Ngumu sana kwa vikundi kama Panya Road kushamiri kwenye tawala za Mkono wa chuma

Vipi mkono wa chuma kwenye masuala ya ufisadi na matumizi ya Vietee??
 
Vipi kuhusu mafisadi na waliongia mikataba ya hovyo ya madini, gesi, miondombinu n.k?
Exactly, yaani ukatekate wenzio mapanga, halafu eti wewe haki za binadamu zizingatiwe, kwakweli hao panya rodi nikuwaua tu kwa wale wataothibitishwa.
 
Kesho yake utakuwa na mtoto kama huyo, ngoja tuone kama akipigwa shaba utafurahi kuwa UA maana naye ameua.

All in all, umeandika vizuri ila sweeping action/operations wataingia waliomo na wasiomo, kuzuia hilo unafanyaje?
Mtoto mshenzi wa nn km hatasikia mafundisho yangu acha achapwe tu risasi kuliko kukaa na mtoto anae sumbua jamii
 
Vipi kuhusu mafisadi?
Mimi nadhani uanzishwe Uzi maalumu was kuwataja hap Panya road na maeneo yao itasaidia Sana kuwabaini. Kwa polisi kuwaanzisha upepelezi hao washukiwa.

Binafsi nawa Nitatoa ushirikiano ktk hili.
 
Uko sahihi
 
Katika hii michango yenu msisahu tatizo la overpopulation, idadi ya watu imekuwa kubwa sana.
 
kimsingi hapo ni Shaba.🦾
 
Kama mnakumbuka enzi za kumi ndani kumi nje, sie tuloishi buguruni malapa miaka ya tisini,elfumbili, hao sijui panyaroad, sungusungu tu, walikuwa wanawatosha Sana hao
 
Kwa hiyo traffik barabarani ndio wanazuia panyaroad! Rahasha, tatixo hili ni la kiuchumi zaidi. Halina uhusiano na yrafik wsla sauti ya upole ya kiongozi.

Kushindwa kutatua tatizo maana yake ni low intelligence!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…