Nguvu kubwa inatumika dhidi ya Hayati Magufuli au inatumika kumtetea Hayati Magufuli?

Nguvu kubwa inatumika dhidi ya Hayati Magufuli au inatumika kumtetea Hayati Magufuli?

Ni kama vile Katikati ya jamii ya Watanzani kuna kitendawili ambacho bado hakijapatiwa majibu. Kuna swali linalosumbua watanzania wengi kuhusu nafasi ya Hayati John Pombe Magufuli katika historia yetu kiuchumi, kijamii, kisiasa na hata kimahusiano ya kimataifa...
Kila mmoja ashinde mechi zake. Timu Magufuli ni shetani hatupoi hata siku moja. Na Timu Waabudu Magufuli waache waendelee.

Ila jiulize kuna Benjamin Mkapa alikufa miezi michache kabla ya yeye, mbona hakuna watu wanaomponda kwa kiasi anachopondwa Magufuli?

Kwenye maisha tuishi vizuri ili watu waje watuongee kwa mema yetu. Ni vigumu kukaa kimya bila kuongea ushenzi na unyama wa Magufuli, labda uwe ukikuwa nufaika wake. Ila hata familia ya Magufuli inajisikia ahueni baada ya DIKTETA kurudisha namba.
 
Hamna mtu mwenye shida na huyo mfu maana mfu hawezi kufanya chochote

Lakini hao yatima wake wakianza kuleta uwongo kuwa kipindi chake kulikuwa vizuri, sisi lazima tuwajibu na kuwatajia mabaya yake wanaanza kusema tunatumia nguvu kubwa dhidi yake.

Nguvu kubwa dhidi ya nini sasa? Ana pose hatari gani kwani? anakuja kugombea? Au ana mgombea wake 2025? Au ana chama chake? Nguvu kubwa dhidi ya nini sasa
Huna akili umejaza mlenda kichwani
 
Inatumika nguvu kuonyesha kuwa Magufuli hakuwa kiongozi mzuri kwamba alikuwa kiongozi mbaya, na nguvu ni hata hii mitandao jinsi inavyo tumika kumuelezea huyo Magufuli kuwa alikuwa kiongozi mbaya utaona ni nguvu kubwa inatumika kila pale anapotajwa Magufuli tu basi lazima aelezwe yale mabaya yake na kila siku haipiti bila kuanzishwa mada kadhaa za kuelezea mabaya ya Magufuli.

Kwahiyo utaona kusudi ni kuenea kote Magufuli afahamike na kuzungumziwa kwa yale mabaya yake tu na si tofauti na hivyo.

Kwahiyo ni suala lenye kuhitaji nguvu.
Kwanini nguvu itumike , kama kiongozi aliyepo ni mzuri kuliko yeye Kuna haja gani ya kuhangaika na mabaya yake
 
Kila mmoja ashinde mechi zake. Timu Magufuli ni shetani hatupoi hata siku moja. Na Timu Waabudu Magufuli waache waendelee.

Ila jiulize kuna Benjamin Mkapa alikufa miezi michache kabla ya yeye, mbona hakuna watu wanaomponda kwa kiasi anachopondwa Magufuli?

Kwenye maisha tuishi vizuri ili watu waje watuongee kwa mema yetu. Ni vigumu kukaa kimya bila kuongea ushenzi na unyama wa Magufuli, labda uwe ukikuwa nufaika wake. Ila hata familia ya Magufuli inajisikia ahueni baada ya DIKTETA kurudisha namba.
Hujui kitu wewe hamtaweza kufuta historia ya huyu jamaa never
 
Ben Saanane na Azory Gwanda wamepumzika wapi??
Magufuli amepumzika zake mbinguni, hana shida na mtu.

Walamba asali wanahangaika kuchafua legacy yake bila mafanikio.

Wanatumia nguvu kubwa sana!
 
Jamaa anajitetea mwenyewe , nashangaa watu wanalipana kupambana naye akiwa kaburini , Ila battle bado ni ngumu....
 
Hamna mtu mwenye shida na huyo mfu maana mfu hawezi kufanya chochote

Lakini hao yatima wake wakianza kuleta uwongo kuwa kipindi chake kulikuwa vizuri, sisi lazima tuwajibu na kuwatajia mabaya yake wanaanza kusema tunatumia nguvu kubwa dhidi yake.

Nguvu kubwa dhidi ya nini sasa? Ana pose hatari gani kwani? anakuja kugombea? Au ana mgombea wake 2025? Au ana chama chake? Nguvu kubwa dhidi ya nini sasa
Ninajua baba ako na mama ako wanajua uzuri wa jpm,na unafiki unaojalibu kuutetea,
 
Kwanini nguvu itumike , kama kiongozi aliyepo ni mzuri kuliko yeye Kuna haja gani ya kuhangaika na mabaya yake
Wenyewe wanadai kwamba wanafanya hivyo ili yasirudiwe tena kufanyika maovu kama yaliyofanywa na Magufuli na sababu nyengine ni kuwajulisha watu wengine kuwa Magufuli hakuwa mwema kama wanavyofikiri bali alikuwa muovu kwa maana kuna watu hawajui hilo.
 
