Nguvu kubwa inatumika dhidi ya Hayati Magufuli au inatumika kumtetea Hayati Magufuli?

Nguvu kubwa inatumika dhidi ya Hayati Magufuli au inatumika kumtetea Hayati Magufuli?

Ukiingia mitaani hakuna vitu kama hivi.....mnajipotosha na kupotosha sana 'oh timu hii' ' oh timu ile' wakati ....hakuna kitu kama hicho Tanzania.


hamumpendi?
nendeni chato basi tuone?
Mnajitanua humu tu, hamna lolote nyie....muulizeni lissu.
 
Ameshaoza.

Aliomba sana tumuombee, lakini pamoja na maombi Mungu alisisitiza kwamba tunaombea tusichokijua, na hatari kwa nchi yetu
Kinachouma zaidi kuna sukuma gang wamepandisha thread eti iundwe tume huru ya kuchunguza kifo chake! Daah! Yaan sukuma gang wanataka kumchunguza Mungu! Maajab na kufuru kubwa mno
 
Kinachouma zaidi kuna sukuma gang wamepandisha thread eti iundwe tume huru ya kuchunguza kifo chake! Daah! Yaan sukuma gang wanataka kumchunguza Mungu! Maajab na kufuru kubwa mno
Mnakufuru sana na ya mungu.

Kama unaamini kuwa hakuna lelote lisilotokea bila yeye, usishangae hao miungu yenu yakachunguzwa.

Numbers 12:1
Joshua 24:15
 
Ni kama vile Katikati ya jamii ya Watanzani kuna kitendawili ambacho bado hakijapatiwa majibu. Kuna swali linalosumbua watanzania wengi kuhusu nafasi ya Hayati John Pombe Magufuli katika historia yetu kiuchumi, kijamii, kisiasa na hata kimahusiano ya kimataifa.

Kumeibuka makundi mawili yanayopingana. Lipo kundi linaloamini Hayati Magufuli alifanya mambo mengi sana mema kwa ajili ya Tanzania. Na lipo kundi linaloamini kuwa Hayati Magufuli aliivunja msingi iliyolijenga taifa letu kuwa watu waliothamini utu wa mtu.

Makundi hayo mawili, kila moja linalishutumu jingine kwamba linatumia nguvu kubwa sana ama kumshutumu Hayati Magufuli ama kumsifia. Lakini haieleweki inaposemwa "nguvu kubwa" huwa inamaanishwa hiyo nguvu kubwa ni nini!!?

Jee nguvu kubwa inatumika kumsifia ama kumshutumu Hayati Magufuli kwa aina ya utawala wake alipokuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania?
Wacha watu waseme na kutoa maoni yao juu ya kipenzi chao , Mimi ukiniuliza kwa sasa nitaongea positive side ya JPM ,embu fikiria kwanza ukute nyumba iliyojaa kila aina ya uchafu, chawa , kunguni,viroboto ,na kupe wewe uambiwe kaisafishe unafikiri kunguni watafurahi????chawa watafurahi, nyumba yetu ilikuwa chafu saana akaisafisha ,ndiyo maana yule mzee wetu mmakonde alitupa lile chuma , kama kuna mtu muasisi wa Nyumba alikuwa ni yule mzee wetu mmakonde ,lakini la pili ni uzalando wa JPM katika ulinzi wa Rasilimali za Taifa ,mikitaba ya kinyonyaji piga chini, uwekezaji usio na tija kwa Taifa piga chini ,corruption piga chini kwa sasa naona tunarudi kulekule ............tunamhitaji JPM mwingine 2025 aendeleze yale yote mema aliyofanya hayati JPM ,
 
Ni kama vile Katikati ya jamii ya Watanzani kuna kitendawili ambacho bado hakijapatiwa majibu. Kuna swali linalosumbua watanzania wengi kuhusu nafasi ya Hayati John Pombe Magufuli katika historia yetu kiuchumi, kijamii, kisiasa na hata kimahusiano ya kimataifa.

Kumeibuka makundi mawili yanayopingana. Lipo kundi linaloamini Hayati Magufuli alifanya mambo mengi sana mema kwa ajili ya Tanzania. Na lipo kundi linaloamini kuwa Hayati Magufuli aliivunja msingi iliyolijenga taifa letu kuwa watu waliothamini utu wa mtu.

Makundi hayo mawili, kila moja linalishutumu jingine kwamba linatumia nguvu kubwa sana ama kumshutumu Hayati Magufuli ama kumsifia. Lakini haieleweki inaposemwa "nguvu kubwa" huwa inamaanishwa hiyo nguvu kubwa ni nini!!?

