema ......
Utaratibu wangu siku hizi watu kama nyie msio na adabu nawapeleka kwenye ignore list.

Personal sina muda wa kumtusi mtu au kuvumulia matusi anymore.

Thanks JF for the ignore option.
 
Utaratibu wangu siku hizi watu kama nyie msio na adabu nawapeleka kwenye ignore list.

Personal sina muda wa kumtusi mtu au kuvumulia matusi anymore.

Thanks JF for the ignore option.
Takataka wewe ...
 
Samia ni JOYCE BANDA WA TANZANIA, mamia kwa maelfu ya wamasai wameuawa huko Ngorongoro. Tunaendelea kukusanya ushahidi USIO NA MASHAKA ili siku afikishwe kwenye Mahakama ya Kimataifa kwa UHALIFU huu wa kibinadamu. Kama anadhani ataendelea kukwepa kushitakiwa kwa HILA ZA KUKATAA KATIBA MPYA, anajidanganya sana
 
Kupanga ni kuchagua.
Kama tunataka kupunguza idadi ya wamasai wanaoishi Ngorongoro, lazima uwepo utaratibu wa wazi wa fidia na kupewa makazi mapya yatakayowawezesha kufanya shughuli zao za asili.
Sasa zoezi la kuwahamisha kwenda Msomera au kwingine waratibu wamasai wenyewe, baada ya makubaliano na serikali kuhusu fidia.
Hakuna sababu ya kutumia nguvu, busara, hekima na akili ya kawaida itumike.
 
Nchi bado ipo shwari hizi ni chokochoko za media ili kuleta mawazo ya chuki kwa wenye nafasi serikalini
 
Unajua hata tofauti ya hotel moja inachukua size gani ardhi na; Goma moja ya familia kimaasai size yake.

Unaweza sema ni hotel ngapi kwa mwaka zinawezwa jenga Ngorongoro na magoma mangapi kwa mwaka yanawezwa jengwa kwa mwaka wamasaai wakiendekezwa.

Serikali haijafukuza Masaai, Ngorongoro ilichosema population iliyopo inatosha. Maboma yaliyopo yawe ya kurithishana. Wengine wamepewa maeneo nje ya hifadhi kuanza maisha.

Masaai hataki kuelewa yeye anataka kujenga maeneo ya wanyamapori pathetic, wanyama ambao wenyewe wana taratibu zao.

Wapi duniani wanaruhusu binadamu kuingilia maisha ya wanyamapori.

Mshukuruni huyo Samia. Mimi binafsi kama ningekuwa kiongozi wa hiyo ningetandika Lissu na Lwaigan yeyote aliyemtuma na kesho yake naamka na vizuri tu (regardless hao wahusika wapo hai au wafu); mna bahati mna mama wa kubembeleza ujinga.

Mimi kama mimi I will do that, kwenye maswala mapana ya nchi ambayo ni sahihi kwangu wala isingekuwa shida kumuumiza mtu.
Mlimtandika Lissu risasi hili afe chakushangaza baadhi yenu ndio wamekufa na Lissu bado anadunda

Uhai wa binadamu ni wa thamani kuliko wa wanyama we mnyama.
 
Kwa jinsi serikali inavyobehave huko Ngorongoro, huenda kuna makosa ya kutisha dhidi ya binadamu yanayofanyika huko. Hii nguvu ambayo serikali inatumia ili kuzuia ukweli inatoka wapi?

Hali hii inatia mashaka sana kwa sababu haiwezekani serikali iwageuze wananchi wake kama watumwa wasiostahiki haki yoyote katika nchi yao.

Inawezekana vipi uzuie wananchi wa eneo moja wasiwe na contact na wenzao?, unataka kuficha nini?
Kwa mujibu wa katiba ya nchi, wananchi wana haki ya kwenda mahali popote nchini. Sasa inakuwaje Serikali inazuia watu kwenda huko Ngorongoro, hii inakuwaje?

Hapa kuna kitu, huenda kuna crime against humanity ya kutisha sana huko ngorongoro, na ninapenda kuwaonya wote wanaohusika kwenye uhalifu huu kuwa hili jambo siyo dogo, na litawafikisha pabaya sana. Kama wasipokaa chini na kujitafakari, watapelekwa katika mahakama za kimataifa za uhalifu dhidi ya binadamu, wajitafakari sana.

1. Tunaambiwa bajeti ya kuhudumia wananchi wa Ngorngoro imesimamishwa
2. Wananchi wanawekewa vikwazo vikubwa vya kupata mahitaji yao msingi ikiwemo manunuzi ya msingi ambayo zamani walikuwa wakiyapata karatu.
3. Wanaume wamekimbia maboma yao kuogopa kukamatwa, wanawake ndo wanalea maboma yao.

Huu ukatili huu, rais Samia unawezaje kuuvumilia?.

Nakushauri rais Samia. Mama acha, acha kabisa, hili ishu ni kaa la moto. achana nayo kabisa. Kama mwarabu katoa pesa ili ajimilikishe ngorongoro rudisheni hizo pesa. Zitakutokeeni puani, Hizo pesa hazina maslahi kwa Taifa.

Hakuna pesa duniani zenye thamani kuliko maisha ya wananchi. Hivi ni heshima gani mbele ya huyo mwarabu mnaipata kwa kuuza wananchi wenu kwa vipande vya fedha?

Taarifa zilizopo ni kuwa wamasai wanachomewa nyumba zao, mazao yao, mifugo yao imewahi kupewa chumvi ya sumu, mnawaharrass viongozi wao!. Huu ni uhalifu mkubwa sana wa kibinadamu.

Dunia inaona, na tunadocument, huko mbeleni wahusika wa udhalimu huu wakifikishwa the hague tusije tukalaumiana!

Kuna mahali nimesoma utajiri wake ni $4.6 bilioni
 
Mmepewa maeneo mapya makubwa na nyumba juu bado mnalalamika, waacheni wanyama wawe huru kwenye maeneo yao
 
Hakuna mtu anapelekwa mjini.

Wametengewa maeneo ambayo wanaweza kuranda kama wanavyopenda.

Na hawajafukuzwa Ngorongoro kama unavyosimuliwa ni kwamba hilo eneo kwa sasa imezuia expansion ya majengo mapya raia to preserve the wildlife habitat; wao hawataki kuelewa wanataka hakina swala na Simba ndio wawapishe wao.
Ase mkuu mm natokea hayo maeneo najua Nini kinaendelea

Nilikuuliza Hao watu wamekaa muda gani huko na wameleta uharibifu Gani?

Jambo lingine kinachowasumbua Nini mpaka mnagusa maisha ya wale watu Ni Nini hasa hasa
 
Wengine tukitukana CCM tunaonekana wachochezi. Tuna kaa kimya kibanda kiungue tupeane pole. Shame CCM
 
Back
Top Bottom