- Thread starter
- #41
Ndio KAZI tuliyoitiwa,Kuna watu hajawahi kuukubari ukweli. Zidisha kueneza njili.
Mungu Atasaidia wataelewa hata mbeleni, sisi tupige KAZI😀🙏
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio KAZI tuliyoitiwa,Kuna watu hajawahi kuukubari ukweli. Zidisha kueneza njili.
Umejuaje kuwa wachawi wanakula watoto wao, umewahi waona?Wanaokula watoto wao ni wachawi na washirikina , ni HAYAWANI pia.
Babu Yako alijitahidi kupanua uelewa juu ya jambo Hilo,Mkuu Rabbon,
Mimi babu yangu ni mchungaji na tangu udogo wangu nilikuwa namuuliza maswali mengi sana ikanifanya nipoteze kabisa kuamini haya masuala.
Nilishawahi ongea nae kuhusu hii kitu, akaniambia unajua mara nyingi shetani huwa anashambulia kitu ambacho una kithamini sana. Akaanza kwa kusema katika mji wa wagerasi ufugaji wa nguruwe ulikuwa ni kwa sehemu kubwa, hivyo watu wa mji ule walithamini nguruwe kuliko mtu yule aliyeishi pangoni akiteswa na mapepo.
Akaniambia hivi sababu shetani alifahamu kwamba watu wa mji huu wanathamini nguruwe kuliko mtu yule anayeteseka hivyo akamuomba Yesu amruhusu kuwaingia nguruwe wale. Akifahamu kwamba moja, nguruwe hawawezi kuogelea hivyo kwa namna yoyoye watazama ziwani.
Mbili, nguruwe watakapozama watu wa mji ule watachukizwa kwa kupoteza kitu ambacho wanakithamini, hivyo watu wa mji wa wagerasi watamfukuza Yesu asiendelee na kazi yake kwa kusababisha uharibifu wa Mali zao.
Na ndicho kilichotokea,
Nikamuuliza kwahiyo unataka kusema shetani alikuwa smart kumshinda yesu kufahamu tricky yake?
Akanijibu shetani alikuwa nyuma na tricky yake ilikuwa ya hovyo. Akasema mtu yule alipotaka kuongozana na yesu akamwambia wewe baki ushuhudie aliyokutendea Mungu, hivyo kupitia mtu yule wengi wangepata kuamini.
Btw, huwa nikiendaga kanisani sikuhiz naenda kumuangalia mwanangu anavyopiga KINANDA.
Kula nguruwe hana madhara yoyote
Hakuna kitu kama hicho.Salaam, shalom!!
Utafiti mdogo niliofanya unasema, mnyama huyu nguruwe, akizaa watoto, ukichelewa kuwaondoa, aweza kuwala wote pasi huruma,
Kuna wanyama na ndege walioumbwa wakiwa na utindio, aina Fulani ya ukichaa, mbuni akiwa Mmoja wapo,
Ikiwa mnyama huyu KWELI anaangukia kundi la wanyama wasio timamu , ni sahihi kuwatumia Kwa chakula?
Na Kuna uadui Gani kati ya nguruwe na mapepo?
Maana (Luke 8:30-32) nguruwe akaona kuliko kukaliwa na mapepo, akaona Bora ajitose Baharini afe.kuliko kumilikiwa na mapepo,
Karibuni 🙏
Sasa ngurue wa kipindi hicho ndio hawa wa sasa hivi.Babu Yako alijitahidi kupania uelewa juu ya jambo Hilo,
Ingawa pia fikiria hili,
Yesu alipokuwa akienda kule, bahari ilichafuka na walinisurika kuzama,
Na alipowatoa mapepo, wakaomba waingie Kwa nguruwe, nguruwe awapeleke Baharini,
Naona Kuna mahusiano ya mapepo hayo, yakitokea Baharini Kwa asili inaonekana.
Si Kila kitu ni chakula ndugu, kama ambavyo huwezi kula konokono, ndivyo hivyo hivyo Kwa nguruwe. Hukatazwi, akili itumike, madaktari pia wanakataza hii kitu.
Ubarikiwe.
Kwamba nguruwe wa sasa wamepona uhayawani/ ukichaa?Sasa ngurue wa kipindi hicho ndio hawa wa sasa hivi.