Jee nguvu kubwa inatumika kumsifia ama kumshutumu Hayati Magufuli kwa aina ya utawala wake alipokuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania?
Hayo maswali yako yanaakisi mpasuko alioukuwa ameutengeneza(kwa makusudi) ili iwe rahisi kwake kuliburuza taifa vile atakavyo.
Watu wa middle class na upper class ndiyo aliwaona kama threat kwa kuwa wengi wao wanajitambua hivyo alihakikisha anawatesa, anawadhulumu na alihakikisha anaharibu biashara zao(hakutaka private sector ikue) labda kwa zile biashara alizokuwa na maslahi nazo. Sasa kwa wale wenzangu na mimi wasiojielewa(wanyonge) alifanikiwa sana kuwahadaa kwa kuwa wengi wao hawana exposure na aliwa-brainwash mpaka hivi leo muda umeshapita wa kutosha tangu amefariki bado wanamuona ni 'mungu-mtu' hivyo hawaachi kumuabudu, alitengeneza kitu kinachoitwa divide and rule kwa makusudi kabisa.
Huu mpasuko utachukua muda mrefu kufutika kwani sumu aliyoipabdikiza ilikolea haswa, watu wenye mitazamo tofauti walichukuliana kama maadui hata mtu akiuawa, akitekwa, akipoteza au akidhulumiwa biashara zake wale wa upande tofauti walifurahia bila haya. Utu na udugu wa Kitanzania ulipotezwa kabisa.
Screenshot_20230309-232356.jpg
 
Hayo maswali yako yanaakisi mpasuko alioukuwa ameutengeneza(kwa makusudi) ili iwe rahisi kwake kuliburuza taifa vile atakavyo.
Watu wa middle class na upper class ndiyo aliwaona kama threat kwa kuwa wengi wao wanajitambua hivyo alihakikisha anawatesa, anawadhulumu na alihakikisha anaharibu biashara zao(hakutaka private sector ikue) labda kwa zile biashara alizokuwa na maslahi nazo. Sasa kwa wale wenzangu na mimi wasiojielewa(wanyonge) alifanikiwa sana kuwahadaa kwa kuwa wengi wao hawana exposure na aliwa-brainwash mpaka hivi leo muda umeshapita wa kutosha tangu amefariki bado wanamuona ni 'mungu-mtu' hivyo hawaachi kumuabudu, alitengeneza kitu kinachoitwa divide and rule kwa makusudi kabisa.
Huu mpasuko utachukua muda mrefu kufutika kwani sumu aliyoipabdikiza ilikolea haswa, watu wenye mitazamo tofauti walichukuliana kama maadui hata mtu akiuawa, akitekwa, akipoteza au akidhulumiwa biashara zake wale wa upande tofauti walifurahia bila haya. Utu na udugu wa Kitanzania ulipotezwa kabisa.View attachment 2553183
Ni Kweli Kabisa mapungufu yalikuwepo alihitaji kulinda private sector maana ndiyo engine ya uchumi wa nchi yoyote Duniani ,lakini kuna suala la ku safe guard public safety ,alitakiwa ku promote democracy and human right .......Regarless of hayo mapungufu alifikisha nchi katika uchumi wa kati....
 
Angalia Ukraine
Aangalie Ukraine kwamba ndiko walikopumzika?
Let me rephrase his question:
-Kama Jiwe aliyewaua Saanane na Gwanda amepumzika mbinguni([emoji15][emoji15]) je hao aliowaua wamepumzika wapi?
 
Ni Kweli Kabisa mapungufu yalikuwepo alihitaji kulinda private sector maana ndiyo engine ya uchumi wa nchi yoyote Duniani ,lakini kuna suala la ku safe guard public safety ,alitakiwa ku promote democracy and human right .......Regarless of hayo mapungufu alifikisha nchi katika uchumi wa kati....
Suala la TZ kufika uchumi wa kati ni tata, statistics bureau hawakuwa wakiaminika kwani data zao hakuna organizations au watu waliokuwa wakiruhusiwa ku-challenge data zao. WB/IMF(representatives wao TZ) walikuwa wakimezeshwa data/economic indicators 'zilizopikwa'(probably) kwani hakuna wachumi independent waliokuwa wakiruhusiwa kufanya tafiti zao ili zilinganishwe na za idara ya takwimu.
 
Alikufa katika hali ya neema ya utakaso baada ya kupokea Sakramenti zote at his deathbed... Ni mbinguni moja kwa moja.

You dont know that unless you have been to heaven before or Mungu ni mjomba wako
 
Ni kama vile Katikati ya jamii ya Watanzani kuna kitendawili ambacho bado hakijapatiwa majibu. Kuna swali linalosumbua watanzania wengi kuhusu nafasi ya Hayati John Pombe Magufuli katika historia yetu kiuchumi, kijamii, kisiasa na hata kimahusiano ya kimataifa.

