Nguo zimerudishwa ila nafsi yangu nzito kuzivaa

Nguo zimerudishwa ila nafsi yangu nzito kuzivaa

Ukiona hadi Wanawake wenzake hapa Janvini wanashauri uzitie moto hizo nguo usichukulie poa.

Hizo nguo itakuwa ameshazifanyia shirki, vunja kibubu ukanunue nguo nyingine tu.
Chief tokea jana naziangalia tu .
 
Habari za humu ndani wakubwa na wadogo .

Week iliyopita mke wangu wa ndoa amebeba vitu vya ndani bila hata kuniambia (kubeba vitu sio shida ) shida inakuja Why ameondoka na nguo zangu angalia zilikuwa kwenye begi langu la nguo na amekaa nazo week nzima jana ndio zimeletwa na bodoboda.

Wakubwa naombeni ushauri kuhusu hilo tukio maana nimezipokea nguo ila nafsi yangu NZITO sana kuendelea KUZIVAA.
Kwa hakika hakuzichukua kwa bahati mbaya. Lazima kuna nia ovu hapo. Suluhisho ni kuzichoma moto tu. Usione hasara kuzichoma, vinginevyo ukizivaa utapata hasara zaidi ya kuzikosa.
 
Kuziingiza ndani kwako pia ulikosea ! Anyway zichome pamoja na Hilo bag,, !

Pesa zinatafutwa no worries
 
Kwa hakika hakuzichukua kwa bahati mbaya. Lazima kuna nia ovu hapo. Suluhisho ni kuzichoma moto tu. Usione hasara kuzichoma, vinginevyo ukizivaa utapata hasara zaidi ya kuzikosa.
Mbaya zaidi nilitegemea zije jpili ambayo ndio siku anakuwa off ila zimekuja j3 . Jpili alishindwa kuzileta au siku ile ile kama alichukua KWA bahati mbaya
 
Muongezee nauli bodaboda huyohuyo azirudishe
 
Back
Top Bottom