Kile kizazi kilicholaaniwa kipindi icho kishafutika kqka wew pasua mzigo acha woga
Mbwa mwenyewe akizaa ukichelewa kumpa chakula anakula katoto kamoja kujitulizaSalaam, shalom!!
Utafiti mdogo niliofanya unasema, mnyama huyu nguruwe, akizaa watoto, ukichelewa kuwaondoa, aweza kuwala wote pasi huruma,
Kuna wanyama na ndege walioumbwa wakiwa na utindio, aina Fulani ya ukichaa, mbuni akiwa Mmoja wapo,
Ikiwa mnyama huyu KWELI anaangukia kundi la wanyama wasio timamu , ni sahihi kuwatumia Kwa chakula?
Na Kuna uadui Gani kati ya nguruwe na mapepo?
Maana (Luke 8:30-32) nguruwe akaona kuliko kukaliwa na mapepo, akaona Bora ajitose Baharini afe.kuliko kumilikiwa na mapepo,
Karibuni 🙏
Haya nyama iliyotegewa Sumu kwenye Dunia Huwa ni Ile iliyonona.Nenda pale Tabata Kazimoto ujue uramu wa my wa kuchoma na pilipili!!
Ndio uhayawani ninaouongelea Kwa wanyama, ndege, nk nkMbwa mwenyewe akizaa ukichelewa kumpa chakula anakula katoto kamoja kujituliza
Leo nimeanzisha ugomvi na Wala nguruwe/ HAYAWANI.Nanyi mnaobaka wanenu kisa utajiri mnatofauti gani na huyu nguruwe mwenye nyama pendwa
Acheni kumlaumu ,kama kazi ndogo kuzaa watoto 12 kwampigo ,mkajaribu ninyi ,tunaomfuga akiwa mjamzito anafatiliwa kwamakini
HUU NI UONGOYule mdudu kata KICHWA kitenganishe na kiwiliwili, kaa hata masaa mawili, ukija mgusa anastuka😀
Binadamu nao wanakula watoto wao. Kula watoto ni ishara kuwa kiumbe huyo ana akili.
Tunguruwe tukiwa tudogo tuzuri sanaKwahio watoto wa nyama/mboga ya taifa unavyosema hutenganishwa na mama yao, nani analea? Mudi au?
View attachment 2982800
FaizaFoxy kula chuma hio.
Mafuta aliyonayo, hayaruhusu Damu kuganda,hivyo Hilo linawezekana.HUU NI UONGO
NARUDIA TENA HUU NI UONGO!
NGURUWE HAWEZI KUTIKISIKA MASAA MAWILI BAADA YA KUCHINJWA.
Nafikiri hapa unamuongelea nguruwe kwa upande mmoja. Nguruwe ( pori na hao wanaofugwa) kama kweli wangekuwa wanakula watoto wao naamini population ingeshuka na kupotea mfano rahisi nguruwe pori. Kula watoto ni jambo ambalo wanyama wengi wanafanya hasa wakiwa na stress wakati kuzaa, nguruwe, mbwa, sungura, panya hili ni jambo la kawaida kwa hawa wanyama hasa wanaozaa mnyama zaidi ya mmoja. Hivyo sii nguruwe tuu anaekula na hili linatokea kwa mmoja mmoja sana, kama mazingira yote yatakuwa sawa wakati wa kuzaa ( stressfree) na akala huyo ni tabia yake na anatakiwa aondolewe au achinjweSalaam, shalom!!
Utafiti mdogo niliofanya unasema, mnyama huyu nguruwe, akizaa watoto, ukichelewa kuwaondoa, aweza kuwala wote pasi huruma,
Kuna wanyama na ndege walioumbwa wakiwa na utindio, aina Fulani ya ukichaa, mbuni akiwa Mmoja wapo,
Ikiwa mnyama huyu KWELI anaangukia kundi la wanyama wasio timamu , ni sahihi kuwatumia Kwa chakula?
Na Kuna uadui Gani kati ya nguruwe na mapepo?
Maana (Luke 8:30-32) nguruwe akaona kuliko kukaliwa na mapepo, akaona Bora ajitose Baharini afe.kuliko kumilikiwa na mapepo,
Karibuni 🙏
Ikiwa halipo chaguo, hakuna chakula kingine, vitani, au unalazimika kuchagua kifo au kula uokoe uhai, utakula hakuna namna,