Nguo ya kuazima/ kukodi/ sikuzote haistili mwili

Leo unasema Baleke hajafikia hata robo ya uwezo wa Kagere.
Naomba uthibitishe ni lini uliwahi kuukubali ubora wa Kagere. Nje ya hapo itakuw ni vijembe tu
 
Ushawahi kuishi nyumba au chumba cha kupanga? Mwenye nyumba hana mamlaka na chumba nilichopanga mpaka mkataba uishe. Nina uwezo wa kimzuia mwenye nyumba kuingia chumbani kwangu na asinifanye kitu.

Shida ikwapi kama kwa miaka miwili BALEGOLI nampa full mshahara, matibabu, kambi na huduma nyingine huku tukiwa tumekubaliana anafunga tuu magoli mpaka 2025 January. Nambie mchezaji gani bongo anasajiliwa zaidi ya miaka miwili kwa mkataba?

Balegoli twende kazi ana hasira kweli kukosa hatrick kwa ihefu so amezamilia kuipata kwenye mechi ijayo ya tar 16, sijui anacheza na nani?
 
Leo unasema Baleke hajafikia hata robo ya uwezo wa Kagere.
Naomba uthibitishe ni lini uliwahi kuukubali ubora wa Kagere. Nje ya hapo itakuw ni vijembe tu
Umekuja tubishane kwa hoja au umekuja tufanyaje ?
 
Kwa hiyo nyumba uliyopanga unaweza ukajisigia nakuimba huko mitaani "this is my house"

Kama unafanyaga hivyo mkuu hongera sana.
 
Mbona wewe na wenzio kila siku mnatupigia kelele na mfungaji wenu ambaye naye hajamfikia hata kidogo predator MK14 na ambaye msimu uliopita alizidiwa na kijana mdogo mpole!?
Kazidiwa kimichongo au hufatilii mpira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…