TANZIA Nguli wa Soka Duniani, Mbrazili Pele afariki dunia

TANZIA Nguli wa Soka Duniani, Mbrazili Pele afariki dunia

BBC world service wanarusha live breaking news toka sao paulo brazil. Makala maalumu zinaoneshwa enzi za uchezaji wake na katika matukio mengi ya kimichezo aliyoshiriki, BBC wanamuelezea kama mchezaji bora wa nyakati zote
 
Pumzika kwa amani legendary Pele. Siku kumi na mbili zilizopita upande wa pili kulikuwa na shangwe nderemo na vifijo baada ya Argentina kunyanua kwapa pale qatar.

Leo brazil ni huzuni na majonzi kwa kuondokewa na mtu au alama ya soka la brazil. Pumzika kwa amani pele.
 
Original goat tena! Ulimshuhudia pele?

Messi 🙌
Maradona 🙌
Football has lost one of its Greatest icon 💔

Rest in Peace , Legend 🌹

Your legacy will last forever..!!

#pele #RipLegend
CD922A2A-6DA1-4D89-B9D5-43FBB7524660.jpeg
 
Maneno haya ameandika Chawa.

Kuna kitu nimejifunza kupitia maisha ya mchezaji mstaafu wa Brazil. Kifo cha Pele kimeniletea taabu kwenye simu yangu usiku huu, yaani kila ninapogusa ni Pele tuu. CNN Pele, BBC Pele, Manchester Pele, Facebook Pele, Jf Pele na sasa naona waswahili wenzangu wa hapa Buguruni wameshaanza kumweka status kwenye simu zao.

Aisee bandugu kupitia maisha ya watu wengine tujifunze kuacha alama hapa Duniani, walau tukumbukwe siku tutakaponyang'anywa namba hapa Duniani.

Mimi kama Chawa na mmiliki wa ID zaidi ya tano hapa jukwaani natoa pole kwa ndugu na wafiwa wote.

NB: Kwa wale wenye michango, lambilambi na salamu za pole mnakaribishwa.
 
Itakuwa alishafariki kitambo tu toka world cup ilivyokuwa inaendelea wakaona ikitangazwa attention itahamia kwenye msiba

Kama amelala ktk Bwana tutamuona tena ktk ufufuo wa kwanza Kristo arudipo
Tulitegemea kuliona hili likizungumzwa

Bila kuona vitu kama hivi unafikiri tutajuaje kuwa tupo bongo??

Just incase umesahau au hukuwa na taarifa ni kwamba siku ya christmas familia yake ilienda kusheherekea hospitali pamoja naye.

Picha zilitumwa na video zilionesha tena akiwa katika tabasamu kubwa
 
Tulitegemea kuliona hili likizungumzwa

Bila kuona vitu kama hivi unafikiri tutajuaje kuwa tupo bongo??

Just incase umesahau au hukuwa na taarifa ni kwamba siku ya christmas familia yake ilienda kusheherekea hospitali pamoja naye.

Picha zilitumwa na video zilionesha tena akiwa katika tabasamu kubwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umemkamataaaa hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
By
Nyota huyo wa zamani wa Santos FC, anayetambuliwa kama mmoja wa Wanasoka bora zaidi wakati wote, alilazwa hospitalini tangu Novemba 29, 2022 huko Sao Paulo

Ripoti ya utabibu kabla ya Krismasi ilionyesha alihitaji uangalizi kwa ajili ya ugonjwa wa moyo na figo, na amekuwa akipambana na saratani ya utumbo tangu Septemba 2021

Pele (82) ambaye jina lake halisi ni Edson Arantes do Nascimento alianza kuichezea Santos akiwa na miaka 15 na timu ya taifa mwaka mmoja baadaye, na kucheza Kombe la Dunia la 1958 akiwa na miaka 17

Wakati wa uchezaji wake wa Kimataifa, alishinda Kombe la Dunia mara tatu - mnamo 1958, 1962 na 1970 huku akiwa ni mchezaji pekee aliyefanikisha hili.

View attachment 2462794
===

Brazilian football star Pele has died at the age of 82, his agent has told the Associated Press.

The former Santos FC star, widely regarded as one of the greatest footballers of all time, had been at the Albert Einstein Israelite Hospital in Sao Paulo since 29 November.

A medical report just before Christmas showed that he needed care for cardiac and renal dysfunction, having been battling colon cancer since September 2021.

Pele - originally named Edson Arantes do Nascimento - began playing for Santos at the age of 15 and the Brazilian national team a year later, bursting onto the world football scene as a 17-year-old in the 1958 World Cup.

During his international career, he won three World Cups - in 1958, 1962 and 1970 - the only player to achieve this.

His role in Brazil's third victory, in Mexico in 1970, has gone down in football folklore, as he played a key role in arguably the sport's greatest ever international team.

His glittering 20-year career from 1957 to 1977 saw him score 757 goals in 831 games, although Santos claim his tally was closer to 1,000.
Bye bye the mighty Pele, The one and only RIP Mkali wa soka
 
Back
Top Bottom