Blaszczykowski
JF-Expert Member
- Dec 20, 2022
- 310
- 1,100
- Thread starter
- #21
Kitu gani naogopa sana maisha yenyewe magumu hayaKabisa, niliacha nguo mahali, kilichonikuta sitasahau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitu gani naogopa sana maisha yenyewe magumu hayaKabisa, niliacha nguo mahali, kilichonikuta sitasahau
Ushauri ila nimejifunza kitu tayari ni kuzitia moto .nilijaribu kumuuliza akinipa majibu sahihi zaidi ya kunikatia simuMzee baba kuna vitu mtu anatakiwa atumie common sense tu...
Chief tokea jana naziangalia tu .Ukiona hadi Wanawake wenzake hapa Janvini wanashauri uzitie moto hizo nguo usichukulie poa.
Hizo nguo itakuwa ameshazifanyia shirki, vunja kibubu ukanunue nguo nyingine tu.
Yeye mke yuko wapi? Kwanini aliondoka na nguo zako?
Kwa hakika hakuzichukua kwa bahati mbaya. Lazima kuna nia ovu hapo. Suluhisho ni kuzichoma moto tu. Usione hasara kuzichoma, vinginevyo ukizivaa utapata hasara zaidi ya kuzikosa.Habari za humu ndani wakubwa na wadogo .
Week iliyopita mke wangu wa ndoa amebeba vitu vya ndani bila hata kuniambia (kubeba vitu sio shida ) shida inakuja Why ameondoka na nguo zangu angalia zilikuwa kwenye begi langu la nguo na amekaa nazo week nzima jana ndio zimeletwa na bodoboda.
Wakubwa naombeni ushauri kuhusu hilo tukio maana nimezipokea nguo ila nafsi yangu NZITO sana kuendelea KUZIVAA.
Sentensi ya mwisho imenigusa sana.Piga kiberiti nguo zishafanyiwa mauzauza. Usibishane na nafsi yako, ilikuwepo kabla ya kuzaliwa kwako
Nachom mkuuchoma na begi kabisa
Mbaya zaidi nilitegemea zije jpili ambayo ndio siku anakuwa off ila zimekuja j3 . Jpili alishindwa kuzileta au siku ile ile kama alichukua KWA bahati mbayaKwa hakika hakuzichukua kwa bahati mbaya. Lazima kuna nia ovu hapo. Suluhisho ni kuzichoma moto tu. Usione hasara kuzichoma, vinginevyo ukizivaa utapata hasara zaidi ya kuzikosa.
Ngoja ugeuke chizi. Kidogo niache kazi.Kitu gani naogopa sana maisha yenyewe magumu haya
Common sense is not commonMzee baba kuna vitu mtu anatakiwa atumie common sense tu...
Acha umbea.Yeye mke yuko wapi? Kwanini aliondoka na nguo zako?
Kwa hii comment yako na hyo avatar yako unanipa wasiwasi!Yupo kwao , Nilimuuliza ila akunipa jibu la kueleweka zaidi ya kuniblock