Kamakabuzi
JF-Expert Member
- Dec 3, 2007
- 2,903
- 1,360
but its common sense!Common sense is not common
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
but its common sense!Common sense is not common
Yaan utakutana na kimavi ya hatari hutaaminiHabari za humu ndani wakubwa na wadogo .
Week iliyopita mke wangu wa ndoa amebeba vitu vya ndani bila hata kuniambia (kubeba vitu sio shida ) shida inakuja Why ameondoka na nguo zangu angalia zilikuwa kwenye begi langu la nguo na amekaa nazo week nzima jana ndio zimeletwa na bodoboda.
Wakubwa naombeni ushauri kuhusu hilo tukio maana nimezipokea nguo ila nafsi yangu NZITO sana kuendelea KUZIVAA.
Ushauri ila nimejifunza kitu tayari ni kuzitia moto .nilijaribu kumuuliza akinipa majibu sahihi zaidi ya kunikatia simu
Hekima za nabii Bujibuji Simba NyamaumeSentensi ya mwisho imenigusa sana.
Kweli, nafsi zetu zilitutangulia kuwepo!
Sasa ulitaka mpaka mtu afe ndio mjue kuna shida ndani ya nyumba bro.Tanganyika nzito sana.
Eto hii nayo iliitwa ndoa.
Mmmh
Avatar isikupe wasi wasi , Ayo matatizo yapo KWA Kila mtu mzeeKwa hii comment yako na hyo avatar yako unanipa wasiwasi!
Yani mkuu picha yako uliyoiweka kabla ya kusoma nilifikili wewe ni Fe.Habari za humu ndani wakubwa na wadogo .
Week iliyopita mke wangu wa ndoa amebeba vitu vya ndani bila hata kuniambia (kubeba vitu sio shida ) shida inakuja Why ameondoka na nguo zangu angalia zilikuwa kwenye begi langu la nguo na amekaa nazo week nzima jana ndio zimeletwa na bodoboda.
Wakubwa naombeni ushauri kuhusu hilo tukio maana nimezipokea nguo ila nafsi yangu NZITO sana kuendelea KUZIVAA.
Au alipeleka kwa mwamposa?Habari za humu ndani wakubwa na wadogo .
Week iliyopita mke wangu wa ndoa amebeba vitu vya ndani bila hata kuniambia (kubeba vitu sio shida ) shida inakuja Why ameondoka na nguo zangu angalia zilikuwa kwenye begi langu la nguo na amekaa nazo week nzima jana ndio zimeletwa na bodoboda.
Wakubwa naombeni ushauri kuhusu hilo tukio maana nimezipokea nguo ila nafsi yangu NZITO sana kuendelea KUZIVAA.
Kaka nimekwambia ni muislam kwao ni mkoani ,Morogoro ndio ni muislam
Roho zao nyepesiWanawake na uganga ni mapacha was kufanana.
Mwanetu hata mlango zisivuke piga moto
Nataka nizitume kwaoHana mdogo wake wa Kiume? Ndo umpe huyo bila mke kujua. Au tafuta Kichaa mmoja mpatie.
[emoji38] hatariCommon sense ni kama tako tu, kila mtu ana size yake.