NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
- #81
Afande wa zenji katika ubora wako, mtu mwenye evidence huwa hatishii hata siku moja kwa hiyo unachokifanya ni upopoma tu Waheed [emoji41]Leta taarifa genuine siyo unashiba mataptap inakuja kuandika humu.
Tuweke mkataba hapa, uliousoma ukajiridhisha Ni nguo ya kuazima.
Pili utuambie yuko pale Simba Kufanya Nini.
Great thinkers wanajua mbumbumbu Ni Nani Kati yako na mm. Wanajua!
Kuna wakati Ni Raha kubishana kidogo na mpumbavu! Kidogo TU!
Zuzu karibu, mwaga hoja. Km huna sepa kimyakimya!