Hasa awe na kamng'ao flani hivi, ila rangi nzuri kwa mubebe, ni ile inaitwa baby blue, ukivaa bra au kyupi rangi hizo bwana anaweza kuvila na vyenyewe, white iko poa sema imevalika mno, nyingine ziwe light pink, green, yellow orange nkblack inavutia ina kaushawishi flani hivi
ahaha unataka kumtapeli kijana wa watu ndio kwaza ana mwezi tangu apate ajira TPAApokee simu yangu, namba inaishia 120..... Nimuulize kitu
Tupo pamoja π€£π€£π€£π€£π€£Pinki,njano,kijani na nyekundu.
like that anakua na kamtego apoiHasa awe na kamng'ao flani hivi, ila rangi nzuri kwa mubebe, ni ile inaitwa baby blue, ukivaa bra au kyupi rangi hizo bwana anaweza kuvila na vyenyewe, white iko poa sema imevalika mno, nyingine ziwe light pink, green, yellow orange nk
aa ila zingine zina dependPink,njano,nyekundu na kijana naona zimekaa kikikike sana
Nyekundu
ba umezeeka ivyo up usijue rangiPinki na rangi yoyote ambayo inaendana na pink na siielewi elewi maana mi rangi zisijui vizuri.
Nikihisi ina upink kwa mbali hiyo katu siivai.
Nyekundu navaa ila nikishindwa kuitambua kama ni pink au nyekundu siivai.
Wanaume wengi tupo hivyo sio mimi peke yangu.kwam
ba umezeeka ivyo up usijue rangi
Wanaume wengi tupo hivyo sio mimi peke yangu.
Nje ya nyeusi na nyeupe wengi hizo nyingine zinatupiga chenga, sijui maruni, purple, chocolate colour sijui nayo ni rangi, orange nk
Kuna mwanangu tukiwa form 4 alishindwa kuitambua rangi ya kijani ππkwam
ba umezeeka ivyo up usijue rangi
Yeah si umemsikiaa mwenyewe kasema anapenda black. π€£π€£si mnapendana bhna
h kijani ambayo ni common kabisaKuna mwanangu tukiwa form 4 alishindwa kuitambua rangi ya kijani ππ
Zile skafu za scouts wa shule alizitambua rangi mbili tu kati ya zile saba sijui
ndio mkuuYeah si umemsikiaa mwenyewe kasema anapenda black. π€£π€£
Hapana , its not me!! ππDaaah huyu ni wewe? Kwahiyo sahivi uko wapi.....
ππ πNina boot moja ya play boy sema sijapiga picha
π π Tumetofautiana sweeryMh hii rangi ya mbwa