Ngozi ya miguu yangu ni nyororo kuliko baadhi ya nyuso za watu

Biashara hiyo,mashaba washajaa huko pm wakampake mafuta hadi juu ye akliwa anasugua miguu
 
Another man πŸ˜”
 
Mkuu naona unataka wahuni wazame dm waombe washel....
 
Ukiendelea hivyo Dogo Mvulana ipo siku""TUTAKUTOO.….ZAA USHURU"Kwa kujisifu unamiguu laini wakati wewe bado ni Dogo Mvulana.###ShauriYako###
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Huyu jamaa kaamua tu kufurahisha genge mwanaume kamili hawezi kujisifia vitu kama hvyo kamwe.
 
Tupe routine kaka/dada
My routine is Very Complex and Expensive, but hata kama ukiwa akili na pesa bado inaweza kukushinda kufuata kwa sababu ya kukosa focus na dedication ambayo ninayo. Ngoja kwanza niingie Kuoga.
 
My routine is Very Complex and Expensive, but hata kama ukiwa akili na pesa bado inaweza kukushinda kufuata kwa sababu ya kukosa focus na dedication ambayo ninayo. Ngoja kwanza niingie Kuoga.
Kaka/dada mbona vichambo jamani....kwani si apricot scrub tu au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…