Nguo zimerudishwa ila nafsi yangu nzito kuzivaa

Nguo zimerudishwa ila nafsi yangu nzito kuzivaa

Vaa tu mkuu. Uchawi hauendi kwa mentali 😅
Hii sentensi nina kaka yangu alikuaga anaipenda sana. Alikuwa anadate na mdada ambae kwao..mama yake anaruka usiku. Sasa akawa anaambiwa na watu mtaani....yeye akawa anajibu hiv.

Siku akiwa amelala, akatokewa na mama yake mkwe na shem wake mmoja...akashtuka sana...akaamka. akawa katika hofu nini hiki kimenitokea...akasema alale kwenye mkeka sio kitandani...akatokewa tena. Wakamwambia tumekukubali..kama mkwe wetu...and all other shit.

Mwenyewe alijikuta ameamka..akasali Baba yetu..na kukemea. Kuanzia siku hiyo...appetite na yule duu ikasepa, akabreak mahusiano...asubuhi alivyotusimulia tulicheka sana.. tukamuuliza si ulisema uchawi..hauendi kwa mentali?? Imekuaje...mentali kafa ama??
 
Hata ndani zisiingie zigawe zimeshafanyiwa featuring hizo
Hahahah. Kuna watu ni wachawi haswa. Nilifanyiwa featuring hiyo sitasahau. Kosa nililofanya nilivaa zile nguo maana sikuwahi kuwaza kama kitu kama hicho kitanitokea. Wanawake wengine wana roho mbaya sana.
 
Hii sentensi nina kaka yangu alikuaga anaipenda sana. Alikuwa anadate na mdada ambae kwao..mama yake anaruka usiku. Sasa akawa anaambiwa na watu mtaani....yeye akawa anajibu hiv.

Siku akiwa amelala, akatokewa na mama yake mkwe na shem wake mmoja...akashtuka sana...akaamka. akawa katika hofu nini hiki kimenitokea...akasema alale kwenye mkeka sio kitandani...akatokewa tena. Wakamwambia tumekukubali..kama mkwe wetu...and all other shit.

Mwenyewe alijikuta ameamka..akasali Baba yetu..na kukemea. Kuanzia siku hiyo...appetite na yule duu ikasepa, akabreak mahusiano...asubuhi alivyotusimulia tulicheka sana.. tukamuuliza si ulisema uchawi..hauendi kwa mentali?? Imekuaje...mentali kafa ama??
Walikuja kumpima tu, bahati mbaya broh aliingia ubaridi, alitakiwa kukaza 😅
 
Back
Top Bottom