NGO'S na upatikanaji wake wakazi

NGO'S na upatikanaji wake wakazi

Burungutu sandawesu

Senior Member
Joined
Sep 11, 2022
Posts
153
Reaction score
261
USAID, UNICEF, SAVE THE CHILDREN, UNDP, WORLD CHURCH SEVIRCE, IRC, WORLD VISION NAKADHALIKA, haya mashirika huwa yanatoa kazi kila siku mitandaoni, na for the past seven years nimekua nikiapppy kupitia portal zao, lakini sijawahi itwa sio interview ya ana kwa ana hata ile online aptitude test, nimeshare cv yangu na wale ma career guiders na ma hr ambao mimefanya nao kazi sesehemu mbali mbali nikidhajinlabda shida mi cv or something , tumerekebisha to the standards za kimataifa, all certificates are cleans na huwa nazingatia sana qualifications zao wanapotoa tangazo yani kama ninazo sifa tajwa ndio naomba.. i came to this conclusion kama hizi kazi wanazitoa kutghost tu kuwa zimetangazwa ila wamesha zijaza nafasi au kuna sababu ingine? Idont know, ila naomba kujua apart na kuwa na qualifications zoote kuanzania academics, experince, na other documentations zitazohitajika kuna nini kingine ambacho hawakiweki kwenye tangazo la kazi ili tuwe nacho,, nahisi ni Impossible kupata kazi kwenye haya mashirika,
 
USAID, UNICEF, SAVE THE CHILDREN, UNDP, WORLD CHURCH SEVIRCE, IRC, WORLD VISION NAKADHALIKA, haya mashirika huwa yanatoa kazi kila siku mitandaoni, na for the past seven years nimekua nikiapppy kupitia portal zao, lakini sijawahi itwa sio interview ya ana kwa ana hata ile online aptitude test, nimeshare cv yangu na wale ma career guiders na ma hr ambao mimefanya nao kazi sesehemu mbali mbali nikidhajinlabda shida mi cv or something , tumerekebisha to the standards za kimataifa, all certificates are cleans na huwa nazingatia sana qualifications zao wanapotoa tangazo yani kama ninazo sifa tajwa ndio naomba.. i came to this conclusion kama hizi kazi wanazitoa kutghost tu kuwa zimetangazwa ila wamesha zijaza nafasi au kuna sababu ingine? Idont know, ila naomba kujua apart na kuwa na qualifications zoote kuanzania academics, experince, na other documentations zitazohitajika kuna nini kingine ambacho hawakiweki kwenye tangazo la kazi ili tuwe nacho,, nahisi ni Impossible kupata kazi kwenye haya mashirika,
Hao jamaa ni noma
wana ile automatic reply baada ya miezi kadhaa

Dear luaga mpina
thank you for showing interests in joining us, consenquently we regret to inform you that after careful observation we are no longer proceed your application , dont hesitate to apply again

Thank u
WFP HR team,DRC recruitment,UNHCR,Icap tanzania nk

wengine hawajibu kabisa sio kazi,volunteering wala internship. ndio maana nimehamia utumishi
 
Hao jamaa ni noma
wana ile automatic reply baada ya miezi kadhaa


Dear luaga mpina
thank you for showing interests in joining us, consenquently we regret to inform you that after careful observation we are no longer proceed your application , dont hesitate to apply again

Thank u
WFP HR team,DRC recruitment,UNHCR,Icap tanzania nk

wengine hawajibu kabisa sio kazi,volunteering wala internship. ndio maana nimehamia utumishi
Utumishi siku hizi hawana utofauti na hao ngos
 
USAID, UNICEF, SAVE THE CHILDREN, UNDP, WORLD CHURCH SEVIRCE, IRC, WORLD VISION NAKADHALIKA, haya mashirika huwa yanatoa kazi kila siku mitandaoni, na for the past seven years nimekua nikiapppy kupitia portal zao, lakini sijawahi itwa sio interview ya ana kwa ana hata ile online aptitude test, nimeshare cv yangu na wale ma career guiders na ma hr ambao mimefanya nao kazi sesehemu mbali mbali nikidhajinlabda shida mi cv or something , tumerekebisha to the standards za kimataifa, all certificates are cleans na huwa nazingatia sana qualifications zao wanapotoa tangazo yani kama ninazo sifa tajwa ndio naomba.. i came to this conclusion kama hizi kazi wanazitoa kutghost tu kuwa zimetangazwa ila wamesha zijaza nafasi au kuna sababu ingine? Idont know, ila naomba kujua apart na kuwa na qualifications zoote kuanzania academics, experince, na other documentations zitazohitajika kuna nini kingine ambacho hawakiweki kwenye tangazo la kazi ili tuwe nacho,, nahisi ni Impossible kupata kazi kwenye haya mashirika,
Nicheki inbox
 
Nimefanya kazi shirika.

Nasubiri mradi pia katika shirika.

Muda wote niljokuwa katika shirika nimejifunza connection ni kitu kikubwa sana.

Pia shirika halipendi kufanya kazi na mtu asiyemzoefu na kazi.

