cosa nostra
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 1,773
- 1,805
- Thread starter
-
- #101
huyo sijui ila design hiyo nimezikuta dukaniBraza acha masikhara aisee, inamaana uyu ni model wa nguo za kiume au ndo shoga mwenyewe. Bora nitembee kifua wazi sio icho kitisheti. Iyo suruali bora nivae gunia
kwasababu wanapenda kufanana na keMkuu umenena, hivi inakuwaje Mwanamume uvae nguo inayobana makalio kama ke?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Ushoga unapigiwa chapuo kwa 120 speed per hour, ni hatari mno nashawishika kuamini itafika kipindi ardhi itatawaliwa na mashoga na kinadada pekee, vidume vya ukweli ndo vinatoweka mmoja mmoja[emoji21] [emoji30]Uchoko huo kuvaa nguo za kipuuzi hizo, siku hizi hata jeans za kishoga tu ndio zimejaa madukani humo. Hadi cadet nazo et zinavutika
Kwa wewe ujitambuae Naamini hata huko ndani hutovaa kwa maana bado nafsi yako itakusuta kwamba ulichovaa hakikuhusu, kina wenyewe.
tukifa sisi nawasiwasi sana na kizazi kifuatacho baada yetuMkuu Ushoga unapigiwa chapuo kwa 120 speed per hour, ni hatari mno nashawishika kuamini itafika kipindi ardhi itatawaliwa na mashoga na kinadada pekee, vidume vya ukweli ndo vinatoweka mmoja mmoja[emoji21] [emoji30]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio tu kuvaa hizo nguo.Mkuu umenena, hivi inakuwaje Mwanamume uvae nguo inayobana makalio kama ke?
Sent using Jamii Forums mobile app
hshahahahahahZa Wanaume Wa Dar.
Mi sitokubali ujinga huo kwenye kizazi changuMkuu Ushoga unapigiwa chapuo kwa 120 speed per hour, ni hatari mno nashawishika kuamini itafika kipindi ardhi itatawaliwa na mashoga na kinadada pekee, vidume vya ukweli ndo vinatoweka mmoja mmoja[emoji21] [emoji30]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila la kheri.Duh umeniganda na maswali.
Naomba kupata hiyo historia tafadhali, napenda kujifunza vitu vipya kila siku.... kama hutojali.Heshima Mkuu!
Tujifunze kutoka dunia nzima, lakini msingi na maudhui ni hapa nyumbani. Elimu ya kweli ni kujielewa, kuielewa jamii na kuuelewa ulimwengu.
Unaifahamu historia ya Magharibi?. Unafahamu kabla ya mavazi wanayoyavaa hivi sasa walikuwa wakivaa nini?, unafahamu mavazi yameanza kuvaliwa karne ipi na wapi?.
Mind you. Culture is not static, it is dynamic.
Hekima ni Uhuru.
Muangalie kwa umakini mkubwa. Huyo ni mwanaume kweli?
Usemayo ni kweli sasa mwanaume rijali anavaa hivi ndo nini nmaana yake?!
Nazichukia sana hizo nguo...nowdays zaidi napendelea kununua vitambaa kushonesha suruali old modelsNimekua nikipata shida sana kupata nguo nzuri za kiume madukani, kwani miaka ya hivi karibuni nguo nyingi zilizopo madukani zinazosemekanana ni za kiume zina muonekano wa nguo za kike.
Kwa mfano jeans zilizopo madukani kwa asilimia 90 ni za kishoga, ni nyembamba, zinabana matako, chini zinabana miguu eti wanasema kamatia chini.
Ukija kwenye Tshirts ndio kabisa zinabana mwili na ziko juu juu kama top za kike, mashirt nayo hali kadhalika eti wanaita modal ila nimekuja kujua asilimia kubwa ya designer wa nguo a kiume ni mashoga na wanaweka trend zao na watu wanavaa wengine kwa kujua na wengine kwa kuto kujua.
Suit zinazoshonwa siku hizi Tanzania suruali unakuta fupi au suit na pensi, ili tu ionekane kike ndio fashion.
Nadhani tunakoelekea sisi wazee wa busara tutakosa nguo kabisa huko madukani huu ni mfano tu wa nguo hizo.
Kama una picha za nguo hizo weka hapa wadau waziepuke kwani ndio tunafundisha watoto wetu kwa muonekano wetu.
View attachment 573126
Umenikumbusha msambwanda wa bashitekuna mmoja nimemuona jana anakatako halafu kavaa jeans kachomekea yani jamaa alikuwa huku nyuma anatuacha hoi .. ila mwanaume kama natako achana na nguo za kubana na vichupa huwa mnatikisa nyuma sana