Ni kama vile Katikati ya jamii ya Watanzani kuna kitendawili ambacho bado hakijapatiwa majibu. Kuna swali linalosumbua watanzania wengi kuhusu nafasi ya Hayati John Pombe Magufuli katika historia yetu kiuchumi, kijamii, kisiasa na hata kimahusiano ya kimataifa.

Kumeibuka makundi mawili yanayopingana. Lipo kundi linaloamini Hayati Magufuli alifanya mambo mengi sana mema kwa ajili ya Tanzania. Na lipo kundi linaloamini kuwa Hayati Magufuli aliivunja msingi iliyolijenga taifa letu kuwa watu waliothamini utu wa mtu.

Makundi hayo mawili, kila moja linalishutumu jingine kwamba linatumia nguvu kubwa sana ama kumshutumu Hayati Magufuli ama kumsifia. Lakini haieleweki inaposemwa "nguvu kubwa" huwa inamaanishwa hiyo nguvu kubwa ni nini!!?

Jee nguvu kubwa inatumika kumsifia ama kumshutumu Hayati Magufuli kwa aina ya utawala wake alipokuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania?
Hii ni alama ya watu wajinga, watu wasioweza kujadili hoja, sera, takwimu, wanaishia kumjadili mtu.

Na hata huyo mtu mwenyewe - kuna haja ya kujua historia vizuri- mostly hawawezi kumchambua vizuri kihistoria, kwa fikra tunduizi na dhahania, ni ushabiki kama ushabiki wa mpira usio na ujuzi, kila mtu anatetea timu yake.

Watu hawawezi kujadili viability ya solar electricity projects kukabiliana na umeme wa TANESCO.

Hawawezi kujadili viability ya rainwater harvesting kukabiliana na uhaba wa maji.


Kilichobaki ni uchawi, kuponda ushoga, kula tunda kimasihara na Magufuli.

Ndiyo mwisho wa uwezo wao, hata tusiwalaumu.
 
Magufuli amepumzika zake mbinguni, hana shida na mtu.

Walamba asali wanahangaika kuchafua legacy yake bila mafanikio.

Wanatumia nguvu kubwa sana!
Una uhakika yupo mbinguni? Maana watu aliowaua kwenye utawala wake zinajaa fuso kadhaa...
 
Ni kama vile Katikati ya jamii ya Watanzani kuna kitendawili ambacho bado hakijapatiwa majibu. Kuna swali linalosumbua watanzania wengi kuhusu nafasi ya Hayati John Pombe Magufuli katika historia yetu kiuchumi, kijamii, kisiasa na hata kimahusiano ya kimataifa.

Kumeibuka makundi mawili yanayopingana. Lipo kundi linaloamini Hayati Magufuli alifanya mambo mengi sana mema kwa ajili ya Tanzania. Na lipo kundi linaloamini kuwa Hayati Magufuli aliivunja msingi iliyolijenga taifa letu kuwa watu waliothamini utu wa mtu.

Makundi hayo mawili, kila moja linalishutumu jingine kwamba linatumia nguvu kubwa sana ama kumshutumu Hayati Magufuli ama kumsifia. Lakini haieleweki inaposemwa "nguvu kubwa" huwa inamaanishwa hiyo nguvu kubwa ni nini!!?

Jee nguvu kubwa inatumika kumsifia ama kumshutumu Hayati Magufuli kwa aina ya utawala wake alipokuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania?
Tulitarajia matendo yake yamtetee....ila.sasa imekuwa kinyume.
 
Tulitarajia matendo yake yamtetee....ila.sasa imekuwa kinyume.
Upande wa pili nao wanaweza kusema walitarajia mabaya yake yawe wazi yaonekane yenyewe hakuja haja tena ya watu kuonyesha hayo maovu maana yanajulikana.
 
Kwa upande wangu amekiongezea nyama kitabu changu cha ujasiriamali kuhusu 'uncertainty' usilolijua likaja
Una uhakika yupo mbinguni? Maana watu aliowaua kwenye utawala wake zinajaa fuso kadhaa...
Comments reserved
 
Inatumika nguvu kuonyesha kuwa Magufuli hakuwa kiongozi mzuri kwamba alikuwa kiongozi mbaya, na nguvu ni hata hii mitandao jinsi inavyo tumika kumuelezea huyo Magufuli kuwa alikuwa kiongozi mbaya utaona ni nguvu kubwa inatumika kila pale anapotajwa Magufuli tu basi lazima aelezwe yale mabaya yake na kila siku haipiti bila kuanzishwa mada kadhaa za kuelezea mabaya ya Magufuli.

Kwahiyo utaona kusudi ni kuenea kote Magufuli afahamike na kuzungumziwa kwa yale mabaya yake tu na si tofauti na hivyo.

Kwahiyo ni suala lenye kuhitaji nguvu.
Kuna kitu nahisi ni kama nape na makamba wameajiri watu wa kupangua hoja zozote zile zenye mlengo wa kumsifia magufuli
 
Back
Top Bottom