Mara nyingi hata wakitangaza ajira wanakuwa na watu wao.

Kwenye shirika langu hata leo ikitangazwa ajira mimi nampgia Dr naitwa kazini na wala sio kwa interview
 
USAID, UNICEF, SAVE THE CHILDREN, UNDP, WORLD CHURCH SEVIRCE, IRC, WORLD VISION NAKADHALIKA, haya mashirika huwa yanatoa kazi kila siku mitandaoni, na for the past seven years nimekua nikiapppy kupitia portal zao, lakini sijawahi itwa sio interview ya ana kwa ana hata ile online aptitude test, nimeshare cv yangu na wale ma career guiders na ma hr ambao mimefanya nao kazi sesehemu mbali mbali nikidhajinlabda shida mi cv or something , tumerekebisha to the standards za kimataifa, all certificates are cleans na huwa nazingatia sana qualifications zao wanapotoa tangazo yani kama ninazo sifa tajwa ndio naomba.. i came to this conclusion kama hizi kazi wanazitoa kutghost tu kuwa zimetangazwa ila wamesha zijaza nafasi au kuna sababu ingine? Idont know, ila naomba kujua apart na kuwa na qualifications zoote kuanzania academics, experince, na other documentations zitazohitajika kuna nini kingine ambacho hawakiweki kwenye tangazo la kazi ili tuwe nacho,, nahisi ni Impossible kupata kazi kwenye haya mashirika,
Mkuu nilitamani kujua kama hauna kazi kabisa au unataka kubadilisha?
 
USAID, UNICEF, SAVE THE CHILDREN, UNDP, WORLD CHURCH SEVIRCE, IRC, WORLD VISION NAKADHALIKA, haya mashirika huwa yanatoa kazi kila siku mitandaoni, na for the past seven years nimekua nikiapppy kupitia portal zao, lakini sijawahi itwa sio interview ya ana kwa ana hata ile online aptitude test, nimeshare cv yangu na wale ma career guiders na ma hr ambao mimefanya nao kazi sesehemu mbali mbali nikidhajinlabda shida mi cv or something , tumerekebisha to the standards za kimataifa, all certificates are cleans na huwa nazingatia sana qualifications zao wanapotoa tangazo yani kama ninazo sifa tajwa ndio naomba.. i came to this conclusion kama hizi kazi wanazitoa kutghost tu kuwa zimetangazwa ila wamesha zijaza nafasi au kuna sababu ingine? Idont know, ila naomba kujua apart na kuwa na qualifications zoote kuanzania academics, experince, na other documentations zitazohitajika kuna nini kingine ambacho hawakiweki kwenye tangazo la kazi ili tuwe nacho,, nahisi ni Impossible kupata kazi kwenye haya mashirika,
Nafikir wanataka uvolonteer kidogo ndo wanakuwa na imani.!
 
USAID, UNICEF, SAVE THE CHILDREN, UNDP, WORLD CHURCH SEVIRCE, IRC, WORLD VISION NAKADHALIKA, haya mashirika huwa yanatoa kazi kila siku mitandaoni, na for the past seven years nimekua nikiapppy kupitia portal zao, lakini sijawahi itwa sio interview ya ana kwa ana hata ile online aptitude test, nimeshare cv yangu na wale ma career guiders na ma hr ambao mimefanya nao kazi sesehemu mbali mbali nikidhajinlabda shida mi cv or something , tumerekebisha to the standards za kimataifa, all certificates are cleans na huwa nazingatia sana qualifications zao wanapotoa tangazo yani kama ninazo sifa tajwa ndio naomba.. i came to this conclusion kama hizi kazi wanazitoa kutghost tu kuwa zimetangazwa ila wamesha zijaza nafasi au kuna sababu ingine? Idont know, ila naomba kujua apart na kuwa na qualifications zoote kuanzania academics, experince, na other documentations zitazohitajika kuna nini kingine ambacho hawakiweki kwenye tangazo la kazi ili tuwe nacho,, nahisi ni Impossible kupata kazi kwenye haya mashirika,
Connection ndio kila kitu mkuu, nakumbuka kipindi Mkwere ndio anamalizia awamu ya pili kuna shirika moja wapo juu nilipiga nao Interview hadi kwenye Oral ikaishia hapo.

Baada ya kama mwaka hivi nikapata Connection ya shirika lingine toka juu hapo hapo, hiyo sikufanya hata interview nikaambiwa tu nika report ofisini kwao hapa Dar, nilivoenda kuna maelezo nikapewa then kuna vitu nikakabidhiwa then nikaambiwa Jumapili safari nikareport kwenye kituo changu cha kazi.

Mradi wa kwanza ukaja kuisha nikarudi town, ukaja mradi wa pili nao nikapigiwa simu tu na jamaa alonipa hiyo connection, safari hii nikapelekwa mkoa mwingine kabisa huo mradi ukaisha ndio nikarudi town.

Nakubaliana na wewe kazi nyingi za NGO ni mwendo wa connection tu mkuu.
 
Back
Top Bottom