makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Mchezaji bora wa muda wote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GoatMchezaji bora wa muda wote
CCM haiwezekani,maana wanarithishana vizazi na vizazi.Hata CCM Kuna siku 2
Leo "nakutupia taulo". Ngoja msiba uishe!Violence iko wapi hapo wakati tunasema ukweli?
Mkuu shikamooViolence iko wapi hapo wakati tunasema ukweli?
Kwasababu ni mchezaji aliyekuwa anafata sana nyayo zake
Safari Yake amekamilisha uumbaji wake. Bado mie na weweNguli wa kandanda nchini Brazil Pele, anayetambulika na wengi kuwa mchezaji bora kabisa wa muda wote na mshindi mara tatu wa Kombe la Dunia, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 82
AmenItakuwa alishafariki kitambo tu toka world cup ilivyokuwa inaendelea wakaona ikitangazwa attention itahamia kwenye msiba
Kama amelala ktk Bwana tutamuona tena ktk ufufuo wa kwanza Kristo arudipo
Hahaa, watu mnapenda ugomvi nyie!Mkuu shikamoo
Sjakuona tangu wakubamize za kisogo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vamoos
Huyu mtani wangu wa jadi....Hahaa, watu mnapenda ugomvi nyie!
Timu Messi mnamidomo ya namna gani sijui ona mmemsema sana mgonjwa mpaka amefariki!!!!Mkuu shikamoo
Sjakuona tangu wakubamize za kisogo 😂😂😂😂
Vamoos
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😭😭😭😭😭😭😭😭😭Timu Messi mnamidomo ya namna gani sijui ona mmemsema sana mgonjwa mpaka amefariki??
Wahenga walikosea sana kusema maneno hayavunji mfupa, for the first time nimegundua walitudanganya
Ni kweli mkuu, Wala hukudanganywa. Na Kuna mengine mengi tu hujasimuliwa yoteHivi ni kweli huyu jamaa alipiga shuti LA mpira angani mpira ulikaa angani masaa 2 ndo ukarudi au nilidanganywa?