Nguo ya kuazima/ kukodi/ sikuzote haistili mwili

Punguza makasiriko mbumbumbu fc
 
Wanachotakiwa Simba ni kumsajili moja kwa moja maana Jean Baleke amekataa kuchezea tena TP Mazembe. Wasifanye kama walivyofanya kwa Manzoki kuwa Mgeni Mwalikwa siku ya uchaguzi. Kwa kweli kwa kiasi fulani ameipa uhai safu ya ushambuliaji ya Simba.
 
APRIL 16,2023

FT: Simba SC 4 : 1 Young African
Wewe kijana nakupenda sana.
Nakushauri usiende uwanjani siku hiyo wala kibanda uzima, bora baki homu fuatilia mtanange ukiwa nyumbani.
Utakuja kunishukuru.
 
Kipindi anaingia medii kagere unadhani huyo mnayemsifu Kama mungu kafikia hata robo
Subiri Jini Balekhe awabikiri kwenye mwiko, Jumapili ndio mtaenda simulia babu zenu akina Mpili kama huko nyuma panasitirika au la baada ya kuchomolewa mwiko

Jini Balehe lazima litie mtu
 
Subiri Jini Balekhe awabikiri kwenye mwiko, Jumapili ndio mtaenda simulia babu zenu akina Mpili kama huko nyuma panasitirika au la baada ya kuchomolewa mwiko

Jini Balehe lazima litie mtu
Kwa kuwa aliwabikiri nyinyi ndiyo m adhani Kila mtu atafungwa na huyo mviziaji.
 
Unafosi KILA MTU awe mpumbavu km ww.

Baleke akiingia uwanjani anaingia kuchezea timu gani Labda.

Tuwekee mkataba wa Baleke ili tuamini we ni great thinker. Na unaandika vitu , habari zilizotafitiwa kwa kina, vitu genuine.

Ukishindwa ww Ni popoma square.

Ila hili Jukwaa limevamiwa sana
 
Punguza umbumbumbu/ makasiriko yako ukijaa upepo ndiyo unazidi kuwa juha umeandika pumba tupu nenda kapepete basi
 
Punguza umbumbumbu/ makasiriko yako ukijaa upepo ndiyo unazidi kuwa juha umeandika pumba tupu nenda kapepete basi
Leta taarifa genuine siyo unashiba mataptap inakuja kuandika humu.

Tuweke mkataba hapa, uliousoma ukajiridhisha Ni nguo ya kuazima.

Pili utuambie yuko pale Simba Kufanya Nini.

Great thinkers wanajua mbumbumbu Ni Nani Kati yako na mm. Wanajua!

Kuna wakati Ni Raha kubishana kidogo na mpumbavu! Kidogo TU!

Zuzu karibu, mwaga hoja. Km huna sepa kimyakimya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…