Blaszczykowski
JF-Expert Member
- Dec 20, 2022
- 310
- 1,100
Kwa usalama wa afya yako,akili yako,mwili wako na roho yako,naomba tia moto hizo nguo kwanza hata ndani zisiingie.Habari za humu ndani wakubwa na wadogo .
Week iliyopita mke wangu wa ndoa amebeba vitu vya ndani bila hata kuniambia (kubeba vitu sio shida ) shida inakuja Why ameondoka na nguo zangu angalia zilikuwa kwenye begi langu la nguo na amekaa nazo week nzima jana ndio zimeletwa na bodoboda.
Wakubwa naombeni ushauri kuhusu hilo tukio maana nimezipokea nguo ila nafsi yangu NZITO sana kuendelea KUZIVAA.
Kabisa, niliacha nguo mahali, kilichonikuta sitasahauUsivaeee izo piga kiberiti au gawa utakuja kunishukuru baadae
Piga kiberiti nguo zishafanyiwa mauzauza. Usibishane na nafsi yako, ilikuwepo kabla ya kuzaliwa kwakoHabari za humu ndani wakubwa na wadogo .
Week iliyopita mke wangu wa ndoa amebeba vitu vya ndani bila hata kuniambia (kubeba vitu sio shida ) shida inakuja Why ameondoka na nguo zangu angalia zilikuwa kwenye begi langu la nguo na amekaa nazo week nzima jana ndio zimeletwa na bodoboda.
Wakubwa naombeni ushauri kuhusu hilo tukio maana nimezipokea nguo ila nafsi yangu NZITO sana kuendelea KUZIVAA.
Yes. Unajua tumetofautiana vingi, kilicho rahisi sana kwako, kwangu chaweza kuwa kigumu sana.Hili nalo ni la kuandika uzi?
Lady's fingerKwann aliondoka ??
Yes. Unajua tumetofautiana vingi, kilicho rahisi sana kwako, kwangu chaweza kuwa kigumu sana.
Common sense ni kama tako tu, kila mtu ana size yake.Mzee baba kuna vitu mtu anatakiwa atumie common sense tu...
Asante KWA ushauri.Usivaeee izo piga kiberiti au gawa utakuja kunishukuru baadae
Ndani zishaingia naziangalia tuKwa usalama wa afya yako,akili yako,mwili wako na roho yako,naomba tia moto hizo nguo kwanza hata ndani zisiingie.
Ndani zishaingia naziangalia tu bKwa usalama wa afya yako,akili yako,mwili wako na roho yako,naomba tia moto hizo nguo kwanza hata ndani zisiingie.
Lisemwalo lipo nalipua mida si mirefuChoma mkuu....kimbora icho
Hata ndani zisiingie zigawe zimeshafanyiwa featuring hizoHabari za humu ndani wakubwa na wadogo .
Week iliyopita mke wangu wa ndoa amebeba vitu vya ndani bila hata kuniambia (kubeba vitu sio shida ) shida inakuja Why ameondoka na nguo zangu angalia zilikuwa kwenye begi langu la nguo na amekaa nazo week nzima jana ndio zimeletwa na bodoboda.
Wakubwa naombeni ushauri kuhusu hilo tukio maana nimezipokea nguo ila nafsi yangu NZITO sana kuendelea KUZIVAA.
Matatizo ya ndoa hayaelezeki kirahisi.Kwann aliondoka ??