Nguo ya kuazima/ kukodi/ sikuzote haistili mwili

Nguo ya kuazima/ kukodi/ sikuzote haistili mwili

Kila unavyojitahidi kuandika nyuzi nyingi kuiponda Simba ili uonekane unajua sana mchezo wa mpira ndiyo unavyojivua nguo kuwa wewe ni mshamba na limbukeni wa huu mchezo na mshabiki oya oya tu. Unawaaibisha hata wana Yanga wenzako wenye kujitambua kwa mada zako za kijinga.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Punguza makasiriko mbumbumbu fc
 
Kumekua na makelele ya fijo pamoja na ndelemo za kuimba nakumsifu Jean baleke, Kama hufatilii mpira unaweza kudhani baleke kafunga magoli miambili la hasha Bali kaonyesha uwezo kidogo hata robo ya meddi kagere enzi zake hajafika kiwango Cha mwamba mk 14.

Babu yangu mzee NGWENA /WAHENGA walisema "nguo ya kuazima haistili mwili " nakubali kabisa huu msemo bila pingamizi.

Unaacha kusifu midabwada yako uliyoinunua karume/ mtumbani sagula sagula/ nguo za mafungu kwa buku jero unapata midabwada ya kutosha takiribani kumi kwa buku jero.

Inakuaje badala yakusifu mitumba yako ya Bei Chee unakuja kusifu suti ya kuazima kwa jirani Tena unatamba nayo na kudunda/unachekelea kwa madaha nakujiona wewe ndiyo kila kitu.

Hii inachekesha sana, Tena mpaka jirani aliyekuazima suti yake anakukumbusha kabisa kuwa "suti niliyokuazima ni suti yangu halali kabisa"
Kutokana na ujua ulio nao/ umbumbumbu unafurahi kwenda huku na huko ukiinadi kuwa suti yako ni "the talk of the Town' unasema kuwa suti yako ni "goal machine"

Nataka nione mzamiru,john bocco,Sawadogo,kapama, kibu Denis, na wachezaji wengine wakiimbwa na mashabiki wa Simba kwa vifijo na nderemo nyingi maana hao ndiyo wachezaji wetu tuliowasajiri kwa pesa zetu lakini Jean baleke kaja kwa mkopo kaja kupambana ili apate namba huko alikotolewa baada ya kuonekana kuwa kiwango kimeshuka.

Tukubali tukatae sikuzote nguo yakuazima haistili mwili, mwenye nayo akiichukua unabaki na midabwada yako kutoka karume, hii midabwada lazima ujivunie nayo na ulinge nayo maana ni vya kwako.
Wanachotakiwa Simba ni kumsajili moja kwa moja maana Jean Baleke amekataa kuchezea tena TP Mazembe. Wasifanye kama walivyofanya kwa Manzoki kuwa Mgeni Mwalikwa siku ya uchaguzi. Kwa kweli kwa kiasi fulani ameipa uhai safu ya ushambuliaji ya Simba.
 
APRIL 16,2023

FT: Simba SC 4 : 1 Young African
Wewe kijana nakupenda sana.
Nakushauri usiende uwanjani siku hiyo wala kibanda uzima, bora baki homu fuatilia mtanange ukiwa nyumbani.
Utakuja kunishukuru.
 
Kipindi anaingia medii kagere unadhani huyo mnayemsifu Kama mungu kafikia hata robo
Subiri Jini Balekhe awabikiri kwenye mwiko, Jumapili ndio mtaenda simulia babu zenu akina Mpili kama huko nyuma panasitirika au la baada ya kuchomolewa mwiko

Jini Balehe lazima litie mtu
 
Subiri Jini Balekhe awabikiri kwenye mwiko, Jumapili ndio mtaenda simulia babu zenu akina Mpili kama huko nyuma panasitirika au la baada ya kuchomolewa mwiko

Jini Balehe lazima litie mtu
Kwa kuwa aliwabikiri nyinyi ndiyo m adhani Kila mtu atafungwa na huyo mviziaji.
 
Kumekua na makelele ya fijo pamoja na ndelemo za kuimba nakumsifu Jean baleke, Kama hufatilii mpira unaweza kudhani baleke kafunga magoli miambili la hasha Bali kaonyesha uwezo kidogo hata robo ya meddi kagere enzi zake hajafika kiwango Cha mwamba mk 14.

Babu yangu mzee NGWENA /WAHENGA walisema "nguo ya kuazima haistili mwili " nakubali kabisa huu msemo bila pingamizi.

Unaacha kusifu midabwada yako uliyoinunua karume/ mtumbani sagula sagula/ nguo za mafungu kwa buku jero unapata midabwada ya kutosha takiribani kumi kwa buku jero.

Inakuaje badala yakusifu mitumba yako ya Bei Chee unakuja kusifu suti ya kuazima kwa jirani Tena unatamba nayo na kudunda/unachekelea kwa madaha nakujiona wewe ndiyo kila kitu.

Hii inachekesha sana, Tena mpaka jirani aliyekuazima suti yake anakukumbusha kabisa kuwa "suti niliyokuazima ni suti yangu halali kabisa"
Kutokana na ujua ulio nao/ umbumbumbu unafurahi kwenda huku na huko ukiinadi kuwa suti yako ni "the talk of the Town' unasema kuwa suti yako ni "goal machine"

Nataka nione mzamiru,john bocco,Sawadogo,kapama, kibu Denis, na wachezaji wengine wakiimbwa na mashabiki wa Simba kwa vifijo na nderemo nyingi maana hao ndiyo wachezaji wetu tuliowasajiri kwa pesa zetu lakini Jean baleke kaja kwa mkopo kaja kupambana ili apate namba huko alikotolewa baada ya kuonekana kuwa kiwango kimeshuka.

Tukubali tukatae sikuzote nguo yakuazima haistili mwili, mwenye nayo akiichukua unabaki na midabwada yako kutoka karume, hii midabwada lazima ujivunie nayo na ulinge nayo maana ni vya kwako.
Unafosi KILA MTU awe mpumbavu km ww.

Baleke akiingia uwanjani anaingia kuchezea timu gani Labda.

Tuwekee mkataba wa Baleke ili tuamini we ni great thinker. Na unaandika vitu , habari zilizotafitiwa kwa kina, vitu genuine.

Ukishindwa ww Ni popoma square.

Ila hili Jukwaa limevamiwa sana
 
Unafosi KILA MTU awe mpumbavu km ww.

Baleke akiingia uwanjani anaingia kuchezea timu gani Labda.

Tuwekee mkataba wa Baleke ili tuamini we ni great thinker. Na unaandika vitu , habari zilizotafitiwa kwa kina, vitu genuine.

Ukishindwa ww Ni popoma square.

Ila hili Jukwaa limevamiwa sana
Punguza umbumbumbu/ makasiriko yako ukijaa upepo ndiyo unazidi kuwa juha umeandika pumba tupu nenda kapepete basi
 
Punguza umbumbumbu/ makasiriko yako ukijaa upepo ndiyo unazidi kuwa juha umeandika pumba tupu nenda kapepete basi
Leta taarifa genuine siyo unashiba mataptap inakuja kuandika humu.

Tuweke mkataba hapa, uliousoma ukajiridhisha Ni nguo ya kuazima.

Pili utuambie yuko pale Simba Kufanya Nini.

Great thinkers wanajua mbumbumbu Ni Nani Kati yako na mm. Wanajua!

Kuna wakati Ni Raha kubishana kidogo na mpumbavu! Kidogo TU!

Zuzu karibu, mwaga hoja. Km huna sepa kimyakimya!
 
Back
Top Bottom