Ngumu sana kwa vikundi kama Panya Road kushamiri kwenye tawala za Mkono wa chuma

Kesho yake utakuwa na mtoto kama huyo, ngoja tuone kama akipigwa shaba utafurahi kuwa UA maana naye ameua.

All in all, umeandika vizuri ila sweeping action/operations wataingia waliomo na wasiomo, kuzuia hilo unafanyaje?
we ni kubw jinga hujielew , mtoto kuwa hivyo ni matokeo ya mzaz mpumbav aliyeshindwa kumpa mwelekeo mzur mtoto na kuacha mitaa imlee
 

KUTOKA 21​

14Lakini mtu akimshambulia mwenzake makusudi na kumwua kwa ujeuri, hata kama atakimbilia kwenye madhabahu, mtamtoa huko madhabahuni pangu na kumwua.
23Lakini kama yatakuwapo madhara mengine, basi, lazima amlipe uhai kwa uhai, 24 jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa mkono, mguu kwa mguu, 25kuchomwa moto kwa kuchomwa moto, jeraha kwa jeraha, na pigo kwa pigo.
 
we ni kubw jinga hujielew , mtoto kuwa hivyo ni matokeo ya mzaz mpumbav aliyeshindwa kumpa mwelekeo mzur mtoto na kuacha mitaa imlee
mama yako na baba yako ndio makubwa jinga. yamekuzaa wewe unatukana bila sababu. Kwanini umetoa lugha ya matusi? Andiko langu likuwa na tusi. Basi makubwa jinga ni mama yako na baba yako waliozaa takataka kama wewe. Wewe umelelewa kwenye mitaa, short of that usingelitoa matusi
 
Kuna haja ya sheria ya mtoto kufanyiwa marekebisho. Haiwezekani mtoto wa miaka 16 au 14 aue mtu kwa kumkatakata mapanga halafu ahukumiwe kama mtoto.
 
Duuu!
 
Kuna haja ya sheria ya mtoto kufanyiwa marekebisho. Haiwezekani mtoto wa miaka 16 au 14 aue mtu kwa kumkatakata mapanga halafu ahukumiwe kama mtoto.
Aoshwe na mapanga na yeye.. muoshwa uoshwa hakuna kucheka nao hawa watoto tushawachoka
 

Hawa watu wa Haki za Binadamu watakuambia sheria hizi zimepitwa na wakati.
 
Kwa wenyeji wa mwanza mitaa ya mbugani,mbatini mpka nyashana watakuwa na ushahidi hawa wahuni walivoshugulikiwa.

Miaka 2017 ulianza msako wa wezi na vibaka wa kimya kimya uliokuwa ukifanywa na polisi ukikamatwa unapelekwa kigoto unaenda kuzimu na hakuna mjadala..kuna vijana wezi tunaowafahamu wengi walishahama na waliokamatwa hawapo gerezani na hawajulikani walipo ila inasemekena walipigwa risas na pilisi baada ya kukamatwa
 
Hakika, ukishi kwa upanga na ufe kwa upanga...
 
Q Leo umeandika vzr na umesomeka vyema Ni sahih Sana wezi na panya road siyo watu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hawa watu wa Haki za Binadamu watakuambia sheria hizi zimepitwa na wakati.
Wanatumia samehe 7 mara 70
Wakati Hata Masihi alisema hajaja kuitangua torati..
Kuna mambo bila kuonyesha mfano yatatuathiri sana
 
wakishawakamata wakawapiga chuma pia waangalie kwa mapana elimu ya ufundi na ujasiriamali pamoja na namna ya kustawisha upatikanaji wa ajira hasa kwa vijana.
panya road sio wakuchekea ni wa kiwasaga kabisa wawe vumbi.
 
Kwa hiyo traffik barabarani ndio wanazuia panyaroad! Rahasha, tatixo hili ni la kiuchumi zaidi. Halina uhusiano na yrafik wsla sauti ya upole ya kiongozi.
 
Subiri wapeleleze kwanza wakimaliza upelelezi ndiyo wawakamate
 
Watolewe mfano hata watano hivi,
Wapigwe Shaba mbele za wazazi wao mbona hii Hali itaisha Kwa miongo kadhaa
Operation kama hizi zinafanyikaga kmya kmya
Tena hao viongozi sahvi hawatakiwi
Kuzungumza kwenye media,wapige kimya kimya tu...utaona matokeo yake

Ova
 
Kesho yake utakuwa na mtoto kama huyo, ngoja tuone kama akipigwa shaba utafurahi kuwa UA maana naye ameua.

All in all, umeandika vizuri ila sweeping action/operations wataingia waliomo na wasiomo, kuzuia hilo unafanyaje?
Umeanza vzr,mwisho umeharibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…