4by94
JF-Expert Member
- Oct 1, 2019
- 9,214
- 8,306
we ni kubw jinga hujielew , mtoto kuwa hivyo ni matokeo ya mzaz mpumbav aliyeshindwa kumpa mwelekeo mzur mtoto na kuacha mitaa imleeKesho yake utakuwa na mtoto kama huyo, ngoja tuone kama akipigwa shaba utafurahi kuwa UA maana naye ameua.
All in all, umeandika vizuri ila sweeping action/operations wataingia waliomo na wasiomo, kuzuia hilo unafanyaje?