Ngorongoro huenda kuna "crime against humanity" ya kutisha

Ngorongoro huenda kuna "crime against humanity" ya kutisha

Utaratibu wangu siku hizi watu kama nyie msio na adabu nawapeleka kwenye ignore list.

Personal sina muda wa kumtusi mtu au kuvumulia matusi anymore.

Thanks JF for the ignore option.
You're so sick today my friend what's your problem? Tell me I can help you, did you pay your bills?

Speak English!
 
Hapa kuna kitu, huenda kuna crime against humanity ya kutisha sana huko ngorongoro, na ninapenda kuwaonya wote wanaohusika

Mchanganuo wa hayo mambo ya kutisha ya ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu umebainisha bayana na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu LHRC kama ifuatavyo :
SERA ZA KIKABURU ZA SERIKALI ZILIZOAMBATANA NA VIKWAZO VIKALI KWA WANANCHI ZAANIKWA

LHRC : Mpango wa Kuwahamisha Wakaazi wa Ngorongoro Usitumike Kunyanyasa Wananchi


View: https://m.youtube.com/watch?v=bqY1GrUeB5M
Mazito yaliyobainika huko Ngorongoro ambayo umma mkubwa wa ndani ya nchi na jumuiya za kimataifa inafaa kuyafahamu ni haya yafuata katika taarifa kwa umma toka LHRC Kituo Cha Sheria na Haki za Binadamu :
  • Makosa makubwa ya ukiukwaji wa haki za binadamu yanaendelea Ngorongoro
  • Maeneo hayo kugeuzwa gereza kubwa la wazi na kuzuia watu kuingia kufahamu madhila ya wakaazi wa eneo la Ngorongoro
  • Wananchi wawekewa vikwazo vikali vya kiuchumi kijamii na kimaendeleo
  • Wananchi kuhamishwa kinguvu
  • Kuzuiwa wananchi kuendeleza maisha ya hivyo njaa na utapiamilo kushambulia wakaazi
  • Serikali kusitisha kupeleka fedha za huduma za afya na vifaa tiba
  • Zahanati na shule kufungwa huku wahudumu na wafanyakazi wa sekta ya elimu na afya kuondolewa
  • Akaunti za fedha za asasi zilizokuwa wadau wa maendeleo kwa kushirikiana na serikali zimefungwa
  • Medical Flying doctors iliyokuwa ikishirikina na kanisa katoliki yazuiwa kutoa huduma
  • Zaidi ya watoto 24,000 kukosa huduma za chanjo hivyo kutishia magonjwa ya polio, TB na mengineo hatari yanaweza kulipuka kwa kasi kuathiri jamii na nchi nzima ya Tanzania
  • Kinamama wajawazito na watoto huduma zao za ambulance zasitishwa
  • N.k n.k
 
Kabla ya Ngorongoro kuwa Hifadhi tayari ni nyumbani kwao,

Kabla ya kuwa na Rais Wamasai walikuwepo Ngorongoro,

Kabla ya Samia kuwa Rais wameshapita Marais na wazalendo wa Taifa, Ngorongoro ni kwa Wamasai.

Amtafutie Mwarabu eneo lingine la kujenga hotels na kuchimba madini, Wamasai waendelee kuwepo kwenye ardhi yao ya Ngorongoro.

Mimi ni MTANGANYIKA, kura yangu ya Urais 2025 nitapiga KITANGANYIKA!
 
Kwa jinsi serikali inavyobehave huko Ngorongoro, huenda kuna makosa ya kutisha dhidi ya binadamu yanayofanyika huko. Hii nguvu ambayo serikali inatumia ili kuzuia ukweli inatoka wapi?

Hali hii inatia mashaka sana kwa sababu haiwezekani serikali iwageuze wananchi wake kama watumwa wasiostahiki haki yoyote katika nchi yao.

Inawezekana vipi uzuie wananchi wa eneo moja wasiwe na contact na wenzao?, unataka kuficha nini?
Kwa mujibu wa katiba ya nchi, wananchi wana haki ya kwenda mahali popote nchini. Sasa inakuwaje Serikali inazuia watu kwenda huko Ngorongoro, hii inakuwaje?

Hapa kuna kitu, huenda kuna crime against humanity ya kutisha sana huko ngorongoro, na ninapenda kuwaonya wote wanaohusika kwenye uhalifu huu kuwa hili jambo siyo dogo, na litawafikisha pabaya sana. Kama wasipokaa chini na kujitafakari, watapelekwa katika mahakama za kimataifa za uhalifu dhidi ya binadamu, wajitafakari sana.

1. Tunaambiwa bajeti ya kuhudumia wananchi wa Ngorngoro imesimamishwa
2. Wananchi wanawekewa vikwazo vikubwa vya kupata mahitaji yao msingi ikiwemo manunuzi ya msingi ambayo zamani walikuwa wakiyapata karatu.
3. Wanaume wamekimbia maboma yao kuogopa kukamatwa, wanawake ndo wanalea maboma yao.

Huu ukatili huu, rais Samia unawezaje kuuvumilia?.

Nakushauri rais Samia. Mama acha, acha kabisa, hili ishu ni kaa la moto. achana nayo kabisa. Kama mwarabu katoa pesa ili ajimilikishe ngorongoro rudisheni hizo pesa. Zitakutokeeni puani, Hizo pesa hazina maslahi kwa Taifa.

Hakuna pesa duniani zenye thamani kuliko maisha ya wananchi. Hivi ni heshima gani mbele ya huyo mwarabu mnaipata kwa kuuza wananchi wenu kwa vipande vya fedha?

Taarifa zilizopo ni kuwa wamasai wanachomewa nyumba zao, mazao yao, mifugo yao imewahi kupewa chumvi ya sumu, mnawaharrass viongozi wao!. Huu ni uhalifu mkubwa sana wa kibinadamu.

Dunia inaona, na tunadocument, huko mbeleni wahusika wa udhalimu huu wakifikishwa the hague tusije tukalaumiana!
Mama Samia anaona Maasai kama sub human, digidigi, dawa huyu ni kutompa kugombea, akigombea anyimwe kura!!
 
Back
Top Bottom