Nguvu inayotumika kunyukana kwenye chaguzi za CCM iwaamshe wapinzani wafikirie upya namna ya kufanya siasa

Nguvu inayotumika kunyukana kwenye chaguzi za CCM iwaamshe wapinzani wafikirie upya namna ya kufanya siasa

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Inavyoonekana kupata uongozi ndani ya ccm ni jambo la kufa na kupona ndio maana uchaguzi wao una vitimbi na vituko vingi Kwa kiwango cha kufuatiliwa sana na wafuasi na wasiowafuasi.

Kilichonitisha ni misuli inayotumika kushinda uchaguzi. Misuli hii inawajengea ccm uzoefu wa kushinda kwa njia yoyote.

Natamani wapinzani wapate somo kwamba kushindana na ccm ni kushindana na jitu lililozoea game za staili zote.

Ikiwa wao kwa wao ambao mwisho wa siku wanatumikia maslahi ya chama chao wanaweza kukwidana kukabana kutoana nundu na ngeu namna hii, vipi kuhusu ww mwenzangu na mm ambae Kwa sehemu ni adui wa maslahi ya chama nini kitakupata?
 
Chama kama chama ni kizuri ila sisi tunaokiingia kwa mitazamo yetu ya matamanio[emoji41]
 
Chama kama chama ni kizuri ila sisi tunaokiingia kwa mitazamo yetu ya matamanio[emoji41]
Sijui unapimaje uzuri na ubaya wa chama maana tungetumia kipimo cha uwajibikaji kwa raia na kwa nchi ungetoa maoni zaidi ya haya. Inavyoonekana ccm imewekeza sana kwenye kujijenga yenyewe hata kwa kuhujumu nchi inapobidi.
 
Back
Top Bottom