Kumeibuka makundi mawili yanayopingana. Lipo kundi linaloamini Hayati Magufuli alifanya mambo mengi sana mema kwa ajili ya Tanzania. Na lipo kundi linaloamini kuwa Hayati Magufuli aliivunja msingi iliyolijenga taifa letu kuwa watu waliothamini utu wa mtu.

Makundi hayo mawili, kila moja linalishutumu jingine kwamba linatumia nguvu kubwa sana ama kumshutumu Hayati Magufuli ama kumsifia. Lakini haieleweki inaposemwa "nguvu kubwa" huwa inamaanishwa hiyo nguvu kubwa ni nini!!?

Jee nguvu kubwa inatumika kumsifia ama kumshutumu Hayati Magufuli kwa aina ya utawala wake alipokuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania?
minaamin kuwa hayati john pombe magufur alifanya makubwa ya kujenga taifaaa
 
Mbona SAMIA hatuamrishi tumwombee?
Maguu kila siku niombeeni, msema kweli kipenzi cha MUNGU.
Mara ajifanye yeye ndiye MUNGU, mara aitwe YESU, alijikweza sana


MUNGU wa mbinguni akaamua kwa haki
 
Hamna mtu mwenye shida na huyo mfu maana mfu hawezi kufanya chochote

Lakini hao yatima wake wakianza kuleta uwongo kuwa kipindi chake kulikuwa vizuri, sisi lazima tuwajibu na kuwatajia mabaya yake wanaanza kusema tunatumia nguvu kubwa dhidi yake.

Nguvu kubwa dhidi ya nini sasa? Ana pose hatari gani kwani? anakuja kugombea? Au ana mgombea wake 2025? Au ana chama chake? Nguvu kubwa dhidi ya nini sasa
Sisi mayatima hatuwezi kukaa kimya kipindi nyie walamba matako mnpongelea kuwa wale mnaowalamba matako wanaupiga mwingi wakati huku mtaani vitu vimepanda bei maradufu,tunalala kwenye giza bila sababu ya msingi,ufisidi umeongezeka kwa kasi,mikopo isiyoekeweka miradi imesimama, nk nk...kamwe mayatima hatuwezi kaa kimya kwa nyie walamba matako.
 
Mwamba ni miaka 2 ila ni kama kafariki juzi!

Yani inafika wakati Magufuli anakuwa maarufu kuliko walioko madarakani
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwamba ni miaka 2 ila ni kama kafariki juzi!

Yani inafika wakati Magufuli anakuwa maarufu kuliko walioko madarakani
[emoji23][emoji23][emoji23]
Usichojua ni kuwa VITA ya Sasa inatokana na kundi Moja kutaka kuwadanganya watu kuwa Magu alikuwa mtu safi na mwenye uwezo muhimu Kwa nchi hii na wanatumia nguvu kubwa kumpamba.
Hapo ndio shida inapoanzia, wenye kumjua kuwa alikuwa mtu mwovu na hakustahili kuwepo Madarakani hata Kwa dakika ndio wanajitahidi kuweka rekodi SAWA ili wasio elewa ubaya ule ambao ni Mungu tuu aliyetuokoa na janga Hilo waelewe.
Kama wanataka watu wasiendelee kumpopoa basi waache kudanganya watu Kwa sofa za uongo Kwa mtu mwovu aliyejeruhi wengi mioyo Yao.
 
Usichojua ni kuwa VITA ya Sasa inatokana na kundi Moja kutaka kuwadanganya watu kuwa Magu alikuwa mtu safi na mwenye uwezo muhimu Kwa nchi hii na wanatumia nguvu kubwa kumpamba.
Hapo ndio shida inapoanzia, wenye kumjua kuwa alikuwa mtu mwovu na hakustahili kuwepo Madarakani hata Kwa dakika ndio wanajitahidi kuweka rekodi SAWA ili wasio elewa ubaya ule ambao ni Mungu tuu aliyetuokoa na janga Hilo waelewe.
Kama wanataka watu wasiendelee kumpopoa basi waache kudanganya watu Kwa sofa za uongo Kwa mtu mwovu aliyejeruhi wengi mioyo Yao.
Sasa hao wasioelewa wanaishi hapa hapa Tanzania au unakusudia wazungu?
 
Waliofaidika na utawala wake wanamtetea na waliodhulumiwa mashamba, biashara, plea bageining , maduka ya fedha wanamdidimiza.
Hao unaowataja walidhulumiwa, ni Wahujumu Uchumi mkubwa ambao waliamua kukimbia sheria na kanuni zake Kwa faida zao binafsi.

Naam, Hayati JPM naye akaamua kudeal nao Kichwa Kwa Kichwa.


Mbona Azam wapo, Mo wapo, ???

Magufuli alichukia janjajanja .
 
Back
Top Bottom