Ngorongoro huenda kuna "crime against humanity" ya kutisha

Population ya wajinga kama wewe pia iwe controlled. You may be the next to be killed as well.
 
Huko ngorongoro hakuna watu wenye smartphone na wasomi wawe wanatoa update ya kinachojiri
 
Population ya wajinga kama wewe pia iwe controlled. You may be the next to be killed as well
Malaika wangu walivyo wakali vitisho vyako viwe hivi hivi vya JF au siku ukiniona univizie ufanye yako (kama utafanikiwa).

Lakini malaika wangu wakikujua unataka kunidhuru watakuwahi na hawato kuwacha salama; kifo changu wataamua na sikioni kwa hivi karibuni.
 
Wewe ni mpumbavu na itakuwa msengelema ......
 
Hadi mbunge wao kutekwa na primitives means something wrong hidden
 
Wewe ni mpumbavu na itakuwa msengelema ......
Utaratibu wangu siku hizi watu kama nyie msio na adabu nawapeleka kwenye ignore list.

Personal sina muda wa kumtusi mtu au kuvumulia matusi anymore.

Thanks JF for the ignore option.
 
Utaratibu wangu siku hizi watu kama nyie msio na adabu nawapeleka kwenye ignore list.

Personal sina muda wa kumtusi mtu au kuvumulia matusi anymore.

Thanks JF for the ignore option.
Takataka wewe ...
 
Samia ni JOYCE BANDA WA TANZANIA, mamia kwa maelfu ya wamasai wameuawa huko Ngorongoro. Tunaendelea kukusanya ushahidi USIO NA MASHAKA ili siku afikishwe kwenye Mahakama ya Kimataifa kwa UHALIFU huu wa kibinadamu. Kama anadhani ataendelea kukwepa kushitakiwa kwa HILA ZA KUKATAA KATIBA MPYA, anajidanganya sana
 
Kupanga ni kuchagua.
Kama tunataka kupunguza idadi ya wamasai wanaoishi Ngorongoro, lazima uwepo utaratibu wa wazi wa fidia na kupewa makazi mapya yatakayowawezesha kufanya shughuli zao za asili.
Sasa zoezi la kuwahamisha kwenda Msomera au kwingine waratibu wamasai wenyewe, baada ya makubaliano na serikali kuhusu fidia.
Hakuna sababu ya kutumia nguvu, busara, hekima na akili ya kawaida itumike.
 
Nchi bado ipo shwari hizi ni chokochoko za media ili kuleta mawazo ya chuki kwa wenye nafasi serikalini
 
Mlimtandika Lissu risasi hili afe chakushangaza baadhi yenu ndio wamekufa na Lissu bado anadunda

Uhai wa binadamu ni wa thamani kuliko wa wanyama we mnyama.
 

Kuna mahali nimesoma utajiri wake ni $4.6 bilioni
 
Mmepewa maeneo mapya makubwa na nyumba juu bado mnalalamika, waacheni wanyama wawe huru kwenye maeneo yao
 
Ase mkuu mm natokea hayo maeneo najua Nini kinaendelea

Nilikuuliza Hao watu wamekaa muda gani huko na wameleta uharibifu Gani?

Jambo lingine kinachowasumbua Nini mpaka mnagusa maisha ya wale watu Ni Nini hasa hasa
 
Wengine tukitukana CCM tunaonekana wachochezi. Tuna kaa kimya kibanda kiungue tupeane pole. Shame CCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…